Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Maudhui ya elimu katika Kidagaa

      

Maudhui ya elimu katika Kidagaa.

  

Answers


dantanoquido
Maudhui ya elimu yamejitokeza katika:
Imani amesoma hadi chuo kikuu.tunaelezwa jinsi alivyodanganyiwa na wenzake ndipo akafungwa gerezani.
Mwalimu majisifu amesoma hadi ng'ambo ambako babake alitaka asomee ukasisi lakini alipofika huko anageuka.
Mashaka ambaye ni binti ya mtemi ni mwanafunzi katika shule ya upili ya nasaba bora. Mashaka anamtembelea amu yake ambaye ni majisifu kwa nia ya kuwmeleza masomo yanavyoendelea.
Wanafunzi wa chuo kikuu cha wangwani wabamwanfikia mwalimu majisifu barua ili aje awatolee mhadhara wa kidagaa kimrmeozea.madhubuti anachamgiwa pesa na wnananchi kw lazima na kutumwa akasomee ulaya.
Aao rafiki ya amani anafanyiwa mtihani ili apite.fao na amani wote wanapita na kujiunga na vyuo sawa.
dantanoquido answered the question on April 24, 2018 at 17:17


Next: A man of mass 75kg stands on a weighing machine in a lift. Determine the reading on the weighing machine when the lift:a) Ascends...
Previous: A man of mass 75kg stands on a weighing machine in a lift. Determine the reading on the weighing machine when the lift: a) Ascends with...

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions