Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

(A)Maghani ni nini? (B)Eleza fani zifuatazo za maghani. (i)Vivugo. (ii)Tondozi. (iii)Pembezi. (iv)Rara.

      

(A)Maghani ni nini?
(B)Eleza fani zifuatazo za Maghani.
(i)Vivugo.
(ii)Tondozi.
(iii)Pembezi.
(iv)Rara.

  

Answers


Seline
(A)Maghani ni utungo wa kishairi ambao hutongolewa kwa kutumia sauti iliyo kati ya uimbaji au uzungumzaji.

(B)(i)Vivugo ni Maghani ya kujisifu yanayotungwapapo hapo aghalabu na fanani anayejisifu.
(ii)Tondozi ni utungo wa kutukuza watu,wanyama,vitu.Husifu maumbile,sura,Tania na matendo.
(iii)Pembezi husifu watu wa aina Fulani katika jamii kutokana na mchango wao au matendo yao.Mfano:viongozi,wanamichezo,wanamuziki.
(iv)Rara ni utungo wa kishairi ambao husimulia mambo ya kubuni.Hutongolewa na kughaniwa kwa kusudi la kusisumua hadithi.
Belan answered the question on February 19, 2019 at 12:37


Next: Write brief notes on: 1. Melting/liquidification/fusion 2.Freezing/fusion/solidification 3.Boiling/vaporization/evaporation 4.Condensation/liquidification
Previous: Bora Ltd. Commenced its operations on 1 march 2005 with a fully paid up issued share capital of Sh.500,000 represented by fixed assets of Sh.275,000 and...

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions