Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?” a) Eleza muktadha wa dondoo hili. b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika...

      

“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika dondoo
c) Onyesha ukweli wa kauli “ nzi kufia kidondani” unavyodhihirishwa na wahusika katika hadithi.

  

Answers


Kavungya
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
• Hii ni kauli ya Otii. Akimjibu rafiki yake anayejaribu kumtahadharisha kuhusu vimanzi warembo anapotambua ana uhusiano na Rehema. Otii anatamka kauli hii akijitetea na kuuhalalisha uhusiano wake anapojilinganisha na nzi anayefia juu ya kidonda, kitendo ambacho sio hasara kamwe. Walikuwa kwenye baa

b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika dondoo
• Nidaa kwa mfano “ sikiza jo!”
• Balagha K.M “ pana hasara gani inzi kufia kidondani?”
• Methali K.M nzi kufa juu ya kidonda si hasara
• Sitiari/Jazanda K.M nzi inasimamia Otii na Kidondani ni rahani/ starehe .

c) Onyesha ukweli wa kauli “ nzi kufia kidondani” unavyodhihirishwa na wahusika katika hadithi.
• Otii anaugua maradhi ya ukimwi na kuishia kujutia kitendo chake.
• Rehema Wanjiru anaangamia kwa UKIMWI katika harakati za kujitafutia raha
• Otii anaishia kuvunjika muundi wake akiwa katika raha za kuicheza kandanda
• Otii anaconda kama ng’onda na kubakia mwembamba kama sindano.
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 06:15


Next: Read the poem given below and answer the questions that follow. THAT OTHER LIFE
Previous: Define Curriculum implementation .

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions