Lswa 400:Nadharia Ya Uhakiki Wa Fasihi Na Sanaa Za Maonyesho Question Paper
Lswa 400:Nadharia Ya Uhakiki Wa Fasihi Na Sanaa Za Maonyesho
Course:Elimu
Institution: Kenya Methodist University question papers
Exam Year:2011
CHUO KIKUU CHA KIMETHODISTI, KENYA
MTIHANI WA MWISHO WA TREMESTA YA TATU, 2011
(MASOMO YA LIKIZO)
KITIVO : ELIMU NA SAYANSI YA JAMII
IDARA : ELIMU
KODI : LSWA 400
ANWANI : NADHARIA YA UHAKIKI WA FASIHI NA SANAA ZA MAONYESHO
MUDA : SAA MBILI
Maagizo:
Jibu maswali yoyote matatu
Swali la Kwanza.
Fafanua dhana zifuatazo:
Nadharia
(ala. 4)
Uhakiki
(ala. 4)
Eleza shabaha ya nadharia katika kazi ya fasihi
(ala. 6)
Eleza aina zozote tatu za uhakiki
(ala. 6)
Swali la Pili.
Fafanua nadharia zifuatazo kwa mujibu wa fasihi.
Nadharia ya uhalisia
(ala. 5)
Nadharia ya ubwege
(ala. 5)
Nadharia ya ufeministi
(ala. 5)
Nadharia ya umaksi
(ala. 5)
Swali la Tatu
Tathmini mchango wa Plato na Aristotle katika kazi ya sanaa. (ala. 20)
Swali la Nne.
Eleza maana ya istilahi zifuatazo kama zinavyojitokeza katika fasihi
Uhusika
(ala. 2 )
Wahusika
(ala. 2)
Fafanua wahusika wafuatao
Mhusika bapa
(ala. 4)
Mhusika kinyago
(ala. 4)
Mhusika mviringo
(ala. 4)
Mhusika mkinzani
(ala. 4)
Swali la Tano.
Eleza maana ya sanaa ya maonyesho na ufafanue vipengele vyake muhimu. (ala. 20)
More Question Papers
Exams With Marking Schemes
Popular Exams
Mid Term Exams
End Term 1 Exams
End Term 3 Exams
Opener Exams
Full Set Exams
Return to Question Papers