Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Tambulisha kielezi, kivumishi na mnyambuliko wa kitenzi katika sentensi ifuatayo: Msichana mrembo alikuja upesi akimkimbilia dadake

      

Tambulisha kielezi, kivumishi na mnyambuliko wa kitenzi katika sentensi
ifuatayo:
Msichana mrembo alikuja upesi akimkimbilia dadake

  

Answers


Kavungya
fig627620191620.png
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 13:21


Next: Tunga sentensi kuonyesha matumizi sahihi ya viunganishi hivi (i) Ingawaje (ii) Ilhali
Previous: Andika kifungu hiki kutoka usemi wa taarifa hadi usemi halisi Watoto waliambiwa na mama yao watakaporudi nyumbani waoge. Wale, halafu waanse kusoma moja kwa moja badala ya...

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions


  • Tunga sentensi kuonyesha matumizi sahihi ya viunganishi hivi (i) Ingawaje (ii) Ilhali(Solved)

    Tunga sentensi kuonyesha matumizi sahihi ya viunganishi hivi
    (i) Ingawaje
    (ii) Ilhali

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Tunga sentensi mbilimbili kuonyesha matumizi mawili tofauti ya I. Ka II. Ndivyo(Solved)

    Tunga sentensi mbilimbili kuonyesha matumizi mawili tofauti ya
    I. Ka
    II. Ndivyo

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Tofautisha maana ya sentensi zifuatazo (i) Kazi yote ni muhimu (ii) Kazi yoyote ni muhimu(Solved)

    Tofautisha maana ya sentensi zifuatazo
    (i) Kazi yote ni muhimu
    (ii) Kazi yoyote ni muhimu

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Eleza namna mbili za matumizi ya alama ifuatayo ya uakifishi (;) (Solved)

    Eleza namna mbili za matumizi ya alama ifuatayo ya uakifishi (;)

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Andika udogo na ukubwa wa jina ngoma.(Solved)

    Andika udogo na ukubwa wa jina ngoma.

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • MUHTASARI Maendeleo ya taifa hutegemea jinsi wananchi wanavyolitolea katika kulibingirisha gurudumu la uchumi wao. Kila mwanajamii anahitajika kujibidisha katika kazi au taaluma yake. Mzalendo yeyote yule hupata motisha...(Solved)

    MUHTASARI
    Maendeleo ya taifa hutegemea jinsi wananchi wanavyolitolea katika kulibingirisha
    gurudumu la uchumi wao. Kila mwanajamii anahitajika kujibidisha katika kazi au
    taaluma yake. Mzalendo yeyote yule hupata motisha ya kufanya kazi iwapo anaweza
    kupata ile kazi aliyokuwa akitamani.

    Kumakinika katika taaluma Fulani si jambo jepesi na huchukua muda kutengeneza. Kwa
    mfano, ili mhazili apate staha ya uhazili sharti apitie ngazi mbali mbali. Mwanzo kabisa
    lazima kumpa fursa ya kujiunga na vyuo mbali mbali vya uhazili. Anapojiunga na vyuo
    hivyo ndipo safari inapoandaliwa. Kukamilisha safari hii inahitaji muda wa miaka minemitano.
    Anapohitimu kuwa tayari ameimudu shughuli hiyo. Hata hivyo, anatakiwa
    afanye mazoezi kila mara ili asisahau yanayohitajika katika taaluma hiyo. Wengi
    waliokwishapata ujuzi huo wa wale wenzao ambao katika masomo wana utaakamu kama
    wao. Ijapokuwa wote ni wahazili, viwango vyao ni tofauti na mishahara pia hutofautiana.
    Tofauti hapa ni daraja zao za vyeo. Baada ya kuhitimu na kupata vyeti vya uhazili ni
    rahisi kupata au kutopata kazi zenye ujira wa kuvutia. Anayefanikiwa ana sayari ya
    kujikakamua hasa kwa upande wa uzingatifu wa kazi kikamilifu na kutunza hadhi ya
    ofisi yake.

    Kuna mashirika makubwa yanayojiweza kiuchumi, ambayo rasimali yake ni imara.
    Mashirika madogo huwa yana rasilmali yenye kuyumbayumba. Mashirika haya yana
    wahazili na wanafunzi ambao hupata mishahara duni. Wanafunzi wote hao hufanya kazi
    kwa kutokuwa na uhakika wa kulipwa mwisho wa mwezi. Watu kama hao hawawezi
    kutilia maanani kazi zao. Mashirika mengine hayana utaratibu maalum, wa kulipa
    mishahara kwa vile hutegemea utu wa mkurugenzi. Badhi ya wakuu hao huwa wabanizi
    na huwapunja wafanyi kazi wao. Hili ni swala nyeti ambalo linahitaji litatuliwe kwa kuwa na chama cha kupigania haki za wafanyikazi. Wakati wanapotafuta kazi, Wahazili
    wengi huwa ni wahitaji na hukubali chochote wanachopewa.

