
Anwani chozi LA heri ni kinaya ukizingatia Yale yanayotukia riwayani.
Ni kinaya kuwa mwangeka anaenda kuweka usalama kwenye mataifa mengine ilhali kwao bado usalama ni balaa.
Ni kinaya kuwa viongozi Wa nchi za kiafrika wanaiona elimu ya humu kuwa duni ilhali wao ndio wanaosimamia elimu yenyewe wanawapeleka wana wao kusomea huko.
Viongozi Wa dini wanawaambia watu 'amani iwe nanyi'ilhali watu hawana amani kwa kuwa chakula,mavazi na makao hawana.
Kinaya kinaonekana pale ridhaa alipokwenda shuleni na kutengwa na wenzake anahuzunika sana.ridhaa alifululiza nyumbani na kulia kwa kite na shaka
Mabinti Wa kaizari wanatendewa unyama kwa kubakwa na vijana wanzao.kaizari anashuhudia hayo yote kwa dhiki kubwa
Mwangeka alipokuwa ameketi mkabala na kidimbwi cha kuogelea anakumbuka wanuna wake kama Tila,mwili unamzizima kidogo anatabasamu kisha tone LA chozi linamdondoka
Jumba LA kifahari LA Ridhaa linateketea.wanaoangamia ndani in Terry,Tila na mkewe mwangeka Lily na mjukuu Becky.Tukio hili linamsononesha Ridhaa
MBOROGO answered the question on June 11, 2019 at 10:51
-
Taja na ueleze kwa kifupi mambo ambayo hutawala matumizi ya lugha
(Solved)
Taja na ueleze kwa kifupi mambo ambayo hutawala matumizi ya lugha.
Date posted:
April 10, 2019
.
Answers (1)
-
Taja irabu mbili za nyuma ya ulimi.
(Solved)
Taja irabu mbili za nyuma ya ulimi.
Date posted:
April 9, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sehemu kuu za uandishi wa ripoti ya utafiti
(Solved)
Fafanua sehemu kuu za uandishi wa ripoti ya utafiti.
Date posted:
March 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sababu za kutamba ngano usiku?
(Solved)
Eleza sababu za kutamba ngano usiku?
Date posted:
March 12, 2019
.
Answers (1)
-
Ukirejelea tamthilia ya Kigogo,eleza jinsi nafasi ya vijana katika jamii inavyojitokeza
(Solved)
Ukirejelea tamthilia ya Kigogo,eleza jinsi nafasi ya vijana katika jamii inavyojitokeza.
Date posted:
March 12, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua maudhui ya umenke katika riwaya chozi la heri
(Solved)
Fafanua maudhui ya umenke katika riwaya chozi la heri.
Date posted:
March 9, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua shamirisho na chagizo katika sentensi ifuatayo: Mama alipika chakula kitamu.
(Solved)
Tambua shamirisho na chagizo katika sentensi ifuatayo.
Mama alipika chakula kitamu.
Date posted:
March 8, 2019
.
-
Sadfa imetumiwaje katika riwaya ya chozi la heri?
(Solved)
Sadfa imetumiwaje katika riwaya ya chozi la heri?
Date posted:
March 6, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya methali; "Kibaya chajitembeza kizuri chajiuza"
(Solved)
Eleza maana ya methali; "Kibaya chajitembeza kizuri chajiuza".
Date posted:
March 6, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya vipengele vya ushairi katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Eleza matumizi ya vipengele vya ushairi katika tamthilia ya Kigogo
Date posted:
February 24, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza hatua tano zinazofuatwa na mkusanyaji wa data ya fasihi simulizi
(Solved)
Eleza hatua tano zinazofuatwa na mkusanyaji wa data ya fasihi simulizi.
Date posted:
February 23, 2019
.
Answers (1)
-
Mofimu ni nini?
(Solved)
Mofimu ni nini?
Date posted:
February 23, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza neno 'Kwetu' lilivyotumika katika sentensi zifuatazo.
a.Juma ameenda kwetu.
b.Kwetu ni kule.
c.Mahali kwetu ni kule.
(Solved)
Swali la marudio kwa Kidato cha nne.
Date posted:
February 22, 2019
.
Answers (1)
-
Toa mifano miwili ya viyeyusho
(Solved)
Toa mifano miwili ya viyeyusho.
Date posted:
February 20, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tano za Ridhaa katika chozi la heri
(Solved)
Eleza sifa tano za Ridhaa katika chozi la heri.
Date posted:
February 20, 2019
.
Answers (1)
-
(A)Maghani ni nini?
(B)Eleza fani zifuatazo za maghani.
(i)Vivugo.
(ii)Tondozi.
(iii)Pembezi.
(iv)Rara.
(Solved)
(A)Maghani ni nini?
(B)Eleza fani zifuatazo za Maghani.
(i)Vivugo.
(ii)Tondozi.
(iii)Pembezi.
(iv)Rara.
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
(A)(i)Nini maana ya ngomezi.
(ii)Fafanua sifa za ngomezi.
(iii)Taja mifano mitatu ya ngomezi za kisasa.
(Solved)
(A)(i)Nini maana ya ngomezi.
(ii)Fafanua sifa za ngomezi.
(iii)Taja mifano mitatu za ngomezi za kisasa.
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
(A)(i)Miviga ni nini?
(ii)Fafanua sifa zozote za miviga.
(Solved)
(A)(i)Miviga ni nini?
(ii)Fafanua sifa zozote za Miviga.
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza jinsi wanasagamoyo wanavyopambana na uongozi mbaya
(Solved)
jinsi wanasagamoyo wanavyopambana na uongozi mbaya
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
K. Walibora: Kidagaa Kimemwozea Kwa kurejelea hoja kumi na nne kutoka kwenye riwaya hii, thibitisha kwamba raia wa Tomoko walistahili kuogopa hata kuwa na uoga‘
(Solved)
K. Walibora: Kidagaa Kimemwozea
Kwa kurejelea hoja kumi na nne kutoka kwenye riwaya hii, thibitisha kwamba raia wa Tomoko walistahili kuogopa hata kuwa na uoga‘
Date posted:
February 1, 2019
.
Answers (1)