i) yuyu huyu/.huyu huyu
Huyu huyu/yuyu huyu
ii) Vivi hivi/vivyo hivyo/hivyo vivyo/vile vile/hivi hivi
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 12:18
-
Eleza maana ya methali
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
(Solved)
Eleza maana ya methali
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili tofauti za Rudi
(Solved)
Eleza maana mbili tofauti za Rudi
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia misemo ifuatayo katika sentensi;
i) Enda nguu
ii) Chemsha roho
(Solved)
Tumia misemo ifuatayo katika sentensi;
i) Enda nguu
ii) Chemsha roho
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno
zifuatazo:
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa
(Solved)
Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno
zifuatazo:
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka.
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura...
(Solved)
Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka. (alama 2)
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura zingine hazimo.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
(Solved)
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
(Solved)
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
(Solved)
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
(Solved)
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
(Solved)
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
(Solved)
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
(Solved)
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.
(Solved)
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Sahihisha sentensi zifuatazo bila kugeuza maana
i) Kikombe chenye kimevunjika ni kipya
ii) Nimepeana kitabu kwa mwalimu mkuu
(Solved)
Sahihisha sentensi zifuatazo bila kugeuza maana
i) Kikombe chenye kimevunjika ni kipya
ii) Nimepeana kitabu kwa mwalimu mkuu
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukidhihirisha wingi wa majina yafuatayo:
i) Ukanda
i) Uzee
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukidhihirisha wingi wa majina yafuatayo:
i) Ukanda
i) Uzee
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika ukubwa wa
Mwizi aliiba kikapu na ngo’mbe
(Solved)
Andika ukubwa wa
Mwizi aliiba kikapu na ngo’mbe
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika umoja wa sentensi hizi:
(i) Kwato za wanyama hutufaidi
(ii) Mnataka vyeti vya kuwasaidia?
(Solved)
Andika umoja wa sentensi hizi:
(i) Kwato za wanyama hutufaidi
(ii) Mnataka vyeti vya kuwasaidia?
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi tatu zikionyesha maana tatu za neno chungu.
(Solved)
Tunga sentensi tatu zikionyesha maana tatu za neno chungu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Taja methali inayoafikiana na maelezo haya:
i) Wengine wanapoozana na kugombana, kunao
wanaofurahia kabisa hali hiyo.
ii) Afadhali kuhudhuria huo mkutano hata kama umechelewa
(Solved)
Taja methali inayoafikiana na maelezo haya:
i) Wengine wanapoozana na kugombana, kunao
wanaofurahia kabisa hali hiyo.
ii) Afadhali kuhudhuria huo mkutano hata kama umechelewa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunawaitaje watu hawa?
(i) Mtu anayebeba mizigo kwa ujira
(ii) Mtu anayeshughulikia elemu ya nyota
(Solved)
Tunawaitaje watu hawa?
(i) Mtu anayebeba mizigo kwa ujira
(ii) Mtu anayeshughulikia elemu ya nyota
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)