    Wale waliobahatika kupata nafasi ya ajira katika kampuni kubwa za kimaataifa,
    mishahara huwa ni ya kutia moyo. Katika dunia hii wahazili wana vibarua vigumu, kwa
    sababu lazima wapate tajriba na uzoefu wa taaluma inayoendelea na shirika Fulani.
    Mhazili anapotumia msamiati usionda sambamba na shughuli za kiofisi hawasiti kufoka.
    Wavumilivu miongoni mwao hula mbivu. Hawa hawafi moyo bali hujitahidi zaidi ili
    wasikumbwe na kimbunga cha kufokewa. Kuna wengine ambao humwaga unga.

    (a) Bila kupoteza iliyokusudiwa na mwandishi wa taarifa, fupisha aya ya kwanza
    na ya pili ( maneno 60 – 70) Alama 2 kwa mtiririko)
    (b) Kwa kuzingatia aya mbili za mwisho, eleza mambo muhimu yanayoshughulika na
    mwandishi ( maneno 60 – 70) alama 2 kwa mtiririko)

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Wahenga walisema “mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.” Hii ina maana ya kuwa ukiogopa kutumia ufito kumchapa mtoto wako, ukamdekeza atadeka na hatimaye...(Solved)

    Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali
    Wahenga walisema “mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.” Hii ina maana ya kuwa ukiogopa
    kutumia ufito kumchapa mtoto wako, ukamdekeza atadeka na hatimaye ataharibika.
    Methali hii ina picha yake ambyo ni, “Ukicha mwana kulia, utalia wewe.”

    Hizi ni methali zilizojaa busara kubwa. Mathalini wewe ni mzazi au mtu yeyote mzima
    aliyetunikiwa madaraka juu ya watoto. Lakini kila wanapokiuka uadilifu au mmoja wao
    anapokosea wewe unambembeleza tu, basi huwa unaizorotesha tabia yake. Mwisho,
    mtoto huyo anaweza kuishia kuwa mtundu.

    Hata hivyo, ni sharti tujue ya kwamba tuko katika njia panda hapa. Kwa upande mmoja,
    zamani ilichukuliwa kwamba watoto na hata wanawake watu wazima hawana akili. Kwa
    ajili hiyo, iwapo mwanaume mtu mzima ana jambo la kuwaeleza, njia pekee ya
    kuliingiza katika “ akili” yao “ hafifu” ni kuwatwanga ili kulikongomeza jambo hili.
    Ukweli ni kwamba akili ya mtoto si hafifu hata. Unaweza kusema ni kama mmea, ambao
    usiporutubishwa kimakusudi, ukapaliliwa vyema na kustawishwa stahiki yake, basi
    hudhoofu” na mwishowe kufifia.

    Kwa upande mwingine, mtazamo wa kisasa ni tofauti kabisa, imethibitishwa ya kwamba
    wanawake ni sawa kabisa katika maumbile yao wakilinganishwa na wanaume. Kwa jinsi
    hiyo, kweli wapo wanawake amabo hawana mwelekeo timamu kuhusu maisha. Lakini ni
    kweli pia kuwa wapo wanaume watu wazima mamilioni ambao hawana akili.
    Kadhalika, si kweli kuwa watoto wote, kwa sababu ya umri wao tu, basi hawana akili.
    Ama kwa kusema kweli binadamu yeyote kuwaliwa na akili zake timamu isipokuwa wale
    ambao kwa bahati mbaya maumbile yamewapa akili pungufu. Hili litokeapo basi
    tunalikubali tu. Hatuwezi kumlaumu mtu kama huyo au muumba wake. Kwa hakika huu
    ndio msingi wa methali. “Akili ni nywele, kila mtu ana zake.” Vinginevyo, mtazamo wa
    kizamani ni taasubi kogwe tu za kiume zilizopitwa na wakati.

    Aidha, kwa sababu watu wote huzaliwa na akili timamu, tena hawawi watu wazimu
    kabla ya kuwa watoto kwanza, mtu mzima yeyote ana hali gani ya kuwadhulumu
    watoto na kujipambaniza na lawama za uongo dhidi ya vijana hao kwa madai kuwa
    hawana akili? Na je, ikiwa hawana akili, basi ndipo waonewe? Wanyanyaswe? Hili si
    jambo la busara. Kurudi mtoto kwa visa vya maonevu ni kumrudisha nyuma kiumbe huyo.
    Kurudi kufaako ni kwa kupeleka mbele, sio kwa kurudisha nyuma. Kurudi kuelekezako
    mbele ni kwa uongozi mwafaka, uongozi ambao lengo lake ni kummulikia mtoto kurunzi
    ilimradi kumwongoza mtoto.

    Mtoto ana haki ya kuhudumiwa kwa njia yoyote ifaayo ili akue na akili yake ikomae
    kikamilifu. Inafaa asomeshwe, apewe malezi bora ili naye aje alee wengine kistahiki.

