Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.

      

Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.

  

Answers


Kavungya
Tulipokutana Tena
• wazazi wa Bogoa - ni walezi wema ingawa ni maskini hawataki. Bogoa alelewe na wazazi wengine

o Mapenzi kifaurongo
• wazazi wa Penina Bw & Bi Kitane) wamewajibika katika kumlea Penina. Wanampa fedha za kutosha kila wiki
• licha ya kuwa maskini wazazi wa Dennis wanajizatiti sana kumpeleka chuoni hadi chuo kikuu

o Shoga yake Dada ana ndevu
• wazazi wake Safia na Lulua wanawapenda sana wanao
• wanawapeleka wanao shuleni na kuwapa safia nafasi ya kusoma pale nyumbani
• wazazi hawa pia wana mapuuza. Wanamwamini mwanao kupita kiasi

o Mama Bakari
• babake Sara ni mkali sana, Sara anapobakwa anaogopa kumwambia kuwa ana ujauzito
• baadaye anabadilika wa kuwa mpole, anamfariji
• mamake Sara ni dhaifu, hawezi kumsaidia Sara

o Ndoto ya Mashaka
• wazazi wa Samueli wanajinyima ili kuwasomesha watoto wao
• Babake Samueli aliuza ng’ombe wengi ili kumsomesha Samueli
• mamake Samueli anatumiwa kuonyesha mapenzi ya mzazi ni ya kudumu
• babake Samueli anatumiwa kuonyesha kukata tamaa / kutamauka
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 06:37


Next: In a geometrical progression, the sum of the second and third terms is 6; and the sum of the third and fourth terms is -12....
Previous: Give the differences between administration and management.

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions