(i) Daraja hili huvukika/ linavukika/ litavukika/ lilivukika tu wakati wa
Kiangazi
(ii) Kitabu hicho kinasomeka / chasomeka/ husomeka/ kitasomeka ijapokuwa
sura zingine hazimo.
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 11:55
-
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
(Solved)
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
(Solved)
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
(Solved)
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
(Solved)
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
(Solved)
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
(Solved)
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
(Solved)
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.
(Solved)
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Sahihisha sentensi zifuatazo bila kugeuza maana
i) Kikombe chenye kimevunjika ni kipya
ii) Nimepeana kitabu kwa mwalimu mkuu
(Solved)
Sahihisha sentensi zifuatazo bila kugeuza maana
i) Kikombe chenye kimevunjika ni kipya
ii) Nimepeana kitabu kwa mwalimu mkuu
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukidhihirisha wingi wa majina yafuatayo:
i) Ukanda
i) Uzee
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukidhihirisha wingi wa majina yafuatayo:
i) Ukanda
i) Uzee
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika ukubwa wa
Mwizi aliiba kikapu na ngo’mbe
(Solved)
Andika ukubwa wa
Mwizi aliiba kikapu na ngo’mbe
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika umoja wa sentensi hizi:
(i) Kwato za wanyama hutufaidi
(ii) Mnataka vyeti vya kuwasaidia?
(Solved)
Andika umoja wa sentensi hizi:
(i) Kwato za wanyama hutufaidi
(ii) Mnataka vyeti vya kuwasaidia?
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi tatu zikionyesha maana tatu za neno chungu.
(Solved)
Tunga sentensi tatu zikionyesha maana tatu za neno chungu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Taja methali inayoafikiana na maelezo haya:
i) Wengine wanapoozana na kugombana, kunao
wanaofurahia kabisa hali hiyo.
ii) Afadhali kuhudhuria huo mkutano hata kama umechelewa
(Solved)
Taja methali inayoafikiana na maelezo haya:
i) Wengine wanapoozana na kugombana, kunao
wanaofurahia kabisa hali hiyo.
ii) Afadhali kuhudhuria huo mkutano hata kama umechelewa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunawaitaje watu hawa?
(i) Mtu anayebeba mizigo kwa ujira
(ii) Mtu anayeshughulikia elemu ya nyota
(Solved)
Tunawaitaje watu hawa?
(i) Mtu anayebeba mizigo kwa ujira
(ii) Mtu anayeshughulikia elemu ya nyota
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi:
(i) Uta wake ni mrefu na mkubwa sana
(ii) Merikebu itayokayofika kesho itango’a nanga kesho kutwa.
(Solved)
Andika kwa wingi:
(i) Uta wake ni mrefu na mkubwa sana
(ii) Merikebu itayokayofika kesho itango’a nanga kesho kutwa.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Taja na ubainishe aina za viwakilishi katika sentensi zifuatazo
(i) Ile minazi yangu niliyopalilia inakua vizuri
(ii) Mimi ninataka kumwona mwanariadha aliyepata nishani ya
dhahabu
(Solved)
Taja na ubainishe aina za viwakilishi katika sentensi zifuatazo
(i) Ile minazi yangu niliyopalilia inakua vizuri
(ii) Mimi ninataka kumwona mwanariadha aliyepata nishani ya
dhahabu
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukionyesha matumizi ya vitenzi vya silabi moja
katika jinsi ya kutendesha ukitumia silabi hizi
(i) -la
(ii) nywa
(iii) fa
(Solved)
Tunga sentensi ukionyesha matumizi ya vitenzi vya silabi moja
katika jinsi ya kutendesha ukitumia silabi hizi
(i) -la
(ii) nywa
(iii) fa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja moja ukitumia alama zifuatazo za uakifishaji
(i) Ritifaa
(ii) Parandesi
(iii) Dukuduku
(iv) Mshangao.
(Solved)
Tunga sentensi moja moja ukitumia alama zifuatazo za uakifishaji
(i) Ritifaa
(ii) Parandesi
(iii) Dukuduku
(iv) Mshangao.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Taja vielezi vinavyopatikana katika sentensi hizi; kisha ueleze ni vielezi vya aina gani
(i) Aliamka alfajiri
(ii) Mtu huyu ni hodari sana
(Solved)
Taja vielezi vinavyopatikana katika sentensi hizi; kisha ueleze ni vielezi vya aina gani
(i) Aliamka alfajiri
(ii) Mtu huyu ni hodari sana
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)