
a)Tumbo Lisiloshiba
Utabaka.
-Kuna tabaka la mabwanyenye na tabaka la wanyonge. Tabaka la mabwanyenye linaendesha dhuluma dhidi ya wanyonge. Katika hadithi, hii jitu kubwa linaonekana likisimamia shughuli ya ubomoaji wa vibanda vya wakazi wa Madongoporornoka. Tabaka hilo la mabwenyenye linatumia vyombo vya dola kama askari wa baraza la mji na askari polisi katika kuwakandamiza wanyonge.
b) Mmapenzi Va Kifaurongo
Utabaka,
• Dennis anatoka katika familia maskini, Wazazi wake walikua wachochole hawakua na mali yoyote. Walijitahidi sana kutoka katika ufukwe huo haikuwezekana. .
• Dennis alikuwa mwanachuo wa tabaka la chini. Kulikuwa na wengine ambao walikua na fedha tele. Wazazi wao walimiliki majumba mengi na wengine walikuwa na misururu ya mabasi na matatu ya abiria,
• Shakifa afikuwa wa tabaka lajuu. Mama yake alikuwa mkurugenzi mkuu wa shirika la uchapishaji.
• Wanachuo waliotoka tabaka la juu walikua na maisha mazuri, libasi zao ni bora, wana simu nzuri, tarakilishi na vitu vingine. Dennis mavazi yake yalikua duni, kula kwa shida na kadhalika.
• Kulikuwa na watu walioendesha magari ya kifahari makubwa na mazuri.
• Wazazi wa Dennis ni wa tabaka la chini. Walifahamu kuweka majembe begani na kulima vibarua tu.
c) Ndoto Mashaka
Utabaka
• Kuna watu wengi maskini. Ingawaje wanajaribu kupigana nao, bado hawajawahi kujinasua. Mwandishi anaonyesha kuwa katika mtaa wake, wamo rnaskini wengi. Na si humo tu, kuna sehemu nyingi nyinginezo. Watu wa tabaka la chini wanakaa sehemu zisizo na mpangilio maalum wa ujenzi.
• Chumba cha Mashaka kwa mfano, kimepakana na choo cha jirani. Maji ya kuogea yanapita karibu na churnba chao.Watu wanaoishi katika mandhari haya ni wengi. Mvua ikinyesha kundi zima hili huwa rnashakani. Viongozi hutangaza kuwa watu wa bondeni wahame lakini hawapewi mahala badala.
• Tabaka la chini hubaguliwa. Mzee Rubeya anahamia na kurudi Yemeni maana
hakuweza kustahimili aibu ya binti yake kuolewa na mchochole.
d) Kidege
Utabaka.
• Kuna tabaka la midege mikubwa. Hii ina nguvu na midomo yao ni kama mapanga.
• Midege mikubwa inavamia na kutwaa visamaki vilivyokuwa katika kidimbwi cha bustani ya llala.
• Tabaka hili la midege mikubwa linaashiria tabaka la matajiri;watu wenye nguvu za kiuchumi katika jamii. Watu hawa hutumia nguvu zao kuwadhulumu wanyonge rasilimali na haki zao.
• Tabaka hili la videnge vidogo linaungana na kupambana dhidi ya uvamizi wa midege. Hatimaye videge vinashinda na kuifukuza midege mikubwa.
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:28
-
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
(Solved)
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
(Solved)
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
(Solved)
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
(Solved)
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
(Solved)
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
(Solved)
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira...
(Solved)
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira ya hadithi hii.
iii) Onyesha jinsi mashaka linavyomwafiki mhusika mwenyewe katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani...
(Solved)
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani wa maisha.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika...
(Solved)
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika dondoo
c) Onyesha ukweli wa kauli “ nzi kufia kidondani” unavyodhihirishwa na wahusika katika hadithi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
(Solved)
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
(Solved)
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
(Solved)
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
(Solved)
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha jinsi maudhui ya utabaka na mapenzi ,yanavyojitokeza katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo.
(Solved)
Onyesha jinsi maudhui ya utabaka na mapenzi ,yanavyojitokeza katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)