Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza athari za lugha ya kwanza

      

Eleza athari za lugha ya kwanza.

  

Answers


Sheldon
Lugha ya kwanza huleta kuenea kwa ukabila nchini, pale ambapo, mtoto hukua akijua yeye anajihusisha na kabila fulani.
Lugha ya kwanza pia humfanya mtoto kutojua vyema lugha rasmi na hiyo humuadhiri kimasomo.
Kuongezea, lugha ya kwanza ina maneno machafu ya ambayo watoto wengi huiga na ivo kueneza mbinu potovu.
Halikadhalika, huadhiri utendakazi wa watoto kwa maana wata jihusisha sana na watu wanaongea lugha moja na wao hivo kutoleta uhuiano.
Sheldon Alvin answered the question on September 24, 2018 at 09:24


Next: Humility is not stupidity? Describe basing on Christian life
Previous: Explain the factors that may result to educational inequalities in Kenya

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions