Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Anwani ya hadithi TUMBO LISILOSHIBA ni mwafaka kwa hadithi hii. Fafanua

      

Anwani ya hadithi TUMBO LISILOSHIBA ni mwafaka kwa hadithi hii. Fafanua

  

Answers


Kavungya
Tumbo lisiloshiba ni hadithi iliyopewa anwani inayosadifu yanayotendeka hadithini kwa sababu:
• Jiji licha ya kwamba lina majengo mengi bado linahitaji kupanuliwa ndio sababu ardhi ya wanamadongoporomoka inapangwa kunyakuliwa.
• Jitu linalokuja mkahawani kwa mzee Mago lina tumbo lisiloshiba, linaagiza lipewe vyakula vyote vilivyokuwa vimeandaliwa wateja wengine, pia linakunywa chupa kadhaa za soda.
• Jitu linaapa na kuahidi kuwa lingehitaji chakula maradufu zaidi siku iliyofuata. Jambo lililowashangaza kina mzee Mago na wenzake.
• Jitu lilikuja siku iliyofuata kunyakua ardhi ya madongoporomoka. Hili linaashiria kuwa tumbo halishibi si chakula tu mbali rasilimali za raia kama ardhi.
o Tumbo lisiloshiba linasimamia wenye mamlaka ambao hawatosheki. Wanamiliki mali nyingi lakini bado wanahitaji kumiliki kidogo walicho nacho wanyonge
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:20


Next: Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
Previous: Mr. Wanyama has a plot that is in a triangular form. The plot measures 170m, 190m and 210m, but the altitudes of the plot as...

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions