Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Onyesha viambishi awali na tamati katika kitenzi: Alimchezea

      

Onyesha viambishi awali na tamati katika kitenzi: Alimchezea

  

Answers


Kavungya
a-li-m - che-e-a
Awali Tamati
Kavungya answered the question on June 28, 2019 at 09:05


Next: Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I – I
Previous: Taja sauti mbili zinazotamkiwa midomoni.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions


  • Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I – I(Solved)

    Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I – I

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • MUHTASARI Ajira ya watoto ni tatizo sugu linalokumba ulimwengu wa sasa , hasa katika nchi zinazozoendelea. Jambo la kusikitisha ni kwamba hivi ndivyo ilivyo katika nchi nyingi za...(Solved)

    MUHTASARI
    Ajira ya watoto ni tatizo sugu linalokumba ulimwengu wa sasa , hasa katika nchi
    zinazozoendelea. Jambo la kusikitisha ni kwamba hivi ndivyo ilivyo katika nchi nyingi
    za ulimwengu huu. Kuna idadi kubwa ya watoto wanaoajiriwa katika nyanja mbalimbali
    za jamii. Zipo sababu nyingi zinazowasukuma watoto kutafuta ajira barani Afrika kwa
    mfano, familia nyingi huishi maisha ya ufukara hivi kwamba hushindwa kuyatimiza
    mahitaji muhimu hususan kwa watoto. Kapanda kwa gharama ya maisha kunazidisha
    viwango vya umaskini. Ukosefu wa lishe pia huwafanya watotto kutoroka nyumbani
    kutfuta ajira. Janga la UKIMWI limesababisha kuwepo kwa idadi kubwa ya mayatima
    wanaoshia kutafuta ajira ili kuyakimu maisha. UKIMWI umezifanya nyingi pia
    kuwaondoa watoto shule ili waweze kuajriwa kwa lengo la kuanzisha pato la familia
    hizo. Watoto wengine hutoroka makwao kwa sababu ya maonevu. Maonevu haya ni
    kama vile kupigwa, kutukanawa kila wakati, kunyanyaswa kijinsia na kadhalika. Huko
    nje hutaabishwa kimwili na kiakili. Hufanyishwa kazi za sulubu zenye malipo duni au
    wasilipwe kabisa. Hili huwasononeshe na kuathiri afya yao.

    Uundaji wa Umoja wa Afrika hivi majuzi ni hatua muhimu ya kushughulikia matatizo ya
    Afrika kama vile ajura ya watoto, kuzorota kwa miundo msingi, magonjwa, njaa,
    umaskini, ufisadi na ukabila. Katika kushughulikia haki za watoto, nchi za Afrika hazina
    budi kuzingatia masharti yalivyowekwa na Umuja wa Mataifa kuhusu haki za watoto.
    Nchi nyingi za Afrika ziliidhinisha mkataba wa marsharti hayo ikiwemo inchi ya Kenya.
    Nchi hizi basi lazima zishughulikie haki za watoto kupitia sheria za nchi. Watoto ni
    rasilimali muhimu na ndio tumaini la kuwepo kwa kizazi cha binadamu.

    a) Eleza mambo yote muhimu anaazungumzia mwandishi katika aya ya kwanza
    (maneno 45-50) (alama 7, 1 ya utiririko)
    Matayarisho
    Jibu
    b) Bila kubadilisha maana aliyokusudia mwandishi, fupisha aya mbili za mwisho
    (maneno 50-55) (alama 8, 1 ya utiririko)
    Matayarisho
    Jibu

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Ulimwengu unapaswa kuzuka na mbinu za Kulitadarukia tatizo la umaskini ambao unakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini unaoyakabili mataifa yanayoendelea. Unayatosa kwenye dhiki...(Solved)

    Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali
    Ulimwengu unapaswa kuzuka na mbinu za Kulitadarukia tatizo la umaskini ambao
    unakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini unaoyakabili mataifa yanayoendelea.
    Unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakitpiga hatua kubwa
    kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yalo yaliyoendelea kama
    vile Marekani, nchi za Ulaya na Ujapani unapanuka kila uchao.

    Vyanzo vya umaskinin huu ni anuwai mathalan, ufusadi, uongozi mbaya, turathi za
    kikoloni, uchumi kuegemea mvua isiyotabarika, idadi ya watu inayoupik uwezo wa
    uchumi wa taifa linalohusika na ukosefu wa nyenzo na amali za kuwakwamua raia
    kutoka lindi la umaskini. Ukosefu adimu za ajira huchangia pia katika tatizo hili.

    Jamii ya ulimwengu inapaswa kuelewa kuwa umaskini unaoathiri nchi Fulani una athari
    pan asana. Uvunigu unaotokana na umaskini unaweza kuweza kuwa mboji ambako
    matendo ya kihalifu ili kujinasua kutoka dhiki ile. Hii inaweza kuwa mbegu ya kuatika
    maovu kama ugaidi na uhalifu wa kila aina.

