
Hatua tano zinazofuatwa na mkusanyaji wa data ya fasihi simulizi.
1.Chagua mada-Hakikisha umechagua kichwa cha uchungui wako kwa kuingatia uwezo wako.Kama vile:Kuwea kuzungumza wazi na mtu usiejua,lugha unazoweza kuzungumza kwa ufasaha.
2.Tunga natharia tete-Tayarisha maswali ama natharia tete kuhusu yale unataka kujua kulingana na mada yako.Kwa mfano unapokusanya data kuhusu jamii ya wamasai, unaeza uliza swali kama:Kiongozi wajamii la wamasai ni nani?
3.Matayarisho ya kuenda uwanjani kusanya data-Katuka haya matayarisho mkusanyaji anafaa kujitayarisha vifuatavyo:
-Chagua mahali ama uwanja na wakati wa kusanya data
-Chagua mbinu utakayotumia katika ukusanyaji wa data
-Chagua mbinu utakayotumia kwa kurekodi data utakayo kusanya
4.Uusanyaji wa data-Mkusanyaji anafaa kuwasili alipokua ameamua kusanyia data kuisanya data na kurekodi.
5.Kuwaakilisha na kuweka data uliyokusanya-unaeza wakilisha data uliyokusanya kama ripoti kwa aliyehitaji ama aliyeitisha hiyo data.
Lagatajj answered the question on February 27, 2019 at 14:55
-
Mofimu ni nini?
(Solved)
Mofimu ni nini?
Date posted:
February 23, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza neno 'Kwetu' lilivyotumika katika sentensi zifuatazo.
a.Juma ameenda kwetu.
b.Kwetu ni kule.
c.Mahali kwetu ni kule.
(Solved)
Swali la marudio kwa Kidato cha nne.
Date posted:
February 22, 2019
.
Answers (1)
-
Toa mifano miwili ya viyeyusho
(Solved)
Toa mifano miwili ya viyeyusho.
Date posted:
February 20, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tano za Ridhaa katika chozi la heri
(Solved)
Eleza sifa tano za Ridhaa katika chozi la heri.
Date posted:
February 20, 2019
.
Answers (1)
-
(A)Maghani ni nini?
(B)Eleza fani zifuatazo za maghani.
(i)Vivugo.
(ii)Tondozi.
(iii)Pembezi.
(iv)Rara.
(Solved)
(A)Maghani ni nini?
(B)Eleza fani zifuatazo za Maghani.
(i)Vivugo.
(ii)Tondozi.
(iii)Pembezi.
(iv)Rara.
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
(A)(i)Nini maana ya ngomezi.
(ii)Fafanua sifa za ngomezi.
(iii)Taja mifano mitatu ya ngomezi za kisasa.
(Solved)
(A)(i)Nini maana ya ngomezi.
(ii)Fafanua sifa za ngomezi.
(iii)Taja mifano mitatu za ngomezi za kisasa.
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
(A)(i)Miviga ni nini?
(ii)Fafanua sifa zozote za miviga.
(Solved)
(A)(i)Miviga ni nini?
(ii)Fafanua sifa zozote za Miviga.
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza jinsi wanasagamoyo wanavyopambana na uongozi mbaya
(Solved)
jinsi wanasagamoyo wanavyopambana na uongozi mbaya
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
K. Walibora: Kidagaa Kimemwozea Kwa kurejelea hoja kumi na nne kutoka kwenye riwaya hii, thibitisha kwamba raia wa Tomoko walistahili kuogopa hata kuwa na uoga‘
(Solved)
K. Walibora: Kidagaa Kimemwozea
Kwa kurejelea hoja kumi na nne kutoka kwenye riwaya hii, thibitisha kwamba raia wa Tomoko walistahili kuogopa hata kuwa na uoga‘
Date posted:
February 1, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili umuhimu wa kinachotafutwa katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea
(Solved)
Jadili umuhimu wa kinachotafutwa katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.)
Date posted:
February 1, 2019
.
Answers (1)
-
Wasemao husema, atafutaye hachoki."? Haya ni maneno ya msimulizi yanamhusu:(a) Fafanua muktadha wa dondoo hill
(Solved)
Wasemao husema, atafutaye hachoki."
Haya ni maneno ya msimulizi yanamhusu:
(a) Fafanua muktadha wa dondoo hill.
Date posted:
February 1, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maudhui ya kifo katika riwaya ya chozi la heri?
(Solved)
Eleza maudhui ya kifo katika riwaya ya chozi la heri?
Date posted:
January 20, 2019
.
Answers (1)
-
Taja umuhimu wa fasihi simulizi?
(Solved)
Taja umuhimu wa fasihi simulizi?
Date posted:
January 11, 2019
.
Answers (1)
-
Taja umuhimu wa tanakali za sauti?
(Solved)
Taja umuhimu wa tanakali za sauti?
Date posted:
January 11, 2019
.
Answers (1)
-
Taja maudhui yanayojitokeza katika hadithi ya tumbo lisiloshiba
(Solved)
Taja maudhui yanayojitokeza katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
Date posted:
January 11, 2019
.
Answers (1)
-
Swali la fasihi kutoka kwa kitabu cha hadithi ndogo Tumbo lisiloshiba.
(Solved)
Eleza dhamira ya mwadishi katika hadithi ya Tumbo lisiloshiba?
Date posted:
January 9, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili mbinu ya kinaya katika kigogo
(Solved)
Jadili mbinu ya kinaya katika kigogo
Date posted:
January 2, 2019
.
Answers (1)
-
"Sitaacha kula mkate kwa kuchelea kiungulia"eleza muktadha wa dondoo hili katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
"Sitaacha kula mkate kwa kuchelea kiungulia" eleza muktadha wa dondoo hili katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
January 2, 2019
.
Answers (1)
-
Taja misingi ya upangaji wa irabu za kiswahili
(Solved)
Taja misingi ya upangaji wa irabu za kiswahili.
Date posted:
January 2, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kutoa mifano taja aina tano za methali
(Solved)
Kwa kutoa mifano taja aina tano za methali.
Date posted:
January 1, 2019
.
Answers (1)