Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili

      

Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili

  

Answers


Christine
-Chanzo cha Kiswahili ni Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo

-Kiswahili ni tokeo la mwingiliano baina ya waafrika wa pwani na waarabu.

-Kiswahili kilitoka uraibuni

-Kiswahili ni lugha ya kibantu au

-Kiswahili kilitokea pwani ya Kenya eneo lililojulikana kama shungwaya,katika mpaka wa Kenya na Somali kutokana na jamii ya wangozi
Christine4 answered the question on December 23, 2017 at 07:37


Next: What is a policy in insurance?
Previous: Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions