
1. Muktadha
Ile kuelewa methali, ni muhimu kujua mazingira, tamaduni na hali zilizozizaa methali hizo methali ambazo zimezaliwa katika muktadha au mazingira sawa huweza kuwekwa katika kundi moja.
2. Maudhui
Maudhui na fani ndiyo hutawala methali, maudhui katika methali ni mengi na mapana kama zilivyo jamii na shughuli zao, methali ambazo huwa na maudhui sawa huwekwa katika kundi moja, baadhi ya maudhui yanayojitokeza katika methali za Kiswahili ni ya
a) Malezi
i. Mchelea mwana kulia hulia mwenyewe
ii. Samaki mkunje angali mbichi
iii. Asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu.
b) Kazi
i) Kazi mbi si mchezo mwema.
ii) Mchagua jembe si mkulima.
iii) Kazi ya bakuli husiri.
v) Kazi isiyo faidi kutenda si ada.
III. Ushirikiano
i) Kidole kimoja hakivunji chawa.
ii) Jifya moja haliinjiki chungu.
(iii) Umoja ni nguvu utengano udhaifu.
3. Mtindo au fani
Mbali na maudhui, methali hutawaliwa na fani pia. Fani katika methali hudhihirika katika muundo, tamathali za semi na taswira inayoibuliwa, methali ambazo huundwa kwa kutumia fani sawa huweza kuwekwa katika kundi moja. Methali zifuatazo zimeundwa kwa kutumia kweli kinzani
a) Simba mwenda pole ndiye mla nyama.
b) Kuinamako ndiko kuinukako.
4. Jukumu
Methali huweza kuanishwa kulingana na majukumu yake. Je, methali inasifu, inakashifu, inahimiza, inaonya ama inafariji? Methali zifuatazo hutumiwa kuonya:
a) Mwenye pupa hadiriki kula tamu.
b) Asiyeangalia huishia ningalijua.
c) Usione kwenda mbele kurudi nyuma si kazi.
5. Maana
a) Methali zote zenye maana sawa huweza kuwekwa katika kundi moja, kwa mfano.
I. Damu ni nzito kuliko maji
i. Meno ya mbwa hayaumani
ii. Mtoto wa nyoka ni nyoka
iii. Mwana wa mhunzi asiposana, huvukuta.
b) Methali zenye maana zinazokinzana pia zinaweza kuainishwa pamoja, kwa mfano. Mvumilivu hula mbivu. Ngoja ngoja huumiza matumbo. Mtu pweke ni uvundo. Nahodha wengi chombo huenda mrama.
kalvinspartan answered the question on July 30, 2018 at 16:18
-
Eleza sifa tano za methali
(Solved)
Eleza sifa tano za methali.
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya methali
(Solved)
Eleza maana ya methali
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya tondozi
(Solved)
Eleza maana ya tondozi
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)
-
Majigambo yana umuhimu gani katika jamii
(Solved)
Majigambo yana umuhimu gani katika jamii.
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa zozote nne za majigambo
(Solved)
Taja sifa zozote nne za majigambo.
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza mbinu ya kinaya katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Eleza mbinu ya kinaya katika tamthilia ya Kigogo
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili kauli hii kuwa lugha ya kiswahili ni lugha ya kiarabu
(Solved)
Jadili kauli hii kuwa lugha ya kiswahili ni lugha ya kiarabu
Date posted:
July 29, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya usemi halisi na usemi taarifa
(Solved)
Eleza maana ya usemi halisi na usemi taarifa
Date posted:
July 29, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tano za lugha ya taifa
(Solved)
Eleza sifa tano za lugha ya taifa
Date posted:
July 29, 2018
.
Answers (1)
-
Mtafiti huenda akapatwa na changamoto nyanjani, fafanua.
(Solved)
Mtafiti huenda akapatwa na changamoto nyanjani, fafanua.
Date posted:
July 25, 2018
.
Answers (1)
-
Linganisha fasihi simulizi na fasihi andishi
(Solved)
Linganisha fasihi simulizi na fasihi andishi
Date posted:
July 25, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tano za kimsingi zinazotambulisha sajili ya siasa
(Solved)
Eleza sifa tano za kimsingi zinazotambulisha sajili ya siasa.
Date posted:
July 25, 2018
.
Answers (1)
-
Maudhui ya usaliti katika kigogo yanapatikanaje?
(Solved)
Maudhui ya usaliti katika kigogo yanapatikanaje?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya majigambo/vivugo
(Solved)
Eleza maana ya majigambo/vivugo.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya maghani simulizi
(Solved)
Eleza maana ya maghani simulizi
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya rara huku ukitoa sifa zake tano
(Solved)
Eleza maana ya rara huku ukitoa sifa zake tano.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Maghani yana umuhimu gani katika jamii?
(Solved)
Maghani yana umuhimu gani katika jamii?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa tano za maghani
(Solved)
taja sifa tano za maghani.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya maghani
(Solved)
Eleza maana ya maghani.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nyimbo za vita huimbwa na nani?
(Solved)
Nyimbo za vita huimbwa na nani?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)