
i) Mwalimu Musi
• Ni karimu
• anampa Jairo zawadi alizopewa katika sherehe ya kumuaga.
• Anakubali mke wa Jairo na watoto wake waishi kwake.
• Alimpeleka mtoto wa Jairo shule na kumnunulia kitabu.
• Ana utu
• Anasisitiza watu waliofika katika sherehe ya kumuaga na hawakufaulu maishani wapewe fursa ya kutoa hotuba.
• Hakukasirishwa na yaliyosemwa na Jairo na alimpa zawadi zake zote.
• Ana utu kwani alikubali kuishi na mke wa Jairo kwake.
• Aliwafunza wanafunzi wake vizuri na mwishowe wakawa watu wenye vyeo katika jamii.
• Ni msiri.
• Alipompatia Jairo zawadi zake hakumwambia mkewe.
• Alikuwa tayari kukosolewa.
ii) Jairo
• Alikuwa mwanafunzi wa mwalimu mstaafu
• Alikuwa mtu ovyo
• Hali yake ya umaskini ilimfanya amlaumu mwalimu kwa kumpa tumaini za uongo.
• Hakufanya vizuri masomoni.
• Alishiriki ulevi.
• Aliamini pombe ilimpa raha ya kuishi.
• Alikosa uwajibikaji ndiposa akampeleka mkewe na watoto wake kwa mwalimu.
• Alikuwa mchoyo.
• Alisema hakuelewa ni kwa nini mwalimu alimshauri asilewe.
• Aliishi maisha ya dhiki. Hakuwa na viatu vya kuvaa.
• Alidai kuwa mwalimu Mosi angemwambia mapema kuwa hakuwa na akili ya kufaulu mtihani.
• Uraibu wa pombe uliharibu akili zake akawa kama mwenda wazimu.
iii) Sera
• Mke wa Mwalimu
• Ana utu na upendo
• Alisihi mumewe akubali waishi pamoja na mke wa Jairo na watoto wake.
• Aliishi na mumewe kwa upendo na amani.
• Anashirikiana na mke wa Jairo kufanya kazi za nyumbani, shambani na kutafuta kuni.
• Ana huruma na upendo.
• Anamtunza mumewe anapougua ugonjwa wa saratani
iv) Mke wa Jairo
• Ni mvumilivu
• Amejaa adha nyingi za maisha kutulia kwa Jairo.
• Ni mtiifu
• Anatii amri za mume wake
• Anapopelekwa kwa mwalimu kama zawadi anakataa kurudi kwake nyumbani.
• Alikuwa tayari kuwa mke wa pili au mafanyikazi wa mwalimu.
• Anashirikiana na mke wa mwalimu kufanya kazi za nyumbani , shambani na kutafuta kuni.
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:12
-
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
(Solved)
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
(Solved)
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
(Solved)
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
(Solved)
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira...
(Solved)
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira ya hadithi hii.
iii) Onyesha jinsi mashaka linavyomwafiki mhusika mwenyewe katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani...
(Solved)
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani wa maisha.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika...
(Solved)
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika dondoo
c) Onyesha ukweli wa kauli “ nzi kufia kidondani” unavyodhihirishwa na wahusika katika hadithi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
(Solved)
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
(Solved)
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
(Solved)
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
(Solved)
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha jinsi maudhui ya utabaka na mapenzi ,yanavyojitokeza katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo.
(Solved)
Onyesha jinsi maudhui ya utabaka na mapenzi ,yanavyojitokeza katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)