Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.

      

Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.

  

Answers


Kavungya
• Viongozi wa kisiasa wamekengeuka kuwa kuwaua vijana ambao ni nguvi ya taifa.
• Vijana wamepotoka Kimaadili- Mkubwa aliona vijana wanalaliana nje hdharani, walipotambua wameonekana walikuwa tayari kuua watu kwa kisu au bisibisi.
• Vijana wamegeuka kuwa wezi na wanyanganyi watu mali zao.
• Vingozi wa serikali wanafanya biashara ya ‘unga’bila kujali athari kwa vijana na taifa.
• Viongozi wanajitajirisha kuwa kuuza unga, wanaingiza bidhaa hii bandarini bila kukaguliwa.
• Unga unasababisha vijana wengi kuwa wanyonge na wasio na akili timamu. K.m mkubwa anamkuta kijana aliyetoa denda mdomoni.
• Vijana ni wapyoro – wanatumia lugha chafu ajabu.
• Tamaa ya utajiri inamfanya mkubwa kuingilia biashara ya kuuza dawa za kulevya.
• Mkubwa anauza shamba lake la urithi na kupata milioni kumi ambazo anatumia kuhonga wapiga kura.
• Mkubwa anatoa rushwa kuwa kiongozi wa askari waliokamata mzigo wake na pia mkumbukwa aachiliwe.
• Kuna ukosefu wa haki kuwa mahabusu waliowekwa kizuizini – wengi wao wanateswa kabla ya kuthibitishwa kuwa wahalifu.
• Viongozi wanatelekeza raia wengi kwa ukimwi na dawa za kulevya ambazo zinawadhuru.
• Wakubwa wanafungua majumba makubwa ya kurekebisha tabia, ilhali wao wangetakiwa warekebishwe tabia zao kwanza.
• Askari polisi hawafanyi kazi zao vizuri wanaruhusu ‘vigogo’ kupitisha dawa za kulevya nchini. n.k
• Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 06:59


Next: Discuss the motivational theories.
Previous: List the roles of Board Of Management in schools.

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions