Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Taja mambo tano yanayofaa kuzingatiwa katika uchambuzi wa ngano.

      

Taja mambo tano yanayofaa kuzingatiwa katika uchambuzi wa ngano.

  

Answers


KELVIN
i.Kutaja wahusika
ii.Kufafanua sifa za wahusika wakuu
iii.Maadili/mafunzo yanayojitokeza katika hadithi
iv.Kubainisha sifa za ngano/hurafa/hekaya, n.k. zinazojitokeza katika hadithi.
v.Kueleza umuhimu wa fomyula ya kuanzia/wimbo uliotumiwa katika hadithi.
vi.Kubainisha tamathali za usemi zilizotumiwa katika hadithi fulani
vii.Kuonyesha jinsi ngano inavyoshughulikia maudhui fulani.

kalvinspartan answered the question on October 24, 2017 at 14:12


Next: Tambulisha tofauti kati ya istiara na mbazi
Previous: Eleza sifa tano za semi.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions