Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Jadili maana ya malumbano ya utani

      

Jadili maana ya malumbano ya utani.

  

Answers


KELVIN
Ni kufanyiana dhihaka ili kuchekesha watu. Wanajamii wanaweza kutaniana kwa namna ifuatayo:
Utani wa mababu/mabibi na wajukuu.
Utani wa marafiki.
Utani wa ukoo /makabila.
Utani wa rika moja.

kalvinspartan answered the question on July 24, 2018 at 11:24


Next: Maigizo huwa na madhumuni yepi katika jamii
Previous: Jadili sifa za malumbano ya utani

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions