Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha

      

Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha

  

Answers


Edith
- Mawaidha hutolewa na watu maalum katika jamii ilhali malumbano ya utani wahusika hukubaliana kufanyiana utani.
- Mawaidha hutolewa na wakubwa kwa wadogo walakini malumbano ya utani hutokea kwa njia ya malumbano au kujibizana.
- Mawaidha hutumia lugha ya kipekee ya kuathiri na kuvuta nadhari ilhali malumbano ya utani mtani hutumia lugha ya ucheshi na upigaji chuku.
eddynightsy answered the question on April 27, 2018 at 08:39


Next: Eleza umuhimu wa ngomezi.
Previous: A statute may have a provision whose meaning is not clear. It is then the duty of the court to interpret it. In relation to the...

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions