Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza aina tofauti za sauti katika lugha ya Kiswahili

      

Eleza aina tofauti za sauti katika lugha ya Kiswahili.

  

Answers


KELVIN
a) Irabu
? Sauti ambazo hutamkwa kwa ulaini bila hewa kuzuiliwa katika ala za sauti.
b) Konsonanti
? Sauti ambazo wakati wa kutamkwa hewa huzuiliwa katika ala za sauti.

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 13:08


Next: Nini maana ya shadda au mkazo
Previous: Taja aina tofauti za ala za sauti.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions