Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Dhibitisha kwa kutolea mifano utata wa K na G

      

Dhibitisha kwa kutolea mifano utata wa K na G

  

Answers


kelvin
Kuku
a) aina ya ndege anayefugwa nyumbani
Gugu
a) mmea unaoota mahali usipotakiwa
b) mmea wa mwituni mfano wa unyasi
Kuni
a) vipande vya mti vya kukokea moto
Guni
a) shairi la arudhi lililokosa kutosheleza kanuni moja au zaidi ya uandishi
Kuna
b) kwaruza kwa kucha /kitu chenye menomeno
Guna
a) toa sauti ya kuonyesha kukataa, kutoridhika, au kuchukia jambo.
Kenge
a) mnyama kama mjusi mdogo
Genge
a) kundi la watu
b) pango/shimo
Kesi
a) daawa/mashtaka yanayosikilizwa mahakamani
Gesi
a) hewa inayotumiwa kupikia au kutiwa katika vinywaji
b) hewa ambayo haigeuki na kuwa majimaji katika joto la kawaida

kevowmuchiri answered the question on August 10, 2018 at 10:03


Next: Katika sentensi bainisha tofauti iliyopo kati ya doa na ndoa
Previous: Bainisha utata wa CH NA J

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions