
Mwanamke anaendeleza mateso/dhuluma dhidi ya mwanamke mwenzake kwa
njia zifuatazo:
(i). Kazi-Mtoto wa kike anafanyishwa kazi nyingi za nyumbani na kutarajiwa
asome kwa wakati huo huo bila utetezi wowote kutoka kwa wanawake
(ii). Ndoa-Wanawake hawakuwa wakisomeshwa sana na hata wangeliozwa
mara tu pangetokea mume wa kuwashika mkono.
(iii) Zena anamweleza mamake kuhusu makuruhu aliyotendewa na mumewe
badala yake analaumiwa kwa kutotimiza wajibu wake hakutoa, suluhisho
mwafaka
(iv) Dhuluma ndoani zinapozidi hadi kufikia kipigo, Zena anashindwa
kumweleza mamake na hivyo kuendelea kuteseka hadi mwisho anashindwa
kuhimili.
(v) Wazazi wa Ali akiweko mamake Ali hawakufanya lolote kuzuia madhara
yaliyompata Zena ndani va ndoa. Ali alikuwa kama mfalme kwa mamave.
(vi) Zena anapomshauri mamake kuhusu swala la kujiingiza siasani, mamake
anamkashiu
(vii) .Wakati wa kampeni za kisiasa baadhi ya wanawake walichangia katika
kumsengenya na kupaka jina lake tope/ walimwita Malaya
Githiari answered the question on April 19, 2019 at 09:50
-
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine
2. “Karibu ndugu yangu waumini ni kukirimiana tunashukuru, alhamdulilahi sifa zote ni zake Maulana a)Eleza muktadha wa dondoo hili
b)...
(Solved)
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine
. “Karibu ndugu yangu waumini ni kukirimiana tunashukuru, alhamdulilahi sifa zote ni zake Maulana a)Eleza muktadha wa dondoo hili
b) Wahusika hawa walikirimiana vipi?
c) “Kukirimiana” huko kulikuwa na hasara gani?
Date posted:
April 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sifa za utungaji wa kisanii
(Solved)
Eleza sifa za utungaji wa kisanii.
Date posted:
April 15, 2019
.
Answers (1)
-
Anwani chozi la heri Ni kinaya. Thibitisha
(Solved)
Anwani chozi la heri Ni kinaya. Thibitisha.
Date posted:
April 12, 2019
.
Answers (1)
-
Taja na ueleze kwa kifupi mambo ambayo hutawala matumizi ya lugha
(Solved)
Taja na ueleze kwa kifupi mambo ambayo hutawala matumizi ya lugha.
Date posted:
April 10, 2019
.
Answers (1)
-
Taja irabu mbili za nyuma ya ulimi.
(Solved)
Taja irabu mbili za nyuma ya ulimi.
Date posted:
April 9, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sehemu kuu za uandishi wa ripoti ya utafiti
(Solved)
Fafanua sehemu kuu za uandishi wa ripoti ya utafiti.
Date posted:
March 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sababu za kutamba ngano usiku?
(Solved)
Eleza sababu za kutamba ngano usiku?
Date posted:
March 12, 2019
.
Answers (1)
-
Ukirejelea tamthilia ya Kigogo,eleza jinsi nafasi ya vijana katika jamii inavyojitokeza
(Solved)
Ukirejelea tamthilia ya Kigogo,eleza jinsi nafasi ya vijana katika jamii inavyojitokeza.
Date posted:
March 12, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua maudhui ya umenke katika riwaya chozi la heri
(Solved)
Fafanua maudhui ya umenke katika riwaya chozi la heri.
Date posted:
March 9, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua shamirisho na chagizo katika sentensi ifuatayo: Mama alipika chakula kitamu.
(Solved)
Tambua shamirisho na chagizo katika sentensi ifuatayo.
Mama alipika chakula kitamu.
Date posted:
March 8, 2019
.
-
Sadfa imetumiwaje katika riwaya ya chozi la heri?
(Solved)
Sadfa imetumiwaje katika riwaya ya chozi la heri?
Date posted:
March 6, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya methali; "Kibaya chajitembeza kizuri chajiuza"
(Solved)
Eleza maana ya methali; "Kibaya chajitembeza kizuri chajiuza".
Date posted:
March 6, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya vipengele vya ushairi katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Eleza matumizi ya vipengele vya ushairi katika tamthilia ya Kigogo
Date posted:
February 24, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza hatua tano zinazofuatwa na mkusanyaji wa data ya fasihi simulizi
(Solved)
Eleza hatua tano zinazofuatwa na mkusanyaji wa data ya fasihi simulizi.
Date posted:
February 23, 2019
.
Answers (1)
-
Mofimu ni nini?
(Solved)
Mofimu ni nini?
Date posted:
February 23, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza neno 'Kwetu' lilivyotumika katika sentensi zifuatazo.
a.Juma ameenda kwetu.
b.Kwetu ni kule.
c.Mahali kwetu ni kule.
(Solved)
Swali la marudio kwa Kidato cha nne.
Date posted:
February 22, 2019
.
Answers (1)
-
Toa mifano miwili ya viyeyusho
(Solved)
Toa mifano miwili ya viyeyusho.
Date posted:
February 20, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tano za Ridhaa katika chozi la heri
(Solved)
Eleza sifa tano za Ridhaa katika chozi la heri.
Date posted:
February 20, 2019
.
Answers (1)
-
(A)Maghani ni nini?
(B)Eleza fani zifuatazo za maghani.
(i)Vivugo.
(ii)Tondozi.
(iii)Pembezi.
(iv)Rara.
(Solved)
(A)Maghani ni nini?
(B)Eleza fani zifuatazo za Maghani.
(i)Vivugo.
(ii)Tondozi.
(iii)Pembezi.
(iv)Rara.
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)
-
(A)(i)Nini maana ya ngomezi.
(ii)Fafanua sifa za ngomezi.
(iii)Taja mifano mitatu ya ngomezi za kisasa.
(Solved)
(A)(i)Nini maana ya ngomezi.
(ii)Fafanua sifa za ngomezi.
(iii)Taja mifano mitatu za ngomezi za kisasa.
Date posted:
February 19, 2019
.
Answers (1)