    Mataifa ya magharibi yanapaswa kuyaburai madeni mataifa yanayoendelea kama njia
    mojawapo ya kupambana na umaskini. Asilimia kubwa ya pato la kitaifa katika mataifa
    mengi hutumika kuyalipa madeni hayo. Katika hali hii inakuwa muhali kwa mataifa hayo
    kujikwamua kutokana na pingu za umaskini. Njia nyingine ni kustahabu kutoa ruzuku za
    kimaendeleo badala ya mikopo kwa nchi zinazoendelea.

    Kwa upande wake, mataifa yanayoendelea yanapaswa kuibuka na mikakati bora ya
    kupambana na umaskini. Ni muhimu pawepo na sera zinazotambua ukweli kuwa
    asilimia kubwa ya raia wa mataifa hayo ni maskini. Pana dharural ya kuzalisha nafasi za
    ajira, kupanua viwanda hususan vinavyohusiana na zaraa ambayo ni tegemeo kuu la
    mataifa mengi, kuendeleza elimu na kuimarisha miundo msingi. Ipo haja pia ya mataifa
    haya kuhakikisha kuwa mfumo wa soko huru unaotawala ulimwengu sasa huishii kuwa
    chanzo cha kufa kwa viwanda asilia na kuendeleza masikini zaidi. Kwa ufupi, maamuzi
    yote ya sera za kiuchumi lazima yazingatie uhalishi wa maisha ya raia wa mataifa hayo.

    a) Kwa nini umaskini umetamalaki katika mataifa yanayoendelea?
    b) Madeni yana athari gani kwa mataifa yanayoendelea?
    c) Ni mapendekezo yapi ambayo mwandishi anatoa kwa mataifa machanga kuhusu
    utatuzi wa tatizo la umaskini?
    d) Mfumo wa soko huru una mathara gani kwa mataifa machanga?
    e) Ukirejea kifungu, eleza maana ya:
    i) Kulitadarukia
    ii) Kuatika
    iii) Kuyaburai madeni

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Mbuni huzaa matunda gani?(Solved)

    Mbuni huzaa matunda gani?

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Haya ni magonjwa gani? I Matubwitubwi II Tetewanga(Solved)

    Haya ni magonjwa gani?
    I Matubwitubwi
    II Tetewanga

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Kati ya madini haya taja yale yanayopatikana baharini Zinduna Zebaki Lulu Ambari Yakuti Marumaru(Solved)

    Kati ya madini haya taja yale yanayopatikana baharini
    Zinduna Zebaki
    Lulu Ambari
    Yakuti Marumaru

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Jaza jedwali Kiume Kike Mjakazi Jogoo Fahali(Solved)

    Jaza jedwali
    Kiume Kike
    Mjakazi
    Jogoo
    Fahali

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Eleza maana ya: (i) Sina pa kuuweka uso wangu (ii) Ana mkono wa buli(Solved)

    Eleza maana ya:
    (i) Sina pa kuuweka uso wangu
    (ii) Ana mkono wa buli

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii Mamake Juma na Mariamu walitutembelea(Solved)

    Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii
    Mamake Juma na Mariamu walitutembelea

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Geuza vitenzi hivi viwe majina (i) Shukuru (ii) Enda(Solved)

    Geuza vitenzi hivi viwe majina
    (i) Shukuru
    (ii) Enda

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Andika sentensi hii upya kwa kufuata maagizo Nilikuwa nimejitayarisha vizuri kwa hivyo sikuona ugumu wo wote katika safari yangu. Anza: safari(Solved)

    Andika sentensi hii upya kwa kufuata maagizo
    Nilikuwa nimejitayarisha vizuri kwa hivyo sikuona ugumu wo wote
    katika safari yangu.
    Anza: safari

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Tumia – ndi pamoja na viashiria vya ngeli kujaza mapengo (i) Wewe ___________ ninayekutafuta (ii) Nyinyi ___________ mnaoongoza(Solved)

    Tumia – ndi pamoja na viashiria vya ngeli kujaza mapengo
    (i) Wewe ___________ ninayekutafuta
    (ii) Nyinyi ___________ mnaoongoza

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Kanusha sentensi hii: Tumechukua nguo chache kuuza(Solved)

    Kanusha sentensi hii:
    Tumechukua nguo chache kuuza

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Huku ukitoa mifano, fafanua miundo mitatu ya majina katika ngeli ya JI-MA(Solved)

    Huku ukitoa mifano, fafanua miundo mitatu ya majina katika ngeli ya
    JI-MA

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Eleza matumizi ya na katika sentensi: Halima na Asha wanasaidiana(Solved)

    Eleza matumizi ya na katika sentensi:
    Halima na Asha wanasaidiana

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Andika kwa wingi Pahala hapa ni pake(Solved)

    Andika kwa wingi
    Pahala hapa ni pake

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Eleza matumizi ya kwa katika sentensi hii Aliimba kwa sauti tamu(Solved)