    (a) “Mapenzi yasiyo kipimo yanaweza kuwa hatari kwa mtoto.” Eleza kikamilifu
    huku ukirejelea habari uliyosoma
    (b) Fafanua njia panda inayorejelewa na mtunzi
    (c) Mtoto analinganishwa na mmea katika taarifa hi, kwamba “usiporutubishwa
    kimakusudi, ukapaliliwa vyema na kustawishwa stahiki yake basi hudhofu.”
    Tahtmini kulinganishwa huku, huku ukirejelea taarifa
    (d) “Akili ni nywele, kila mtu ana zake.” Eleza maana ya ndani ya methali hii
    kulingana na taarifa
    (e) Onyesha kwamba unaelewa maana ya:
    “Kurudi mtoto kwa visa vya maonevu ni kumrudisha nyuma kiumbe huyo”
    (f) Eleza maana ya:
    (i) Kulikongomeza
    (ii) Kujipambaniza

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Andika methali moja inayotokana na maelezo yafuatayo: Asiye na uwezo ataendelea kuwa bila uwezo hata akifanya bidii namna gani.(Solved)

    Andika methali moja inayotokana na maelezo yafuatayo:
    Asiye na uwezo ataendelea kuwa bila uwezo hata akifanya bidii namna
    gani.

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Mdudu mwenye mkia uliopinda nchani ambao una sumu ni?(Solved)

    Mdudu mwenye mkia uliopinda nchani ambao una sumu ni?

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Mdudu anayetengeneza utandu huitwa?(Solved)

    Mdudu anayetengeneza utandu huitwa?

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Tumia tanakali za sauti zifaazo kukamilisha sentensi hizi; i) Sauti ya waimbaji haikusikika tena, ilikuwa imedidima…wageni walipofika katika jukwaa. ii) Simba ni mnyama hodari sana, akimkamata swara humrarua(Solved)

    Tumia tanakali za sauti zifaazo kukamilisha sentensi hizi;
    i) Sauti ya waimbaji haikusikika tena, ilikuwa imedidima…wageni
    walipofika katika jukwaa.
    ii) Simba ni mnyama hodari sana, akimkamata swara humrarua

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Kamilisha tashbihi zifuatazo i) Baidika kama ii) Mzima kama(Solved)

    Kamilisha tashbihi zifuatazo
    i) Baidika kama
    ii) Mzima kama

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Eleza tofauti baina ya sentensi hizi; i) Ningekuwa na pesa ningenunua shamba. ii) Ningelikuwa na pesa ningalinunua shamba(Solved)

    Eleza tofauti baina ya sentensi hizi;
    i) Ningekuwa na pesa ningenunua shamba.
    ii) Ningelikuwa na pesa ningalinunua shamba

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Eleza maana nne-tofauti za sentensi hii; Alinunuliwa samaki na mtoto wake(Solved)

    Eleza maana nne-tofauti za sentensi hii;
    Alinunuliwa samaki na mtoto wake

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Andika kinyume; Mjomba alichomeka upanga kwenye ala(Solved)

    Andika kinyume;
    Mjomba alichomeka upanga kwenye ala

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Kanusha Ungemwuliza vizuri angekujibu bila wasiwasi(Solved)

    Kanusha
    Ungemwuliza vizuri angekujibu bila wasiwasi

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Andika vitensi vinavyotokana na majina haya; i) Mfuasi ii) Kifaa iii) Mharibifu(Solved)

    Andika vitensi vinavyotokana na majina haya;
    i) Mfuasi
    ii) Kifaa
    iii) Mharibifu

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Piga mstari vivumishi katika sentensi hizi i) Sina nguo yoyote niwezayo kuvaa ii) Mtoto mwenyewe ataileta kalamu(Solved)

    Piga mstari vivumishi katika sentensi hizi
    i) Sina nguo yoyote niwezayo kuvaa
    ii) Mtoto mwenyewe ataileta kalamu

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Andika kwa msemo halisi sentensi. Tajiri alishangaa kuwa niliweza kuubeba mzigo huo peke yangu.(Solved)

    Andika kwa msemo halisi sentensi. Tajiri alishangaa kuwa niliweza kuubeba mzigo huo peke yangu.

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)

  • Ziandike upya sentensi zifuatazo kwa kufuata maagizo uliyopewa. i) Nimemleta paka ili aue panya wote wanaotusumbua hapa kwetu nyumbani. (Anza: Panya…) ii) Mbwa ambaye aliripotiwa kuwa ameibwa amepatikana...(Solved)

    Ziandike upya sentensi zifuatazo kwa kufuata maagizo uliyopewa.
    i) Nimemleta paka ili aue panya wote wanaotusumbua hapa kwetu
    nyumbani. (Anza: Panya…)
    ii) Mbwa ambaye aliripotiwa kuwa ameibwa amepatikana katika
    bwawa la maji (Anza: katika bwawa…..)

    Date posted: June 27, 2019.  Answers (1)