
1.USHAIRI.
Tunamwona babu anampa Majoka ushairi ndotoni ambapo anamshauri kusikia vilio vya wanasagamoyo. Anamwambia kuwa maisha ni njia mbili, wema na maovu na mwishowe maovu yana mwisho wake.
2.SADFA.
Pale ofisini mwa Majoka ambapo Ashua anaingia bila Majoka kumtarajia.
3.KISENGERE NYUMA.
Pale ambapo Ashua anakumbuka maneno matamu na mambo mengi aliyomwahidi mwanzoni mwa mapenzi yao.
4.METHALI.
Majoka anaposema kuwa heri kufuga mbuzi, binadamu wana maudhi ambapo ilikuwa ni baada ya Ashua kukataa ombi lake.
5.MASWALI YA BALAGHA.
Iyo rununu haitulii mfukoni, yakuuma?
6.KINAYA.
Pale ambapo Tunu anasema kuwa kwa mwezi huu mzima wa uhuru wale mali waliochuna kwa miaka sitini. Ni kinaya kwa sababu hakuna walichovuna bali viongozi wao ndio wanao jinufaisha na mali ya wanasagamoyo.
7.JAZANDA.
Pale ambapo husda anamwambia Ashua kuwa ameshindwa kufuga kuku na kanga hatamweza. Kuku akiwa ni mmewe Sudi na kanga akiwa ni Majoka ambapo Ashua alishindwa kumlinda Sudi Majoka hamwezi.
8.NDOTO.
Tunamwona Tunu anaota kuwa anafukuzwa na mzee Marara akiutaka mkufu wa dhahabu. Hii ina ishara ya kumkanya Tunu asiwe kiongozi wa Sagamoyo ambapo mkufu unaashiria uongozi.
9.KIANGAZAMBELE.
Majoka anapoanza kuogopa kuwa waandamanaji watafika kwenye ofisi yake na wammalize na mwishowe tunaona wanamtoa uongozini.
10.TAHARUKI.
Wageni walitarajiwa kule Sagamoyo kwenye sherehe za uhuru ambapo hatujaambiwa kama walikuja.
Earlen answered the question on June 24, 2018 at 14:30
-
a).Andika sentensi zifuatazo katika umoja. i)Walimu wamekaribisha akina mama shuleni.
(Solved)
a).Andika sentensi zifuatazo katika umoja.
i)Walimu wamekaribisha akina mama shuleni.
ii)Wasafiri wameapa kutosafiri katika magari hayo makuukuu.
b).Kamilisha methali zifuatazo.
i)Cha kuvunda hakina...............
ii)............vyajiuza vibaya vyajitembeza.
iii)Aambiwaye akakataa................
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
a).Kanusha sentensi zifuatazo.
a)Kondoo amekula majani.
b)Sisi tumefurahi
c)Baba ameandika barua ndefu.
b)Andika nahau tatu zenye neno 'piga'.
(Solved)
a).Kanusha sentensi zifuatazo.
a)Kondoo amekula majani.
b)Sisi tumefurahi
c)Baba ameandika barua ndefu.
b)Andika nahau tatu zenye neno 'piga'.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Bainisha maneno katika sentensi zifuatazo.
i)Mama na baba wamefika.
ii)Mbwa na paka wanchukiana sana.
(Solved)
Bainisha maneno katika sentensi zifuatazo.
i)Mama na baba wamefika.
ii)Mbwa na paka wanchukiana sana.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
a)Onyesha vivisishi katika sentensi zifuatazo.
i) Lo! lo! yule ni nani?
ii)Salaala! mbwa mkali amemuuma Maimuna.
iii)Zii! kwani wewe huna aibu?
b)Tegua vitendawili vifuatavyo.
i)Nina saa ambayo haijasimama tangu kutiwa...
(Solved)
a)Onyesha vivisishi katika sentensi zifuatazo.
i) Lo! lo! yule ni nani?
ii)Salaala! mbwa mkali amemuuma Maimuna.
iii)Zii! kwani huna aibu?
b)Tegua vitendawili vifuatavyo.
i)Nina saa ambayo haijasimama tangu kutiwa ufunguo.
ii)Nyumba yangu kuu lakini ina mlango mdogo.
iii)Nimeanika mpunga wangu usiku kulipopambazuka sikuuona.
iv)Haukamatiki wala haushikiki.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa tano za sajili ya hospitalini.
(Solved)
Fafanua sifa tano za sajili ya hospitalini.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
Utepe mweusi ulizungushiwa uzio.
(Solved)
Andika kwa wingi
Utepe mweusi ulizungushiwa uzio.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Panga maneno haya kwa mantiki kutegemea herufi za abjadi vile ilivyo katika kamusi.
i)chochwa
ii)chocha
iii)chochea
iv)chocheana
(Solved)
Panga maneno haya kwa mantiki kutegemea herufi za abjadi vile ilivyo katika kamusi.
i)chochwa
ii)chocha
iii)chochea
iv)chocheana
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
i)-ake
ii)-ako
(Solved)
Andika kwa wingi
i)-ake
ii)-ako
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina tano za vivumishi vya pekee.
(Solved)
Taja aina tano za vivumishi vya pekee.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ili kubainisha maana ya:
i)Shuka
ii)Suka
iii)Zuka
(Solved)
Tunga sentensi ili kubainisha maana ya:
i)Shuka
ii)Suka
iii)Zuka
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Ala songezi in nini?
(Solved)
Ala songezi in nini?
Date posted:
June 11, 2018
.
Answers (1)
-
)a)Tunga sentensi ukitumia nomino 'Mgomba' pamoja na kivumishi kisisitizi cha mbali kidogo (b)Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
(Solved)
a)Tunga sentensi ukitumia nomino 'Mgomba' pamoja na kivumishi kisisitizi cha mbali kidogo
b)Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Taja aina nne za nomino (b)Taja ngeli za nomino zifuatazo (i) Ujinga (ii)Ugonjwa (iii)Kucheza (iv)Sukari (v)Barua (vi)Mti
(Solved)
a)Taja aina nne za nomino
b)Taja ngeli za nomino zifuatazo
i)Ujinga
ii)Ugonjwa
iii)Kucheza
iv)Sukari
v)Barua
vi)Mti
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.
(Solved)
Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
1. (a) Andika sentensi ifuatayo iwe katika hali ya -ki- ya masharti. Tulilala sana tukachelewa kwenda shuleni (b)Taja aina mbili za mofimu. 2 (a)Taja sababu mbili zinazomfanya mzungumzaji kutumia...
(Solved)
1.a)Andika sentensi ifuatayo iwe katika hali ya -ki- ya masharti.
Tulilala sana tukachelewa kwenda shuleni
b)Taja aina mbili za mofimu
2 a)Taja sababu mbili zinazomfanya mzungumzaji kutumia zaid ya lugha moja katika mazungumzo katika nyanja za isimu jamii
b)Taja natharia mbili za chimbuko la kiswahili
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Tunga sentensi kubainisha maana ya neno duni (b)Taja aina zozote mbili za sentensi
(Solved)
a)Tunga sentensi kubainisha maana ya neno duni
b)Taja aina zozote mbili za sentensi
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Ikanushe sentensi ifuatayo kwa udogo. Nyumba yenyewe iljengwa bondeni karibu na mto. (b)onyesha shadda katika maneno yafuatayo: (i)Mbono(mti) (ii)Barabara (sawasawa) (c)Onyesha matumizi mawili ya (i)kinyota (ii)Ritifaa
(Solved)
a)Ikanushe sentensi ifuatayo kwa udogo. Nyumba yenyewe iljengwa bondeni karibu na mto.
b)onyesha shadda katika maneno yafuatayo:
i)Mbono(mti)
ii)Barabara (sawasawa)
c)Onyesha matumizi mawili ya
i)kinyota
ii)Ritifaa
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Eleza tofauti kati ya sauti /z/ na /d/ (b)Toa kigezo chochote kimoja cha kuainisha konsonantic)sentensi ifuatayo ina maana mbili tofauti. Zieleze.Huyu amekuja kutuliza.
(Solved)
a)Eleza tofauti kati ya sauti /z/ na /d/
b)Toa kigezo chochote kimoja cha kuainisha konsonanti
c)sentensi ifuatayo ina maana mbili tofauti. Zieleze.
Huyu amekuja kutuliza.
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya maneno yafuatayo (i)Kujizatiti (ii)Kichwa kuwa chepesi (iii)Vigae
(Solved)
Eleza maana ya maneno yafuatayo
i)Kujizatiti
ii)Kichwa kuwa chepesi
iii)Vigae
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Unda nomino kutokana na vivumishi vifuatavyo (i)Zuri (ii)Hodari (b)Yakinisha sentensi hii, Asipotoka nje hataona cha mtema kuni
(Solved)
a)Unda nomino kutokana na vivumishi vifuatavyo
i)Zuri
ii)Hodari
b)Yakinisha sentensi hii,
Asipotoka nje hataona cha mtema kuni
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)