Changamoto zinazoweza kumkumba mtafiti huweza kutatuliwa kwa njia zifuatazo:
1. Kumpa fedha za matumizi za kutosha ili asipungukiwe mahitaji yake katika utafiti.
2. Kwa kupata barua na stakabadhi maalum za kumruhusu kufanya utafiti katika eneno aendako.
3. Kujijulisha kwa kina na eneo la utafiti kwa kulizuru mapema.
4. Kutangamana na watu anaoshirikiana nao katika kazi ya ili kusiwe na vurugu na kukataliwa wakati wa utafiti wake.
5. Kutumia vyombo vilvyo hali nzuri ili kuepukana na tatizo la kukosa kukusanya matukio ya utafiti.
6. Kuhifadhi vyema anayopata ili kujikinga na kupotea kwa data muhimu.
Andreaz answered the question on September 6, 2018 at 09:41
-
Kufanikiwa kwa uwasilishaji wa tanzu ya fasihi simulizi hutegemea fanani. Jadili
(Solved)
Kufanikiwa kwa uwasilishaji wa tanzu ya fasihi simulizi hutegemea fanani. Jadili
Date posted:
July 6, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa isimu jamii
(Solved)
Eleza umuhimu wa isimu jamii.
Date posted:
July 2, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wastani.
Magoma haya yatachezwa wanjani
(Solved)
Andika kwa wastani.
Magoma haya yatachezwa wanjani
Date posted:
June 26, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza mambo yanayochangia katika kuenea kwa lugha ya kiswahili
(Solved)
Ekeza mambo yanayochangia katika kuenea kwa lugha ya kiswahili
Date posted:
June 21, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza mbinu zozote kumi za uandishi katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Eleza mbinu zozote kumi za uandishi katika tamthilia ya kigogo.
Date posted:
June 19, 2018
.
Answers (1)
-
a).Andika sentensi zifuatazo katika umoja. i)Walimu wamekaribisha akina mama shuleni.
(Solved)
a).Andika sentensi zifuatazo katika umoja.
i)Walimu wamekaribisha akina mama shuleni.
ii)Wasafiri wameapa kutosafiri katika magari hayo makuukuu.
b).Kamilisha methali zifuatazo.
i)Cha kuvunda hakina...............
ii)............vyajiuza vibaya vyajitembeza.
iii)Aambiwaye akakataa................
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
a).Kanusha sentensi zifuatazo.
a)Kondoo amekula majani.
b)Sisi tumefurahi
c)Baba ameandika barua ndefu.
b)Andika nahau tatu zenye neno 'piga'.
(Solved)
a).Kanusha sentensi zifuatazo.
a)Kondoo amekula majani.
b)Sisi tumefurahi
c)Baba ameandika barua ndefu.
b)Andika nahau tatu zenye neno 'piga'.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Bainisha maneno katika sentensi zifuatazo.
i)Mama na baba wamefika.
ii)Mbwa na paka wanchukiana sana.
(Solved)
Bainisha maneno katika sentensi zifuatazo.
i)Mama na baba wamefika.
ii)Mbwa na paka wanchukiana sana.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
a)Onyesha vivisishi katika sentensi zifuatazo.
i) Lo! lo! yule ni nani?
ii)Salaala! mbwa mkali amemuuma Maimuna.
iii)Zii! kwani wewe huna aibu?
b)Tegua vitendawili vifuatavyo.
i)Nina saa ambayo haijasimama tangu kutiwa...
(Solved)
a)Onyesha vivisishi katika sentensi zifuatazo.
i) Lo! lo! yule ni nani?
ii)Salaala! mbwa mkali amemuuma Maimuna.
iii)Zii! kwani huna aibu?
b)Tegua vitendawili vifuatavyo.
i)Nina saa ambayo haijasimama tangu kutiwa ufunguo.
ii)Nyumba yangu kuu lakini ina mlango mdogo.
iii)Nimeanika mpunga wangu usiku kulipopambazuka sikuuona.
iv)Haukamatiki wala haushikiki.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa tano za sajili ya hospitalini.
(Solved)
Fafanua sifa tano za sajili ya hospitalini.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
Utepe mweusi ulizungushiwa uzio.
(Solved)
Andika kwa wingi
Utepe mweusi ulizungushiwa uzio.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Panga maneno haya kwa mantiki kutegemea herufi za abjadi vile ilivyo katika kamusi.
i)chochwa
ii)chocha
iii)chochea
iv)chocheana
(Solved)
Panga maneno haya kwa mantiki kutegemea herufi za abjadi vile ilivyo katika kamusi.
i)chochwa
ii)chocha
iii)chochea
iv)chocheana
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
i)-ake
ii)-ako
(Solved)
Andika kwa wingi
i)-ake
ii)-ako
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina tano za vivumishi vya pekee.
(Solved)
Taja aina tano za vivumishi vya pekee.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ili kubainisha maana ya:
i)Shuka
ii)Suka
iii)Zuka
(Solved)
Tunga sentensi ili kubainisha maana ya:
i)Shuka
ii)Suka
iii)Zuka
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Ala songezi in nini?
(Solved)
Ala songezi in nini?
Date posted:
June 11, 2018
.
Answers (1)
-
)a)Tunga sentensi ukitumia nomino 'Mgomba' pamoja na kivumishi kisisitizi cha mbali kidogo (b)Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
(Solved)
a)Tunga sentensi ukitumia nomino 'Mgomba' pamoja na kivumishi kisisitizi cha mbali kidogo
b)Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
(a)Taja aina nne za nomino (b)Taja ngeli za nomino zifuatazo (i) Ujinga (ii)Ugonjwa (iii)Kucheza (iv)Sukari (v)Barua (vi)Mti
(Solved)
a)Taja aina nne za nomino
b)Taja ngeli za nomino zifuatazo
i)Ujinga
ii)Ugonjwa
iii)Kucheza
iv)Sukari
v)Barua
vi)Mti
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.
(Solved)
Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)
-
1. (a) Andika sentensi ifuatayo iwe katika hali ya -ki- ya masharti. Tulilala sana tukachelewa kwenda shuleni (b)Taja aina mbili za mofimu. 2 (a)Taja sababu mbili zinazomfanya mzungumzaji kutumia...
(Solved)
1.a)Andika sentensi ifuatayo iwe katika hali ya -ki- ya masharti.
Tulilala sana tukachelewa kwenda shuleni
b)Taja aina mbili za mofimu
2 a)Taja sababu mbili zinazomfanya mzungumzaji kutumia zaid ya lugha moja katika mazungumzo katika nyanja za isimu jamii
b)Taja natharia mbili za chimbuko la kiswahili
Date posted:
June 9, 2018
.
Answers (1)