Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Fafanua changamoto zinazokabili asasi ya ndoa ukirejelea hadithi ya Masharti ya kisasa

      

Fafanua changamoto zinazokabili asasi ya ndoa ukirejelea hadithi ya Masharti ya kisasa

  

Answers


Kavungya
• Kwa kuwa Dadi alimpenda kidawa alikubali masharti ya kisasa bila kuyaelewa
• Kidawa kufanya kazi za umetroni kunafanya asimwamini
• Ncha nyingi za maisha zinamfanya Kidawa atembeze bidhaa za uarabuni mitaani jambo lililozidisha shauku ya Dadi
• Dadi alichukia kujipamba kwa Kidawa akiona anafanya hivyo kwa minajili ya mwalimu mkuu
• Dadi pia alichukia namna Kidawa alivyosimama na kuongea na wanaume
• Bi Zuhura alimkejeli Dadi kwa kumtaka amparalie samaki
• Dadi aliogopa kuambiwa kuwa yeye si mwanaume tosha
• Maneno ya watu yalimfanya Dadi aache kusaidia kazi za nyumbani
• Dadi alkimfuata Kidawa hadi shuleni kubaini kama Kidawa alimwendea kinyume na mwalimu mkuu
• Dadi aliwakodolea macho wanawake waliovalia nguo zilizowafika magotini
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 08:13


Next: Ulezi umewapa wazazi wengi changamoto nyingi. Ukirejelea hadithi ya shogake, dada ana ndevu dhihirisha ukweli wa kauli hii
Previous: Fafanua jinsi mwandishi wa ‘Tumbo Lisiloshiba’ alivyotumia kinaya kufanikisha maudhui yake

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions