Educ 331:Mbinu Za Kufunzia Kiswahili Question Paper
Educ 331:Mbinu Za Kufunzia Kiswahili
Course:Education
Institution: Kenya Methodist University question papers
Exam Year:2014
CHUO KIKUU CHA KIMETHODISTI, KENYA
MTIHANI WA MWISHO WA TREMESTA YA TATU, 2014
(MCHANA)
KITIVO : ELIMU NA SAYANSI YA JAMII
IDARA : ELIMU
KODI : EDUC 331
ANWANI : MBINU ZA KUFUNZIA KISWAHILI
MUDA : SAA MBILI
Maagizo
Jibu maswali Matatu
Swali la Kwanza
Dhihirisha mambo matano ya kuimarisha wanafunzi katika stadi ya kusoma.
(Al 10)
Eleza sababu tano za mwalimu kuwa na maazimio ya kazi.
(Al 10)
Swali la Pili
Eleza umuhimu wa mwalimu wa Kiswahili kujaza na kuhifadhi rekodi endelezi za kazi.
(Al 10)
Fafanua njia zozote tatu ambazo unapaswa kutumia kufanikisha lugha ya wanafunzi katika mijadala.
(Al 10)
Swali la Tatu
Nyenzo ni muhimu katika kufunzia lugha ya Kiswahili. Thibitisha ukweli huu.
(Al 10)
Fafanua hoja tano kubainisha umuhimu wa kutahini na kutathmini wanafunzi katika somo la Kiswahili.
(Al 10)
Swali la Nne
Jadili mambo ambayo yanaweza kuwafanya wanafunzi wasielewe ufahamu.
(Al 10)
Fafanua vile mwalimu wa Kiswahili anaweza kuwasaidia wanafunzi wenye shida hizo.
(Al 10)
Swali la Tano
Tayarisha maazimio ya kazi ya wiki moja kwa kidato cha tatu. (Al 20)
More Question Papers
Exams With Marking Schemes
Popular Exams
Mid Term Exams
End Term 1 Exams
End Term 3 Exams
Opener Exams
Full Set Exams
Return to Question Papers