di di di
raru raru
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 12:46
-
Kamilisha tashbihi zifuatazo
i) Baidika kama
ii) Mzima kama
(Solved)
Kamilisha tashbihi zifuatazo
i) Baidika kama
ii) Mzima kama
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti baina ya sentensi hizi;
i) Ningekuwa na pesa ningenunua shamba.
ii) Ningelikuwa na pesa ningalinunua shamba
(Solved)
Eleza tofauti baina ya sentensi hizi;
i) Ningekuwa na pesa ningenunua shamba.
ii) Ningelikuwa na pesa ningalinunua shamba
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana nne-tofauti za sentensi hii;
Alinunuliwa samaki na mtoto wake
(Solved)
Eleza maana nne-tofauti za sentensi hii;
Alinunuliwa samaki na mtoto wake
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume;
Mjomba alichomeka upanga kwenye ala
(Solved)
Andika kinyume;
Mjomba alichomeka upanga kwenye ala
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa msemo halisi sentensi. Tajiri alishangaa kuwa niliweza kuubeba mzigo huo peke yangu.
(Solved)
Andika kwa msemo halisi sentensi. Tajiri alishangaa kuwa niliweza kuubeba mzigo huo peke yangu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Geuza sentensi zifuatazo ziwe katika hali ya umoja
i) Huku kuimba kwenu kuzuri kutawapendez wageni
ii) Hii miche ni mizuri sana, itatufaa
(Solved)
Geuza sentensi zifuatazo ziwe katika hali ya umoja
i) Huku kuimba kwenu kuzuri kutawapendez wageni
ii) Hii miche ni mizuri sana, itatufaa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia viashiria vya kutilia mkazo katika sentensi zifuatazo
i) Kibogoyo………. Ndiye anayehitaji meno ya dhahabu.
ii) Vyakula……………mvipikavyo nyinyi, nasi twavipika
(Solved)
Tumia viashiria vya kutilia mkazo katika sentensi zifuatazo
i) Kibogoyo………. Ndiye anayehitaji meno ya dhahabu.
ii) Vyakula……………mvipikavyo nyinyi, nasi twavipika
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya methali
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
(Solved)
Eleza maana ya methali
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili tofauti za Rudi
(Solved)
Eleza maana mbili tofauti za Rudi
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia misemo ifuatayo katika sentensi;
i) Enda nguu
ii) Chemsha roho
(Solved)
Tumia misemo ifuatayo katika sentensi;
i) Enda nguu
ii) Chemsha roho
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno
zifuatazo:
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa
(Solved)
Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno
zifuatazo:
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka.
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura...
(Solved)
Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka. (alama 2)
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura zingine hazimo.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
(Solved)
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
(Solved)
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
(Solved)
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
(Solved)
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
(Solved)
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
(Solved)
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
(Solved)
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.
(Solved)
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)