    Eleza matumizi ya kwa katika sentensi hii
    Aliimba kwa sauti tamu

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Kamilisha jedwali Kufanya Kufanyia Kufanywa Kula Kuunga(Solved)

    Kamilisha jedwali
    Kufanya Kufanyia Kufanywa
    Kula
    Kuunga

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Bainisha aina ya vivumishi katika sentensi hii Nyumba yangu ni maridadi(Solved)

    Bainisha aina ya vivumishi katika sentensi hii
    Nyumba yangu ni maridadi

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • UFUPISHO Ujambazi wa kimataifa ni tatizo lilolowasumbua walimwengu kwa muda mrefu sana. Serikali nyingi zimetumia mapesi mengi kwa miaka mingi sana zikijitahidi kupambana na janga hii. Hata hivyo,...(Solved)

    UFUPISHO
    Ujambazi wa kimataifa ni tatizo lilolowasumbua walimwengu kwa muda mrefu sana.
    Serikali nyingi zimetumia mapesi mengi kwa miaka mingi sana zikijitahidi kupambana
    na janga hii. Hata hivyo, fanaka haijapatikana wala haielekei kamwe kuwa itapatikana leo
    au karne nyingi baadaye.

    Yumkini tatizo kubwa lililopo ni kuhusu jelezi la dhana ya “ujambazi” tena “wa
    kimataifa”. Hili ni tatizo mojawapo na yapo mengi sana. Tatizo la pili ni kiburi. Kuna
    wale watu binafsi na hasa viongozi wan chi kubwakubwa na serikali zao zilizojiaminisha
    kuwa ujambazi ni balaa kweli, tena belua, lakini huo ni wa huko, wala hauwezi kuwagusa
    licha ya kuwashtua wao.

    Kulingana na maoni watakaburi hao, ujambazi ni wa watu “washenzi” wasiostaarabika,
    wapatikanao katika nchi zisizoendelea bado. Ujambazi pekee wanaouona unafaa
    kukabiliwa ni dhidi ya mbubujiko wa madawa ya kulevya uliosababishwa na
    vinyangarika kutoka nchi hizo maaluni za “ ulimwengu wa tatu”. Kulingana na
    wastaarabu wan chi zilizoendelea, vinyangarika hivi ndivyo hasa adui mkubwa wa
    ustaarabu ulimwenguni na ni sharti vifagiliwe mbali bila huruma. Baada ya
    kusagwasagwa, ulimwengu mstaarabu utazidi kutononoka na ahadi ya mbingu hapa
    ardhini itakamilika.

    Imani ya watu ya kuwa ujambazi wa kimataifa. Hata iwapo upo, hauwezi kuwashtua
    wala kuwatingisha wao ilikuwa kamili na timamu. Ilikuwa kamili na timamu hadi
    hapo mwezi Septemba tarehe 11 mwaka wa 2001, ndege tatu za abiria zilipoelekezwa
    katika majumba mawili ya fahari, yenye urefu wa zaidi ya ghorofa mia moja na
    kuyatwangilia mbali. Mshtuko na kimako! Kimako kwa kuwa, kabla ya siku hiyo,
    wanarekani kudhai kwamba ingewezekana taifa lolote au mtu yeyote kuthubutu
    kuishambulia nchi yao, taifa wasifa lililojihami barabara dhidi ya aina yeyote ile ya
    uchokozi kutoka pembe lolote la dunia.

    Hakuna ulimwengu mzima, aliyeamini kuwa marekani ingeeza kushambuliwa. Kwa ajili
    hiyo, mshtuko uliitingisha ardhi yote na huzuni ilitanda kote, kama kwamba sayari nzima
    imeshambuliwa, wala sio marekani pekee.

    Mintarafu hiyo, marekani ilipolipiza kisasi kwa kuwaunguza waliokuwemo na
    wasiokuwemo kwa mabomu hatari huko Afghanistan, idadi kubwa ya watu duniani
    ilishangilia na kusherehekea. Kwa nahati mbaya, tafsiri ya shambulizi la minara- pacha
    ya Newyork na lile la Pentagon, uti wa uwezo wa kivita wa Marekani, ilizorota. Kuna
    wengi waliodhani huo ni mwanzo wa vita vya Waislamu dhidi ya Wakristo na kwa
    muda, Waislamu wote wakashukiwa kimakosa kuwa ni majambazi wa kimataifa.

    (a) Bila bubadilisha maana, fupisha aya tatu za kwanza ( maneno 65 – 75)
    Matayarisho
    Nakala safi (alama 10, 2 za utiririko)
    (b) Ukizingira aya, tatu za mwisho, fafanua fikira za watu wa mambo yote
    yaliyotokea
    Baada ya Septemba tarehe 11, 2001 (maneno 65 – 75) (alama 10, 2 za
    utiririko)
    Matayarisho
    Nakala safi

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)