Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)

      

Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)

  

Answers


Kavungya
a) Tumbo lisiloshiba
- Dhuluma na unyanyashaji
Ardhi ya wanamadoporokomoka inatwaliwa na wenye nguvu.
- Tamaa
- Ulafi
- Ukosefu wa haki
- Ukatili

b) Mapenzi ya kifaurongo
- Ubinafsi wa Penina
- Ubaguzi
- Utabaka
- Ufuska.

c) Shogake dada ana ndevu
- Unafiki safia na kimwana
- Uongo wa safia na kimwana
- Utepetevu katika malezi ya Bw. Masudi na Bi. Hamida.
- Uavyaji mimba.

d) Masharti ya kisasa.
- Migogoro katika ndoa
- Kuingilia ndoa kwa pupa
- Kushukiana katika ndoa
- Kukwepa majukumu kwa mwanamke.
- Kujidunisha kwa msingi ya kiwango cha elimu + kazi
- Umbea.

e) Nizikeni papa hapa
- Oti kuingiliana na wanjiru katika mapenzi ya kiholela
- Usamabaji wa ukimwi
- Kupuuza / kubeza maamuzi ya mtu katika maisha.
- Jamii kusahau mashujaa wa baada ya kuugua – Otii alisahaulika.
- Maisha kupotea kutokana na ajali – uendeshaji mbaya
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:05


Next: Given the equations: y=4 -x2 and y=x2-2x;
Previous: Give the requirements for registration of board of management.

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions