Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.

      

Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.

  

Answers


Kavungya
i) Mwenye bidii – anajitahidi kupigania haki za wanamadongoporomoka.
Ana mkahawa madongoporomoka.
ii) Mtetezi/mpenda haki – Anatafuta wakili ambaye hajahongwa ili kutetea haki ya wanyonge.
Hapuuzi uvumi kuhusu uwezekano wa vipande vyao vya ardhi kuchukuliwa.
Iii) Mwenye hekima/busara – Anafahamu vyema matokeo ya wingu linalotarajiwa kupigania haki zao.
iv) Amepevuka/mwerevu – Anafahamu uzito wa kesi unaotokana na ardhi.
- Anafahamu haki haipatikani kwa urahisi.
v) Mzinduzi – Aliwazindua wenzake na kuwapa nasaha kuhusu maendeleo.
- Aliwatahadharisha kwamba wachunguze ni maendeleo gani yatakayonufaisha.
vi) Jasiri – Analijibu jiyu kwa kuliambia wanamadongoporomoka hawataondoka.
vii) Mshawishi – Aliwashawishi wanyonge wenzake watafute wanasheria waaminifu ili wasaidie kufafanua vipengele vigumu vya sheria kama njia ya kuwavukisha vikwazo ili wapate suluhisho.
ix) Mpenda ushirikiano – Anashirikiana na wanyonge wenzake katika kutafuta uvumbuzi wa kunyakuliwa kwa ardhi yao.
x) Mwenye matumaini – Aliamini ardhi ya wanamadongoporomoka itabaki mikononi mwao. Hata baada ya vibanda kubomolewa
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:21


Next: Mr. Wanyama has a plot that is in a triangular form. The plot measures 170m, 190m and 210m, but the altitudes of the plot as...
Previous: Given that Log3 = 0.4771 and log 5 = 0.6990, evaluate the following without using logarithm table or calculator.

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions