
MAPENZI YA KIFAURONGO
i.Wanajamii wanawasaliti wazazi wa Dennis kwa kuwakejeli kwa sababu ya kuwa maskini
ii.Daktari Mbonga anawasaliti wanafunzi kwa kukata kuyajibu maswali yao.Kwa mfano,najibu wanafunzi aliyemuuliza swali kuwa kama hakujua jinsi fasihi inavyoelekeza jamii hakufaa kuwa darasani.
iii.Baadhi ya wanafunzi chuoni Kivukoni wanawasili wenzao kwa kuwacheka wanapomwombaDaktari Mabonga atumie lugha nyepesi msichana mmoja anamcheka mpaka anaanguka
iv.Penina anamsaliti Dennis Machora kwa kumwambia kwamba hawezi kuolewa na mwanamume asiye na kazi yenye mshahara mkubwa ilhali alipomtaka kuwa mchumbawe alimwambia kuwa alichotaka ni uaminifu wa mapenzi tu.
v. Serikali inamsaliti Dennis kwa kutompa ajira.Miaka mitatu ilikuwa imepita akisaka kazi tangu ahitimu masomo yake ya chuo.
vi.Penina anamsaliti Dennis kwa kutombakishia chakula akidai kwamba hakuwa amemwachia
pesa za kununua chakula ilhali alijua kuwa Dennis hakuwa na ajira na alitoka familia maskini.
vii.Penina anamsaliti Dennis kwa kuenda kinyume cha ahadi yake.Anapomtaka Dennis kuwa
mchumba wake anamshawishi moyoni mwake amekuwa na azma ya kumpenda mtu milele lakini anaivunja ahadi hii kwa kuuvunja uchumba wao kwa sababu ya umaskini wa Dennis.
viii.Penina anamsaliti Dennis kwa kumfukuza kutoka kwenye nyumba walikokuwa wakiishi akijua kwamba Dennis hakuwa na uwezo wa kifedha wa kupangisha nyumba kwingine.
ix.Penina anamsaliti Dennis kwa kumdhalilisha .Anapouvunja uchumba wao anamwambia
kwamba asimwite mpenzi na kumshauri amtafute mwingine mwenye hali kama yake (umaskini)
x.Wazazi wake Penina wanamsaliti Dennis kwa kumtahadharisha mwanao Penina dhidi ya kuchumbiwa naye.
xi.Wanafunzi chuoni wanausaliti wajibu wao wa kusoma kwa kuanza kuchumbiana.Kwa mfano,uchumba wa Dennis na Penina.
xii.Dennis na Penina walikuwa wamepanga kuona baada ya kufuzu masomo yao lakini Penina anamsaliti Dennis kwa kuuvunja uchumba wao.
xiii.Penina anawasaliti wazazi wake kwa kutowatii wanapomtahadharisha dhidi ya kuchumbiwa na Dennis – anawapuuza na kuchumbiwa naye.
MAME BAKARI
I. Janadume linamsaliti Sara kwa kumvamia na kumbaka akitoka masomoni
ii.Beluwa anamsaliti Sara kwa kuifichua siri ya mimba yake kwao ilhali alitaka iwe siri
iii.Jamii inamsaliti mwanamke kwa kumwona kuwa mkosaji/shetani tukio la ubakaji linapotokea
iv.Mwalimu mkuu angemsaliti Sara iwapo angemfukuza kutoka shuleni jinsi Sara anavyowazalhali hayakuwa mapenzi yake kubakwa
v.Sara anaona usaliti wa wanajamii kwa sababu anakisia kwamba wangemsusuika na kumtenga kama mgonjwa wa ukoma iwapo wangeujua ujauzito wake ilhali aliupata kutokana na kubakwa.
vi.Baba yake Sara anamsaliti mkewe (mamake SARA)kwa kutompa nafasi ya kujitetea nafsi yake mbele yake.
vii.Sara anauona usaliti wa babake iwapo angejua kuwa yeye ni mjamzito.Sara anaona kuwa baba yake angemfukuza kutoka nyumbani ilhali hakukuwa kupenda kwake kubakwa na kupachikwa mimba.
viii.Raia wanalisaliti janadume lililombaka Sara kwa kuliua kwa matofali licha ya kwamba lilikuwa limemwomba Sara msamaha
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:51
-
Thibitisha kuwa ulitima ni kati ya maudhui ya hadithi ya mkubwa.
(Solved)
Thibitisha kuwa ulitima ni kati ya maudhui ya hadithi ya mkubwa.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Mhini na mhiniwa njia yao moja. Jadili ukweli wa methali hii ukirejelea hadithi ya mkubwa
(Solved)
Mhini na mhiniwa njia yao moja. Jadili ukweli wa methali hii ukirejelea hadithi ya mkubwa
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika ‘Tumbo lisiloshiba na Hadithi nyingine’, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika ‘Tumbo lisiloshiba na Hadithi nyingine’, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
(Solved)
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
(Solved)
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
(Solved)
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
(Solved)
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
(Solved)
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
(Solved)
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira...
(Solved)
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira ya hadithi hii.
iii) Onyesha jinsi mashaka linavyomwafiki mhusika mwenyewe katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani...
(Solved)
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani wa maisha.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika...
(Solved)
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika dondoo
c) Onyesha ukweli wa kauli “ nzi kufia kidondani” unavyodhihirishwa na wahusika katika hadithi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
(Solved)
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
(Solved)
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
(Solved)
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
(Solved)
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha jinsi maudhui ya utabaka na mapenzi ,yanavyojitokeza katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo.
(Solved)
Onyesha jinsi maudhui ya utabaka na mapenzi ,yanavyojitokeza katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)