Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Fafanua jinsi mwandishi wa ‘Tumbo Lisiloshiba’ alivyotumia kinaya kufanikisha maudhui yake

      

Fafanua jinsi mwandishi wa ‘Tumbo Lisiloshiba’ alivyotumia kinaya kufanikisha maudhui yake

  

Answers


Kavungya
Jeshi la polisi linawalinda askari wa baraza wanapowabomolea raia makazi yao badala ya kuwalinda raia waliokuwa wakidhulumiwa na askari wa baraza.
-Ni kinaya kwamba wanasheria wanaofaa kutetea haki kwa wanyonge hawafanyi hivyo .Hii ndio sababu Mzee Mago anawahimiza raia kuwatafuta wanasheria waaminifu watakaowasaidia kutatua sheria ngumu zilizowakabili.
-Ni kinaya viongozi kuliendesha taifa bila kuwashirikisha raia kwa sababu ya kuwa maskini.Tanambiwa kuwa`Nani angewashauri wao mburumatari?’
-Viongozi wanajenga jijini hadi inakosekana nafasi ya mtu kuvuta pumzi.
-Ni kinaya viongozi kuwapoka raia ardhi bila kuwazia hatima yao.
-Ni kinaya serikali kuwahujumu raia badala ya kuwalinda.Imeweka vitego na vikwazo vya sheria ili kuwazuia kutetea mali zao.
Ni kinaya jitu kuingia mkahawani na kula chakula chote;chakula ambacho kingeliwa na watu kadhaa.
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 08:14


Next: Fafanua changamoto zinazokabili asasi ya ndoa ukirejelea hadithi ya Masharti ya kisasa
Previous: A piece of wire can be folded into a rectangle whose dimensions are such that its length is 3cm longer than the width. The area of...

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions