Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza maana ya hotuba huku ukitolea mifano ya hotuba

      

Eleza maana ya hotuba huku ukitolea mifano ya hotuba.

  

Answers


KELVIN
Ni maelezo au taarifa itolewayo mbele ya hadhira kuhusu mada fulani, kwa kawaida hotuba ni mazungumzo rasmi kama vile:
1. Hafla za kisiasa (hotuba za wanasiasa)
2. Kanisani au msikitini (mahubiri)
3. Sherehe za kitamaduni k.v vikao vya posa.
4. Kortini kabla jaji hajatoa hukumu, anaweza kutanguliza hotuba.
5. Kwenye mazishi (taabili) taadhiri na risala za rambirambi.
6. Katika harusi mawaidha yanayotolewa kwa maarusi huchukua muundo wa hotuba
7. Katika tamasha za muziki na ukariri wa mashairi au mashindano ya utoaji hotuba.

kalvinspartan answered the question on July 24, 2018 at 11:32


Next: Fafanua umuhimu wa ulumbi katika jamii
Previous: Eleza sifa tano za hotuba

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions