
a) Kutomchapa/kubembeleza/kumdekeza motto anapokosea/anakiuka uadilifu
unamharibu/unamzorotesha tabia zake/Unamfanya mtundu
Akitumia Methali
Sehemu mbili maki 3. akishughulika nusu ya jumla ya
b) Mtazamo wa zamani ambapo ulichukuliwa kuwa watoto na hata wanawake
hawana akili lakini ukweli ni kwamba watu wana akili sawa/wote wan akili
sawa/wote wanafanana/wanaume na wanawake. Ni utata unaoletwa na misimamo
miwili tofauti usasa na ukale. Lazima agusie usasa na ukale
c) Kama ambavyo mmea hudhoofa usipotuuzwa ndivyo ambavyo motto huzorota
kitabia asipopewa malezi mazuri atazorota kitabia. Upande moja ni
Mtoto asipopewa malezi mazuri atazorota kitambia Akisema ni kweli
au ni sawa/ ni hivyo ni
d) Wanaume kuwadharau watoto na wanawake kwamba wana akili pungufu ni
makosa
Akinusisha wanawake, watoto na taarifa
Si lazima ataje wanaume.
Binadamu yoyote huzaliwa na akili zake; hivyo basi si haki kudharualiana kwa
misingi ya kiakili
Binadamu yoyote huzaliwa na akili zake
f) i) Kushindilia/ kulifanya lieleweke
kulishukumiza/kulilazimisha
ii) Kujiaminisha /kujidai/kujiepusha
Kujifanya/kujigangaza/ kukwepa/ kujiberegeza/ kujibambanya/ kujitia/
kujipambaniza.
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 13:03
-
Mdudu anayetengeneza utandu huitwa?
(Solved)
Mdudu anayetengeneza utandu huitwa?
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia tanakali za sauti zifaazo kukamilisha sentensi hizi;
i) Sauti ya waimbaji haikusikika tena, ilikuwa imedidima…wageni
walipofika katika jukwaa.
ii) Simba ni mnyama hodari sana, akimkamata swara humrarua
(Solved)
Tumia tanakali za sauti zifaazo kukamilisha sentensi hizi;
i) Sauti ya waimbaji haikusikika tena, ilikuwa imedidima…wageni
walipofika katika jukwaa.
ii) Simba ni mnyama hodari sana, akimkamata swara humrarua
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kamilisha tashbihi zifuatazo
i) Baidika kama
ii) Mzima kama
(Solved)
Kamilisha tashbihi zifuatazo
i) Baidika kama
ii) Mzima kama
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti baina ya sentensi hizi;
i) Ningekuwa na pesa ningenunua shamba.
ii) Ningelikuwa na pesa ningalinunua shamba
(Solved)
Eleza tofauti baina ya sentensi hizi;
i) Ningekuwa na pesa ningenunua shamba.
ii) Ningelikuwa na pesa ningalinunua shamba
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana nne-tofauti za sentensi hii;
Alinunuliwa samaki na mtoto wake
(Solved)
Eleza maana nne-tofauti za sentensi hii;
Alinunuliwa samaki na mtoto wake
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume;
Mjomba alichomeka upanga kwenye ala
(Solved)
Andika kinyume;
Mjomba alichomeka upanga kwenye ala
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa msemo halisi sentensi. Tajiri alishangaa kuwa niliweza kuubeba mzigo huo peke yangu.
(Solved)
Andika kwa msemo halisi sentensi. Tajiri alishangaa kuwa niliweza kuubeba mzigo huo peke yangu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Geuza sentensi zifuatazo ziwe katika hali ya umoja
i) Huku kuimba kwenu kuzuri kutawapendez wageni
ii) Hii miche ni mizuri sana, itatufaa
(Solved)
Geuza sentensi zifuatazo ziwe katika hali ya umoja
i) Huku kuimba kwenu kuzuri kutawapendez wageni
ii) Hii miche ni mizuri sana, itatufaa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia viashiria vya kutilia mkazo katika sentensi zifuatazo
i) Kibogoyo………. Ndiye anayehitaji meno ya dhahabu.
ii) Vyakula……………mvipikavyo nyinyi, nasi twavipika
(Solved)
Tumia viashiria vya kutilia mkazo katika sentensi zifuatazo
i) Kibogoyo………. Ndiye anayehitaji meno ya dhahabu.
ii) Vyakula……………mvipikavyo nyinyi, nasi twavipika
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya methali
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
(Solved)
Eleza maana ya methali
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili tofauti za Rudi
(Solved)
Eleza maana mbili tofauti za Rudi
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia misemo ifuatayo katika sentensi;
i) Enda nguu
ii) Chemsha roho
(Solved)
Tumia misemo ifuatayo katika sentensi;
i) Enda nguu
ii) Chemsha roho
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno
zifuatazo:
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa
(Solved)
Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno
zifuatazo:
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka.
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura...
(Solved)
Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka. (alama 2)
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura zingine hazimo.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
(Solved)
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
(Solved)
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
(Solved)
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
(Solved)
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
(Solved)
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
(Solved)
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)