
i. Mtu ambaye ni tajiri mwenye kuzoea kuwa na mahitaji yote maishani kama penina itakuwa vigumu kuishi kwa taabu na hali ambayo kila kitu ni duni.
ii. Penina Anatoka katika familia yenye nafsi kifedha, hivyo hakosi mahitaji yake yote. Masurufu yake yalikuwa shilingi elfu tano kila juma.
iii. Dennis ni mtoto wa fukara ambaye amekosa mahitaji yake ya msingi. Hata chakula anapata kwa shida sana.
iv. Dennis anaona haitawezekana kuwepo na mahusiano mwafaka kati ya Penina.
v. Penina anasisitiza kuwa inawezekana kabisa msichana wa kitajiri atangamane na kijana mwanaume ambaye ni fukara.
vi. Penina anafanikiwa kumshawishi Dennis kwamba hilo linawezekana na wanaanza kuwa na uhusiano wa kimapenzi.
vii. Waliahidiana kuwa wangefunga ndoa baada ya kuhitimu masomo yao na kupata kazi.
viii. Walishirikiana vema na wakaonyesha mapenzi moto moto mithili yao ulimi na mate.
ix. Walipomaliza masomo waliamua kuishi pamoja katika nyumba ya kupanga. Kila kitu waligharimiwa na wazazi wake Penina.
x. Baadaye changamoto inaibuka wakati Penina anapodai kuwa hawezi kuolewa na mwanaume ambaye hana kazi yenye mshahara mkubwa.
xi. Penina anamvumilia Dennis kwa muda wa miaka mitatu na hatimaye uvumilivu unamshinda.
xii. Ahadi zote ambazo Penina alimuahidi Dennis zikaanza kuota mbawa.
xiii. Penina anamfukuza Dennis kwenye nyumba wanamoishi kwa kuwa amekosa kazi na hana msaada wowote kwake zaidi ya kumnyonya tu.
xiv. Penina anaweka bayana kabisa kuwa pasipo matunzo mwafaka mapenzi yake kwa Dennis yanashindwa kustawi.
Mgomba changaraweni haustawi.
xv. Kwa hiyo ni ukweli kabisa kuwa mzoea vya sahani, vya vigae haviwezi kwa sababu Penina aliyekuwa amezoea maisha ya raha anashindwa kukubaliana na dhiki anayokumbana nayo baada ya kuishi na Dennis.
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 08:05
-
Jadili matatizo yanayowakumba wakaazi wa Madongo poromoka katika tumbo lisiloshiba
(Solved)
Jadili matatizo yanayowakumba wakaazi wa Madongo poromoka katika tumbo lisiloshiba
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya usaliti katika hadithi ,’Mapenzi ya kifaurongo’ na ‘Mame Bakari.
(Solved)
Jadili maudhui ya usaliti katika hadithi ,’Mapenzi ya kifaurongo’ na ‘Mame Bakari.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Thibitisha kuwa ulitima ni kati ya maudhui ya hadithi ya mkubwa.
(Solved)
Thibitisha kuwa ulitima ni kati ya maudhui ya hadithi ya mkubwa.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Mhini na mhiniwa njia yao moja. Jadili ukweli wa methali hii ukirejelea hadithi ya mkubwa
(Solved)
Mhini na mhiniwa njia yao moja. Jadili ukweli wa methali hii ukirejelea hadithi ya mkubwa
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika ‘Tumbo lisiloshiba na Hadithi nyingine’, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika ‘Tumbo lisiloshiba na Hadithi nyingine’, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
(Solved)
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
(Solved)
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
(Solved)
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
(Solved)
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
(Solved)
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
(Solved)
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira...
(Solved)
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira ya hadithi hii.
iii) Onyesha jinsi mashaka linavyomwafiki mhusika mwenyewe katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani...
(Solved)
Jadili maudhui ya elimu katika Diwani ya Tumbo lisiloshima ukizingatia hadithi zifuatazo:
a) Mapenzi ya kifaurongo
b) Shagake dada ana ndevu.
c) Mamake Bakari .
d) Mwalimu mstaafu.
e) Mtihani wa maisha.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika...
(Solved)
“Hebu sikiza jo! Pana hasara gani nzi kufia kidondani?”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja na utoe mifano ya mbinu nne za lugha zilizotumika katika dondoo
c) Onyesha ukweli wa kauli “ nzi kufia kidondani” unavyodhihirishwa na wahusika katika hadithi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
(Solved)
“ Wahusika katika hadithi shibe inatumaliza wanatumia uhuru wao vibaya.” Onyesha ukweli wa kauli hii kwa kutoa mifano.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
(Solved)
“ Mwandishi wa haditi ya Tumbo lisiloshiba ametumia mbinu ya Jazanda kwa ufanisi mkubwa.” Thibitisha
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
(Solved)
Jadili mashaka ya Mashaka katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
(Solved)
Bara la Afrika limekumbwa na umaskini mkubwa. Fafanua dhana ukirejelea hadithi ya Tumbo lisiloshiba na Mapenzi ya Kifaurongo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)