Notes
Exams
Schemes of Work
Lesson Plans
Holiday Assignments
Tests
Forum
Q&A
Lessons
Past Papers
Colleges
Courses
Login
|
Register
|
Jobs
Get premium membership
and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.
Kiswahili Form 1 Question Paper
Kiswahili Form 1
Course:
Secondary Level
Institution:
Kcse question papers
Exam Year:
2006
KISWAHILI KIDATO CHA KWANZA
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA
SEHEMU YA KWANZA: UFAHAMU
Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.
MAJI
Ni muhimu tutafute njia za kuhifadhi maji ili kila wakati tuwe na akiba yake ya kutumia wakati wa kiangazi. Kuna njia nyingi za kuhifadhi maji. Baadhi ya njia hizo tutaendelea kuzitaja kwa ufupi. Maji hutokana na mvua. Ikiwa basi tutahifadhi akiba ya maji ya kutumia wakati wa kiangazi, ni lazima tuyakusanye wakati wa mvua ya masika. Ni njia gani ambayo tungetumia kuhifadhi maji haya?
Maji yanayokusanywa kutoka kwa mapaa ya nyumba huwekwa kwenye mapipa. Mapipa yaweza kuwa ya mabati ama ya mawe. Kwa kawaida maji haya huwa ya matumizi ya nyumbani tu! Mifugo haitumii maji haya. Hii ni kwa sababu mahitaji ya mifugo ni makubwa kuliko ya wanadamu. Labda uwe na mapipa mengi ndipo uweze kuwapatia mifugo maji hayo.
Katika sehemu zilizo na ukavu wavu hutegemea maji ya visima kutosheleza mahitaji yao. Hata mifugo katika sehemu hizo, hutegemea maji ya visima. Vile vile kunazo sehemu nyingine ambako mipango ya kunyunyizia maji mashambani huendeshwa kwa kutumia maji ya visima. Mipango kama hii haiwezi kuendeshwa kwa njia kubwa.
Ni rahisi kukusanya maji ya mvua na kuyaweka kwa matumizi ya baadaye kwa kujenga mabwawa ya kuzuia maji kwenye mabonde. Mabwawa yenyewe yanaweza kujengwa wakati wa kiangazi. Baadaye wakati mvua itakaponyesha, maji yatajikusanya humo, maji haya yanaweza kutumika wakati wa ukavu.
Katika sehemu ambazo hazipati mvua ya kutosha, mabwawa ya namna hii ni muhimu sana. Maji haya yanaweza kutumiwa na binadamu ikiwa ni lazima ayatumie, itabidi ayachemshe na kuyaweka mahali safi.
MASWALI
1. Eleza njia tatu za kujipatia maji (al 6)
2. Maji huhitajika sana wakati gani wa mwaka (al 2)
3. Kwa nini maji yanafaa kuchemshwa kabla ya binadamu kuyanywa (al 2)
4. Eleza matumizi tofauti tofauti ya maji kama yalivyotokeza katika taarifa (al 6)
5. Ni paa lipi linalofaa zaidi kukusanyia maji? Toa sababu za kuchagua ulilolichagua na silo lingine (al 4)
6. Eleza kwa kifupi maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika taarifa (al 5)
i. Mifugo
ii. Kukusanya
iii. Kiangazi
iv. Masika
v. Kuhifadhi
7. Kamilisha methali zifuatazo zinazohusu maji (al 5)
i. Mkamia maji
ii. Mchimba kisima
iii. Maji yakimwagika
iv. Maji hufuata
v. Atanguliaye kisimani
SEHEMU YA PILI
MATUMIZI YA LUGHA
1. Nini maana ya maneno yafuatayo? (al 10)
a. Jina
b. Kitenzi
c. Kivumishi
d. Kielezi
e. Sentensi
2. Taja aina ya sentensi ujuazo huku ukitoa mfano (al 6)
3. Kwa kutumia viungo muhimu vya maneno, chambua maneno haya.
i. Alienda (al 4)
ii. Wamekichukua (al 5)
4. Andika sentensi zifuatazo kwa wingi (al 5)
i. Popo anaruka akitua mgombani
ii. Mti ule utakatwa
iii. Kisu kile kikali kimemkata
iv. Kikulacho ki nguoni mwako
v. Kunguru mwoga hufukuza mabawa yake.
5. Sentensi zifuatazo zina makosa. Yasahihishe (al 5)
i. Choo yao amechafuka
ii. Chanda mwema huvikwa pete.
iii. Nipeeko huyo chakula.
iv. Meno linalouma atang'olewa.
v. Tulisafiri na ngari.
6. Je, ni nani anayemsalimu mwingine "shikamoo" na atapewa jibu gani? (al 2)
7. Andika neno lingine lenye maana sawa na hilo ulilopewa (al 5)
i. Mwana
ii. Chelewa
iii. Uki
iv. Ishara
v. Hasira
8. Kuna tofauti gani kati ya maneno yafuatayo (al 4)
i. Chini/jini
ii. Pia/bia
9. Andika kinyume cha maneno haya (al 6)
i. Cheka
ii. Kunja
iii. Nadhifu
iv. Ezeka
v. Rafiki
vi. Chini
10. Eleza maana ya semi zifuatazo (al 5)
i. Kata tamaa
ii. Enda sare
iii. Arijojo
iv. Kufa ganzi
v. Mtu wa miraba minne
11. Toa maana mbili ya maneno uliyopewa (al 6)
i. Mbuzi
ii. Oza
iii. Vua
12. Kamilisha tashbihi zifuatazo (al 4)
i. Pendana kama...
ii. Mwepesi kama...
iii. Sauti kama...
iv. Baidika kama...
13. Kanusha sentensi zifuatazo katika wingi (al 4)
i. Mpwa wangu anasomea chuo kikuu
ii. Ukimuona ukimbie
iii. Tausi mzuri ana madaha mengi
iv. Nitakuja kwako.
Subscribe to View Content
Subscribe to View Content
More Question Papers
F2 Biology
Chemistry Paper 1
443/1 Agriculture Paper 1
Biology Paper 1( 1995)
Bondo District-Kiswahili Paper 2
English Functional Skills
Kcse 2010 Kiswahili Karatasi Ya 102/3
Total Quality Management
231/1 Biology Paper 1
231/1 Biology Paper 1
233/2 Chemistry Paper 2
311/2 History And Government Paper 2 June 2017
312/1 Geography Paper 1 June 2016
312/1:Geography Paper1
312/2 Kcse 2012 Business Studies Paper 1
312/2 Kcse Business Studies Paper 2
313/1: Christian Religious Education
313/2 C.R.E Paper 2-Mini-Mock 2014 Form 4 Term 3
314/2: Islamic Religious Education Paper 2
443/1 Agriculture
443/1 Agriculture Paper 1
443/2 Agriculture Paper 2
451/1 Computer
451/3 Computer Studies Project Template
565/1 Business Studies Paper 1
565/2 Kcse Business Studies 2009
565/2 Kcse Business Studies Paper 2010
Agriculture
Agriculture
Agriculture
Agriculture
Agriculture Form 2
Agriculture Form 2
Agriculture Form 2
Agriculture Form 2
Agriculture Form 3.
Agriculture Form 3.
Agriculture Form Four
Agriculture Form Four
Agriculture Form Four
Agriculture Form Four Paper 2
Agriculture Form Ii
Agriculture Form One Mid Year Exam
Agriculture Paper
Agriculture Paper
Agriculture Paper 1
Agriculture Paper 1
Agriculture Paper 1
Agriculture Paper 1.
Enhance your teaching with our comprehensive Schemes of Work and Notes!
Popular Exams
Grade 1 End of Term 2
Grade 2 End of Term 2
Grade 3 End of Term 2
Grade 4 End of Term 2
Grade 5 End of Term 2
Grade 6 End of Term 2
Grade 7 End of Term 2
Grade 8 End of Term 2
PP1 End of Term 2
PP2 End of Term 2
Playgroup End of Term 2
Form 1 End of Term 2
Form 2 End Term of Term 2
Form 3 End of Term 2
Form 4 End of Term 2
Mid Term Exams
Playgroup Mid Term 2
PP1 Mid Term 2
PP2 Mid Term 2
Grade 1 Mid Term 2
Grade 2 Mid Term 2
Grade 3 Mid Term 2
Grade 4 Mid Term 2
Grade 5 Mid Term 2
Grade 6 Mid Term 2
Grade 7 Mid Term 2
Grade 8 Mid Term 2
Form 1 Mid Term Exams
Form 2 Mid Term Exams
Form 3 Mid Term
Form 4 Mid Term
CBC Assessment Tests
End Term 1 Exams
PP1 End Term 1
PP2 End Term 1
Grade 1 End of Term 1
Grade 2 End of Term 1
Grade 3 End of Term 1
Grade 4 End of Term 1
Grade 5 End of Term 1
Grade 6 End of Term 1
Grade 7 End of Term 1
Grade 8 End of Term 1
Form 1 End of Term 1
Form 2 End Term of Term 1
Form 3 End of Term 1
Form 1 End of Term 3
Form 4 End of Term 1
End Term 3 Exams
Form 2 End Term of Term 3
Form 3 End of Term 3
Form 3 Mid Term Exams
Form 4 Mid Term Exams
Form 4 Term 2 Mock Exams
PP1 End Term 3
Grade 1 End of Term 3
Grade 2 End of Term 3
Grade 3 End of Term 3
Grade 4 End of Term 3
Grade 5 End of Term 3
Opener Exams
Grade 1 Opener
Grade 2 Opener Exams
Grade 3 Opener Exams
Grade 4 Opener Exams
Grade 5 Opener Exams
Grade 6 Opener Exams
Grade 7 Opener Exams
Grade 8 Opener Exams
Form 1 Opener
Form 2 Opener
Form 3 Opener
Form 4 Opener
PP1 Opener
PP2 Opener
Form 3 Opener
Form 4 Opener
Full Set Exams
Playgroup End Term 2
PP1 End Term 2
PP2 End Term 2
Grade 1 End Term 2
Grade 2 End Term 2
Grade 3 End Term 2
Grade 4 End Term 2
Grade 5 End Term 2
Grade 6 End Term 2
Grade 7 End Term 2
Grade 8 End Term 2
Form 1 End Term 2
Form 2 End Term 2
Form 3 End Term 2
Form 4 End Term 2
Form 1 Term 2 Opener Exams
Form 2 Term 2 Opener Exams
Form 3 Term 2 Opener Exams
Form 4 Term 2 Opener Exams
Playgroup Mid Term 2
PP1 Mid Term 2
PP2 Mid Term 2
Grade 1 Mid Term 2
Grade 2 Mid Term 2
Grade 3 Mid Term 2
Grade 4 Mid Term 2
Grade 5 Mid Term 2
Grade 6 Mid Term 2
Grade 7 Mid Term 2
Grade 8 Mid Term 2
Form 1 Mid Term 2 Exams
Form 2 Mid Term 2 Exams
Form 3 Mid Term 2 Exams
Form 4 Mid Term 2 Exams
Playgroup Term 2 Opener
PP1 Term 2 Opener
PP2 Term 2 Opener
Grade 1 Term 2 Opener
Grade 2 Term 2 Opener
Grade 3 Term 2 Opener
Grade 4 Term 2 Opener
Grade 5 Term 2 Opener
Grade 6 Term 2 Opener
Grade 7 Term 2 Opener Exams
Grade 8 Term 2 Opener
Grade 1 End of Term 1
Grade 2 End of Term 1
Grade 3 End of Term 1
Grade 4 End of Term 1
Grade 5 End of Term 1
Grade 6 End of Term 1
Grade 7 End of Term 1
Grade 8 End of Term 1
Form 1 End Term 1 Exams
Form 2 End Term 1 Exams
Form 3 End Term 1 Exams
Form 4 Paper 1 and 2 End Term 1 Exams
Form 4 Paper 3 End Term 1 Exams
Return to Question Papers
 
Quick Links
Buy Primary and High School Exams
PP1 Schemes of Work
PP2 Schemes of Work
Grade 1 Schemes of Work
Grade 2 Schemes of Work
Grade 3 Schemes of Work
Grade 4 Schemes of Work
Grade 5 Schemes of Work
Class 6 Schemes of Work
Grade 7 Schemes of Work
Grade 8 Schemes of Work
Form 1 Schemes of Work
Form 2 Schemes of Work
Form 3 Schemes of Work
Form 4 Schemes of Work
Browse all past papers
Search for courses
Search for a college
Search for a university
Search for a school
Schemes of Work
New CBC Report Cards
Class Notes
Lecture Notes
Study Guides