i)Sentensi sahili-ni sentensi yenye dhana moja kuu. Kwa mfano;Mtoto analia
ii)Sentensi ambatano; ni sentensi inayoundwa kwa sentensi sahili mbili zilizounganishwa kwa kiunganishi. Kwa mfano;Mama anapika ilhali watotao wanacheza
iii)sentensi changamano-ni sentensi yenye kishazi tegemezi na kishazi huru. Kwa mfano;Ng'ombe aliyenunuliwa jana ameuzwa leo.
Biokenya answered the question on December 7, 2017 at 18:13
-
Eleza muundo wa majina katika ngeli ya U-ZI
(Solved)
Eleza muundo wa majina katika ngeli ya U-ZI
Date posted:
December 7, 2017
.
Answers (1)
-
Tumia O-rejeshi kuleta hali ya mazoea: Mwanafunzi ambaye alitia bidii masomoni ndiye ambaye alizawadiwa
(Solved)
Tumia O-rejeshi kuleta hali ya mazoea:
Mwanafunzi ambaye alitia bidii masomoni ndiye ambaye alizawadiwa.
Date posted:
December 7, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza kaida zozote tano zinazoathiri matumizi ya lugha
(Solved)
Eleza kaidi zozote tano zinazoathiri matumizi ya lugha
Date posted:
December 7, 2017
.
Answers (1)
-
Tofautisha kati ya irabu /e/ na /u/
(Solved)
Tofautisha kati ya irabu /e/ na /u/
Date posted:
December 7, 2017
.
Answers (1)
-
Ainisha mofimu katika neno aliyempenda
(Solved)
Ainisha mofimu katika neno aliyempenda
Date posted:
December 7, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza muundo wa majina katika ngeli ya A-WA
(Solved)
Eleza muundo wa majina katika ngeli ya A-WA
Date posted:
December 7, 2017
.
Answers (1)
-
Taja vipashio vinne vya lugha
(Solved)
Taja vipashio vinne vya lugha
Date posted:
December 7, 2017
.
Answers (1)
-
Ainisha shamirisho katika sentensi ifuatayo: Mama aliwapakulia watoto chakula kwa sahani
(Solved)
Ainisha shamirisho katika sentensi ifuatayo:
Mama aliwapakulia watoto chakula kwa sahani
Date posted:
December 7, 2017
.
Answers (1)
-
Jadili uhusiano ulioko kati ya sintaksia na matawi mengine ya isimu huku uku ukitolea mifano mwafaka
(Solved)
Jadili uhusiano ulioko kati ya sintaksia na matawi mengine ya isimu huku uku ukitolea mifano mwafaka.
Date posted:
December 2, 2017
.
Answers (1)
-
Mikakati inayotumiwa kukabiliana Na vikwazo vya mawasiliano katika lugha ya pili
(Solved)
Mikakati inayotumiwa kukabiliana Na vikwazo vya mawasiliano katika lugha ya pili
Date posted:
November 30, 2017
.
Answers (1)
-
Unda nomino mbilimbili kutokana na vitenzi hivi.
(Solved)
Unda nomino mbilimbili kutokana na vitenzi hivi.
a)jaribu.
b)chuma
Date posted:
November 25, 2017
.
Answers (1)
-
Taja aina mbili za viwakilishi nafsi
(Solved)
Taja aina mbili za viwakilishi nafsi
Date posted:
November 25, 2017
.
Answers (1)
-
Unda vitenzi kutokana na nomino hizi.
i) Hotuba
ii) Tiba
(Solved)
Unda vitenzi kutokana na nomino hizi.
i) Hotuba
ii) Tiba
Date posted:
November 25, 2017
.
Answers (1)
-
Toa mifano miwili miwili kwa sauti zifuatazo: (i) Sauti ghuna ambazo ni vipasuo (ii) Si ghuna ambazo ni vikwamizo.
(Solved)
Toa mifano miwili miwili kwa sauti zifuatazo:
i) Sauti ghuna ambazo ni vipasuo.
ii) Si ghuna ambazo ni vikwamizo.
Date posted:
November 25, 2017
.
Answers (1)
-
Ziandike sayari zote kwa Kiswahili
(Solved)
Ziandike sayari zote kwa Kiswahili.
Date posted:
November 23, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza hatua muhimu zinazofuatwa katika uandishi na usahihishaji wa Insha.
(Solved)
Eleza hatua muhimu zinazofuatwa katika uandishi na usahihishaji wa Insha.
Date posted:
November 23, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza mtindo wa uainishaji wa ngeli.
(Solved)
Eleza mtindo wa uainishaji wa ngeli.
Date posted:
November 22, 2017
.
Answers (1)
-
Andika tarakimu hii kwa maneno: 10,001.
(Solved)
Andika tarakimu hii kwa maneno: 10,001.
Date posted:
November 21, 2017
.
Answers (1)
-
ISIMUJAMII .Taja na ueleze njia tano zinazochangia maenezi ya lugha ya Kiswahili nchini.
(Solved)
ISIMUJAMII
Taja na ueleze njia tano zinazochangia maenezi ya lugha ya Kiswahili nchini.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya vile katika sentensi hii. Vile vile seremala alitengeneza meza.
(Solved)
Eleza matumizi ya vile katika sentensi hii.
Vile vile seremala alitengeneza meza.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)