Mawimbi hayo ya maji yaliwahofisha wavuvi wakashindwa kutupa nyavu zao majini.
Githiari answered the question on January 17, 2018 at 08:18
-
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
(Solved)
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
(Solved)
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
(Solved)
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
(Solved)
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha: Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
(Solved)
Sahihisha
Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
(Solved)
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mkufu.
(Solved)
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mku
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
(Solved)
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake
(Solved)
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake.
Date posted:
January 13, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
(Solved)
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
Date posted:
December 29, 2017
.
Answers (1)
-
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
(Solved)
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
Date posted:
December 24, 2017
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
(Solved)
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)
-
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
(Solved)
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi matatu ya kiambishi -po
(Solved)
Eleza matumizi matatu ya kiambishi -po.
Date posted:
December 14, 2017
.
Answers (1)
-
Jadili dhamira ya mwandishi katika Tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili dhamira ya mwandishi katika Tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
December 14, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti baina ya kitenzi kishirikishi kikamilifu na kipungufu
(Solved)
Eleza tofauti baina ya kitenzi kishirikishi kikamilifu na kipungufu.
Date posted:
December 13, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza aina sita za sentensi kiuamilifu ukizingatia Kiimbo
(Solved)
Eleza aina sita za sentensi kiuamilifu ukizingatia Kiimbo.
Date posted:
December 13, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza uhusiano uliopo baina ya fonetiki na fonolojia
(Solved)
Eleza uhusiano uliopo baina ya fonetiki na fonolojia
Date posted:
December 11, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya mbinu ya tashtiti
(Solved)
Eleza maana ya mbinu ya tashtiti
Date posted:
December 10, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana tatu za sentensi hii: Wanafunzi wengine wamefika.
(Solved)
Eleza maana tatu za sentensi hii: Wanafunzi wengine wamefika.
Date posted:
December 9, 2017
.
Answers (1)