
1. Lugha ya Kiswahili kufundishwa katika taasisi za elimu.
Kiswahili kinafundishwa katika shule za msingi na upili kama somo la lazima. Kiswahili kinafundishwa pia katika vyuo vikuu na hivyo basi kinaenea kupitia kwa elimu.
2. Kubuniwa kwa taasisi za uchunguzi za Kiswahili.
Taasisi za kufanya utafiti katika lugha ya Kiswahili zimebuniwa kwa mfano TUKI. Taasisi hizi zinawezesha katika usanifishaji na uboreshaji wa misamiati na maneno ya Kiswahili.
3. Kiswahili kinatumika katika uchapishaji wa magazeti na majarida.
Lugha ya Kiswahili kinatumiwa kuchapisha magazeti kama vile taifa leo na kwa njia hii kiswahili kinazidi kuenziwa na kuenezwa.
4. Kiswahili kimefanywa kuwa lugha ya taifa.
Nchini Kenya Kiswahili kimefanywa kuwa lugha ya taifa na hivyo basi kinazungumzwa na rais wa humu nchini kwa sababu lugha ya taifa ni kitambulisho cha taifa.
5. Kiswahili kutumika katika vyombo vya habari.
Lugha ya kiswahili kinatumiwa katika vyombo vya habari kama vile redio na runinga kutoa taarifa kwa raia.
6. Kiswahili kutumika katika utunzi wa nyimbo na sanaa nyinginezo.
Wasanii wanakitumia Kiswahili kutunga nyimbo na mashairi pamoja na tungo nyingine hivyo kudumisha uenezi wa lugha ya kiswahili. Tungo hizi zinaposomwa na kusikilizwa kinaboresha lugha ya kiswahili miongoni mwa jamii.
Arnold Diru answered the question on June 23, 2018 at 03:48
-
Eleza mbinu zozote kumi za uandishi katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Eleza mbinu zozote kumi za uandishi katika tamthilia ya kigogo.
Date posted:
June 19, 2018
.
Answers (1)
-
a).Andika sentensi zifuatazo katika umoja. i)Walimu wamekaribisha akina mama shuleni.
(Solved)
a).Andika sentensi zifuatazo katika umoja.
i)Walimu wamekaribisha akina mama shuleni.
ii)Wasafiri wameapa kutosafiri katika magari hayo makuukuu.
b).Kamilisha methali zifuatazo.
i)Cha kuvunda hakina...............
ii)............vyajiuza vibaya vyajitembeza.
iii)Aambiwaye akakataa................
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
a).Kanusha sentensi zifuatazo.
a)Kondoo amekula majani.
b)Sisi tumefurahi
c)Baba ameandika barua ndefu.
b)Andika nahau tatu zenye neno 'piga'.
(Solved)
a).Kanusha sentensi zifuatazo.
a)Kondoo amekula majani.
b)Sisi tumefurahi
c)Baba ameandika barua ndefu.
b)Andika nahau tatu zenye neno 'piga'.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Bainisha maneno katika sentensi zifuatazo.
i)Mama na baba wamefika.
ii)Mbwa na paka wanchukiana sana.
(Solved)
Bainisha maneno katika sentensi zifuatazo.
i)Mama na baba wamefika.
ii)Mbwa na paka wanchukiana sana.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
a)Onyesha vivisishi katika sentensi zifuatazo.
i) Lo! lo! yule ni nani?
ii)Salaala! mbwa mkali amemuuma Maimuna.
iii)Zii! kwani wewe huna aibu?
b)Tegua vitendawili vifuatavyo.
i)Nina saa ambayo haijasimama tangu kutiwa...
(Solved)
a)Onyesha vivisishi katika sentensi zifuatazo.
i) Lo! lo! yule ni nani?
ii)Salaala! mbwa mkali amemuuma Maimuna.
iii)Zii! kwani huna aibu?
b)Tegua vitendawili vifuatavyo.
i)Nina saa ambayo haijasimama tangu kutiwa ufunguo.
ii)Nyumba yangu kuu lakini ina mlango mdogo.
iii)Nimeanika mpunga wangu usiku kulipopambazuka sikuuona.
iv)Haukamatiki wala haushikiki.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa tano za sajili ya hospitalini.
(Solved)
Fafanua sifa tano za sajili ya hospitalini.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
Utepe mweusi ulizungushiwa uzio.
(Solved)
Andika kwa wingi
Utepe mweusi ulizungushiwa uzio.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Panga maneno haya kwa mantiki kutegemea herufi za abjadi vile ilivyo katika kamusi.
i)chochwa
ii)chocha
iii)chochea
iv)chocheana
(Solved)
Panga maneno haya kwa mantiki kutegemea herufi za abjadi vile ilivyo katika kamusi.
i)chochwa
ii)chocha
iii)chochea
iv)chocheana
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
i)-ake
ii)-ako
(Solved)
Andika kwa wingi
i)-ake
ii)-ako
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina tano za vivumishi vya pekee.
(Solved)
Taja aina tano za vivumishi vya pekee.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ili kubainisha maana ya:
i)Shuka
ii)Suka
iii)Zuka
(Solved)
Tunga sentensi ili kubainisha maana ya:
i)Shuka
ii)Suka
iii)Zuka
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Ala songezi in nini?
(Solved)
Ala songezi in nini?
Date posted:
June 11, 2018
.
Answers (1)
-
)a)Tunga sentensi ukitumia nomino 'Mgomba' pamoja na kivumishi kisisitizi cha mbali kidogo (b)Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
(Solved)
a)Tunga sentensi ukitumia nomino 'Mgomba' pamoja na kivumishi kisisitizi cha mbali kidogo
b)Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Taja aina nne za nomino (b)Taja ngeli za nomino zifuatazo (i) Ujinga (ii)Ugonjwa (iii)Kucheza (iv)Sukari (v)Barua (vi)Mti
(Solved)
a)Taja aina nne za nomino
b)Taja ngeli za nomino zifuatazo
i)Ujinga
ii)Ugonjwa
iii)Kucheza
iv)Sukari
v)Barua
vi)Mti
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.
(Solved)
Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
1. (a) Andika sentensi ifuatayo iwe katika hali ya -ki- ya masharti. Tulilala sana tukachelewa kwenda shuleni (b)Taja aina mbili za mofimu. 2 (a)Taja sababu mbili zinazomfanya mzungumzaji kutumia...
(Solved)
1.a)Andika sentensi ifuatayo iwe katika hali ya -ki- ya masharti.
Tulilala sana tukachelewa kwenda shuleni
b)Taja aina mbili za mofimu
2 a)Taja sababu mbili zinazomfanya mzungumzaji kutumia zaid ya lugha moja katika mazungumzo katika nyanja za isimu jamii
b)Taja natharia mbili za chimbuko la kiswahili
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Tunga sentensi kubainisha maana ya neno duni (b)Taja aina zozote mbili za sentensi
(Solved)
a)Tunga sentensi kubainisha maana ya neno duni
b)Taja aina zozote mbili za sentensi
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Ikanushe sentensi ifuatayo kwa udogo. Nyumba yenyewe iljengwa bondeni karibu na mto. (b)onyesha shadda katika maneno yafuatayo: (i)Mbono(mti) (ii)Barabara (sawasawa) (c)Onyesha matumizi mawili ya (i)kinyota (ii)Ritifaa
(Solved)
a)Ikanushe sentensi ifuatayo kwa udogo. Nyumba yenyewe iljengwa bondeni karibu na mto.
b)onyesha shadda katika maneno yafuatayo:
i)Mbono(mti)
ii)Barabara (sawasawa)
c)Onyesha matumizi mawili ya
i)kinyota
ii)Ritifaa
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Eleza tofauti kati ya sauti /z/ na /d/ (b)Toa kigezo chochote kimoja cha kuainisha konsonantic)sentensi ifuatayo ina maana mbili tofauti. Zieleze.Huyu amekuja kutuliza.
(Solved)
a)Eleza tofauti kati ya sauti /z/ na /d/
b)Toa kigezo chochote kimoja cha kuainisha konsonanti
c)sentensi ifuatayo ina maana mbili tofauti. Zieleze.
Huyu amekuja kutuliza.
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya maneno yafuatayo (i)Kujizatiti (ii)Kichwa kuwa chepesi (iii)Vigae
(Solved)
Eleza maana ya maneno yafuatayo
i)Kujizatiti
ii)Kichwa kuwa chepesi
iii)Vigae
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)