
Utabaka – Tumbo Lisiloshiba
• Kuna tabaka la mabwenyenye(jitu) na lile la wanyonge(wakazi wa madongoporomoka).
• Tabaka la mabwenyenye linaendesha dhuluma dhidi ya wanyonge k.m jitu kubwa linasimamia ubomoaji wa vibanda vya wakazi wa Madongoporomoka.
• Tabaka la mabwenyenye linatumia vyombo vya dola kama askari wa baraza la mji na askari polisi kuwakandamiza wanyonge.
• Ardhi ya wakazi/watu wa madongoporomoka inatwaliwa na mabwenyenye.
• Wana sheria wamezibwa midomo kwa fedha za mabwenyenye.
• Tumbo lisiloshiba linaashiria wenye mamlaka ambao hawatosheki na wanataka kunyakua kile kidogo walichonacho wanyonge.
Utabaka – Mapenzi ya Kifaurongo
• Wazazi wa Dennis Walikuwa wachochote na hawakuwa na mali yoyote.
• Dennis alikuwa mwanachuo wa tabaka la chini. Umaskini uliostakimu kwao hauna mfano.
• Kila asubuhi waamkapo, mipini ya majembe huwa mabegani mwa wazazi wa Dennis kutafuta kibarua cha kuwalimia matajiri mashamba.
• Dennis anayamezea mate magari makubwa makubwa ya watu wenye nacho.
• Dennis alihizika akiwa chuoni kutokana na umaskini wake anapowatazama wanafunzi wenzake walivyonenepa na kuwanda. Mavazi yao ni laini kutoka Uingereza, Ujerumani,Marekani, na Ufaransa.
• Wanafunzi wa tabaka la juu wana simu za thamani, wengine wanabeba vipakatatahishi na ipad.
• Wanafunzi hao walisomea shule za upili za hadhi kubwa – za mikoa au za kitaifa.
• Kutazamia shule za vijijini kumwibua huigwa katika mitihani ya kitaifa ni kama kutarajia kupata maziwa kutoka kwa kuku.
• Mavazi ya Dennis ni duni, kula kwa shida . n.k
• Wenye jadi kubeli wanapita juu na wachochote wanapita chini ingawa wamo katika chuo kimoja na wanafanya masomo mamoja.
• Penina kumsikitikia Dennis kutokana na hali yake duni ya ufukara.
• Tofauti ya matabaka iliwatia kiwewe wazazi wa Dennis na wale wa penina.
• Penina kusema kuwa hawezi kuolewa na mwanamume asiye na kazi yenye mshahara mkubwa.
• Shakila alikuwa na tabaka la juu. Mama yake alikuwa mkurugenzi mkuu wa shirika la uchapishaji.
• Ukosefu wa ajira unamfanya Dennis afukuzwe na penina.
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:18
-
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
(Solved)
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
(Solved)
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
(Solved)
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
(Solved)
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
(Solved)
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira...
(Solved)
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira ya hadithi hii.
iii) Onyesha jinsi mashaka linavyomwafiki mhusika mwenyewe katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani...
(Solved)
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani wa maisha.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika...
(Solved)
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika dondoo
c) Onyesha ukweli wa kauli “ nzi kufia kidondani” unavyodhihirishwa na wahusika katika hadithi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
(Solved)
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
(Solved)
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
(Solved)
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
(Solved)
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha jinsi maudhui ya utabaka na mapenzi ,yanavyojitokeza katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo.
(Solved)
Onyesha jinsi maudhui ya utabaka na mapenzi ,yanavyojitokeza katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)