Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza kinaya katika Kigogo

      

Eleza kinaya katika Kigogo.

  

Answers


Noah
KINAYA KATIKA TAMTHILIA KIGOGO
1.Boza anadai kuwa kulipa kodi ni kuchenga nchi na kujitegemea.Kauli hii ni Kinaya kwa vile kodiwanayolipa Wanasagamoyo haitumiki kujenga nchi kwa vyovyote vile.
2.Boza anamwambia Sudi kuwa wanatia doa kwa kila jambo nzuri. Ni Kinaya kwa vile hakuna jambo nzuri ambayo Majoka amefanya Sagamoyo.
3.Wanasagamoyo kusheherekea miaka sitini ya uhuru ni kinaya kwani hakuna maendeleo Sagamoyo.
4.Boza anadai kuwa kinyago chake chapendeza na kufanana na shujaa Marara Bin Ngao, ni kinaya kwa kuwa kinyago hicho hakifanani na shujaa huyo.
5.Majoka kudai kuwa takataka za soko zitaaribu sifa nzuri za jimbo la Sagamoyo,ni kinaya kwa vile hakuna sifa nzuri Sagamoyo.
Kibet Koina answered the question on December 28, 2018 at 17:11


Next: List stages involved in treating water in the farm
Previous: Events that make the passion of Christ

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions