
)Msemaji ni Amani
Msemewa ni Imani
Wamo nyumbani
Ilikuwa ni baada ya sherehe za wazalendo ambapo Imani alitaka kujua sherehe ilikuwa vipi
b) - Imani ni mwenye bidii kazini alifanya kazi vizuri kwa majisifu
- Ni mpole
- Mwenye stahamala ;walisafiri pamoja ana Amani hadi Soko moko bila chakula maji wala fedha
- Mwenye huruma , aliwahudumia wanawe majisifu kiutu . Hakuwaona kama masimbi au mashata , baba yao alivyowaona
- Karim alimtembela DJ hospitalini baada ya kuumwa na mbwa
- Mwenye mapenzi ya dhati /utu - alitunza kitoto uhuru hadi kilipo kufa aliwadanmani wanawe majisifu
- Mwenye hekima alimshauri Oscar kambona (Gaddafi) aache kumwandama Mtemi Nasaba Bora arudi Barack aishi na Kweche Makweche
- Ni jasiri - alimwelezea majisifu wizi wa kitaaluma bila kuhofia
c) Methali - kusikia sikuoni : kuku; ndipo tuamba
d) Sherehe za wazelendo zilikuwa na umuhimu wa
kukumbuka waliojitolea mhanga , kukomboa nehi kama alivyoshuhubu Balozi
- Ni siku ya matumbuizo ( (kusheherekea mkesha wa siku hiyo wasokomko walisherehekea kwa vigoma na magoma aidha kulikuwa na kandanda
- Ni wakati wa viongozi kukutamka kama taifa mfano mtemi Nasaba Bora alisema hotuba ya rais sawa na iliyokuwa ikisomwa Songoa
- Ni siku ya watu kukutahanika kama taifa mfano , uwanja wa Nasaba Bora ulijawa na sufufu ya watu
(2x2)
e)-Ni kielezo cha kizazi kipya ambacho kinafaa kuwa mbegu ya ukombozi katika jamii
- Ni chanzo cha mabadiliko ya uombozi katika jamii
- Anatumiwa kuonyesha kuwa bidii na ari maishani hufaa matunda meme ( 2x2)
ESTHER STEVE answered the question on September 7, 2018 at 20:19
-
Taja aina nane na miundo ya tungo katika mashairi ya arudhi
(Solved)
Taja aina nane na miundo ya tungo katika mashairi ya arudhi.
Date posted:
September 4, 2018
.
Answers (1)
-
Elezea tofauti Kati ya kuchanganya ndimi na kuhamisha ndimi?
(Solved)
Elezea tofauti Kati ya kuchanganya ndimi na kuhamisha ndimi?
Date posted:
August 29, 2018
.
Answers (1)
-
Lugha ya 'sheng' imekua lugha ambayo vijana wameipenda saana. Taja sifa saba ya sheng?
(Solved)
Lugha ya 'sheng' imekua lugha ambayo vijana wameipenda saana. Taja sifa saba ya sheng?
Date posted:
August 29, 2018
.
Answers (1)
-
Elezea hatua za usanifishaji?
(Solved)
Elezea hatua za usanifishaji?
Date posted:
August 29, 2018
.
Answers (1)
-
Nini sababu zinazochangia kuwepo Kwa uwingi lugha?
(Solved)
Nini sababu zinazochangia kuwepo Kwa uwingi lugha?
Date posted:
August 27, 2018
.
Answers (1)
-
Elezea maana ya lafudhi na sababu za kuwa nazo
(Solved)
Elezea maana ya lafudhi na sababu za kuwa nazo.
Date posted:
August 27, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi yenye muundo ufuatao _RN+RT
(Solved)
Tunga sentensi yenye muundo ufuatao _RN+RT
Date posted:
August 26, 2018
.
Answers (1)
-
Taaluma ya Sintaksia inahusiana na taaluma nyingine nyingi. Fafanua
(Solved)
Taaluma ya Sintaksia inahusiana na taaluma nyingine nyingi. Fafanua
Date posted:
August 26, 2018
.
Answers (1)
-
Ni nini maana ya dhana Sintaksia?
(Solved)
Ni nini maana ya dhana Sintaksia?
Date posted:
August 26, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya ujenzi katika jamii katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya ujenzi katika jamii katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
August 23, 2018
.
Answers (1)
-
Uzembe ni Jambo la kawaida miongoni mwa wafanyakazi wa umma.Kwa kutolea mifano kumi tetea dai hili Kwa mujibu wa riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.
(Solved)
Uzembe ni Jambo la kawaida miongoni mwa wafanyakazi wa umma.Kwa kutolea mifano kumi tetea dai hili Kwa mujibu wa riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.
Date posted:
August 21, 2018
.
Answers (1)
-
Nini tofauti ya ngoma na ngomezi?
(Solved)
Nini tofauti ya ngoma na ngomezi?
Date posted:
August 18, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha ufaafu wa mada "damu nyeusi"
(Solved)
Onyesha ufaafu wa mada "damu nyeusi"
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
onyesha matumizi ya tashhisi katika hadithi fupi ya samaki wa nchi za joto
(Solved)
onyesha matumizi ya tashhisi katika hadithi fupi ya samaki wa nchi za joto
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maudhui manne yanayojitokeza katika hadithi fupi ya samaki wa nchi za joto
(Solved)
Eleza maudhui manne yanayojitokeza katika hadithi fupi ya samaki wa nchi za joto.
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza kwa kina ufaafu wa mada "SAMAKI WA NCHI ZA JOTO" katika tamthilia ya damu nyeusi
(Solved)
Eleza kwa kina ufaafu wa mada "SAMAKI WA NCHI ZA JOTO" katika tamthilia ya damu nyeusi
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
Maswali ya balagha yametumika vipi katika hadithi ya mke wangu
(Solved)
Maswali ya balagha yametumika vipi katika hadithi ya mke wangu.
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano, onyesha matumizi ya tashbihi na takririr katika hadithi ya mke wangu
(Solved)
Kwa kutolea mifano, onyesha matumizi ya tashbihi na takririr katika hadithi ya mke wangu.
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha matumizi ya mbinu rejeshi katika hadithi fupi ya mke wangu
(Solved)
Onyesha matumizi ya mbinu rejeshi katika hadithi fupi ya mke wangu.
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
Kwa kutoa mifano, onyesha matumizi ya nidaha katika hadithi ya mke wangu
(Solved)
Kwa kutoa mifano, onyesha matumizi ya nidaha katika hadithi ya mke wangu.
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)