Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza maana ya semi

      

Eleza maana ya semi

  

Answers


Mitch
Semi ni utanzu ya fasihi simulizi ambao hujumuisha tungo fupi za kimafumbo zinazonuiwa kutoa mafunzo maalumu kuhusu mwelekeo wa fulani wa maisha.Mifano ni Kama vile methali, vitendawili, nahau, misimu na lakabu.

AMA

Semi ni kauli fupi za kisanaa zenye maana na mafunzo yaliyofichika. Semi hutoa mafunzo kwa njia ya kufumba, mafunzo katika semi hutokana na imani ya jamii ambayo imezibuni mifano ya semi ni methali, vitendawili, misemo, nahau, misimu, lakabu, mafumbo, chemshabongo na vitanza ndimi. Semi pia huitwa tungo fupi au tungo bainifu.
Mitch_254 answered the question on April 12, 2018 at 07:31


Next: Give two sources of information that you would use in preparation of a field study of an area recently affected by intense earthquake
Previous: What are the major features of a database management software objects acting as a means to manipulation of data contained in the database?

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions