Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

“Kesho panapo majaaliwa. Kesho kama sote tutaamka…….. kama tutafungua milango ya nyumba zetu zinazosimamia juu ya ardhi hii adhimu…” a Eleza muktadha wa dondoo hili b Eleza...

      

“Kesho panapo majaaliwa. Kesho kama sote tutaamka…….. kama tutafungua milango ya nyumba zetu zinazosimamia juu ya ardhi hii adhimu…”
a Eleza muktadha wa dondoo hili
b Eleza sifa nne za msemaji
c) Taja mbinu zozote mbili za lugha zinazojitokeza katika dondoo hili
d Kwa kurejelea hadithi nzima onyesha namna jamii ya kisasa ina tumbo lisiloshiba

  

Answers


Kavungya
a Eleza muktadha wa dondoo hili
• msemaji – Jitu
• musemewa – Mago
• walikuwa katika mkahawa mshenzi baada ya Jitu Kula chakula chote na kulipia.
• Alikuwa amepanga kuja kuinyakuwa ardhi yao

b Eleza sifa nne za msemaji
o Fisadi
o katili
o Jeuri
o Mnafiki.

c) Taja mbinu zozote mbili za lugha zinazojitokeza katika dondoo hili
i) Uradidi – Kesho, kesho…..
ii) Uhuishi / Tashihisi,Nyumba zinazosimama
iii) Mdokeza : kama sote leuteamka…….kama.

d Kwa kurejelea hadithi nzima onyesha namna jamii ya kisasa ina tumbo lisiloshiba
o Unyekuzi wa ardhi ….mali ya umma
o Ufisadi – wenye mamalaka inatumia nafsi za kunyakua ardhi ya umma.
o Matumizi mabaya ya vyombo vya dola.- Jeshi la polisi na askari wa Baraza kutumiwa.
o Raslimali ya umma inatumiwa vibaya.
o Ulafi wa chakula – kutaka kula sana.
o Tamaa ya kuwa kiongozi au kunea mamlakani.
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:03


Next: List the roles of Board Of Management in schools.
Previous: Given the equations: y=4 -x2 and y=x2-2x;

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions