Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Unganisha sentensi zifuatazo ukitumia neno “japo” i) Selina alijitahidi sana . (ii) Selina hakushinda mbio hizo

      

Unganisha sentensi zifuatazo ukitumia neno “japo”
i) Selina alijitahidi sana .
(ii) Selina hakushinda mbio hizo

  

Answers


Kavungya
Japo hakushinda mbio hizo, Selina alijufahidi sana
Japo alijitahidi sana Selina hakushinda mbio hizo
Selina alijitahidi sana japo hakishinda mbio hizo
Japi Selina alijitahidi sana hakushinda mbio hizo
Kavungya answered the question on June 28, 2019 at 09:16


Next: Onyesha hali katika sentensi zifuatazo: i) Henda mvua ikanyesha leo. ii) Miti hukatwa kila siku duniani.
Previous: Andika kinyume cha: Mwise alikunja nguo alizokuwa ameanika

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions


  • Onyesha hali katika sentensi zifuatazo: i) Henda mvua ikanyesha leo. ii) Miti hukatwa kila siku duniani.(Solved)

    Onyesha hali katika sentensi zifuatazo:
    i) Henda mvua ikanyesha leo.
    ii) Miti hukatwa kila siku duniani.

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Unda nomino kutokana na vitenzi: i) Chelewa ii) Andika(Solved)

    Unda nomino kutokana na vitenzi:
    i) Chelewa
    ii) Andika

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Bainisha Kirai Nomino na Kirai Tenzi katika sentensi: Jirani mwema alinipa chakula(Solved)

    Bainisha Kirai Nomino na Kirai Tenzi katika sentensi:
    Jirani mwema alinipa chakula

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Tunga sentensi moja ukitumia neno “seuze”(Solved)

    Tunga sentensi moja ukitumia neno “seuze”

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Sentensi hizi ni za aina gani? i) Lonare anatembea kwa kasi. ii) Halima anaandika hali Ekomwa anasoma(Solved)

    Sentensi hizi ni za aina gani?
    i) Lonare anatembea kwa kasi.
    ii) Halima anaandika hali Ekomwa anasoma

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Andika sentenzi zifuatazo kulingana na maagizo uliyopewa i) Mhunzi mrefu alishinda tuzo (Anza kw: tuzo… ii) Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. (Anza kwa kiashiria kisisitizi)(Solved)

    Andika sentenzi zifuatazo kulingana na maagizo uliyopewa
    i) Mhunzi mrefu alishinda tuzo (Anza kw: tuzo…
    ii) Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. (Anza kwa kiashiria kisisitizi)

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Kitenzi fumbata kiko katika hali (kauli) ya?(Solved)

    Kitenzi fumbata kiko katika hali (kauli) ya?

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Kanusha sentensi ifuatayo: Ningalikuwa na pesa ningalinunua nyumba(Solved)

    Kanusha sentensi ifuatayo:
    Ningalikuwa na pesa ningalinunua nyumba

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Taja sauti mbili zinazotamkiwa midomoni.(Solved)

    Taja sauti mbili zinazotamkiwa midomoni.

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Onyesha viambishi awali na tamati katika kitenzi: Alimchezea(Solved)

    Onyesha viambishi awali na tamati katika kitenzi: Alimchezea

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I – I(Solved)

    Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I – I

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • MUHTASARI Ajira ya watoto ni tatizo sugu linalokumba ulimwengu wa sasa , hasa katika nchi zinazozoendelea. Jambo la kusikitisha ni kwamba hivi ndivyo ilivyo katika nchi nyingi za...(Solved)

    MUHTASARI
    Ajira ya watoto ni tatizo sugu linalokumba ulimwengu wa sasa , hasa katika nchi
    zinazozoendelea. Jambo la kusikitisha ni kwamba hivi ndivyo ilivyo katika nchi nyingi
    za ulimwengu huu. Kuna idadi kubwa ya watoto wanaoajiriwa katika nyanja mbalimbali
    za jamii. Zipo sababu nyingi zinazowasukuma watoto kutafuta ajira barani Afrika kwa
    mfano, familia nyingi huishi maisha ya ufukara hivi kwamba hushindwa kuyatimiza
    mahitaji muhimu hususan kwa watoto. Kapanda kwa gharama ya maisha kunazidisha
    viwango vya umaskini. Ukosefu wa lishe pia huwafanya watotto kutoroka nyumbani
    kutfuta ajira. Janga la UKIMWI limesababisha kuwepo kwa idadi kubwa ya mayatima
    wanaoshia kutafuta ajira ili kuyakimu maisha. UKIMWI umezifanya nyingi pia
    kuwaondoa watoto shule ili waweze kuajriwa kwa lengo la kuanzisha pato la familia
    hizo. Watoto wengine hutoroka makwao kwa sababu ya maonevu. Maonevu haya ni
    kama vile kupigwa, kutukanawa kila wakati, kunyanyaswa kijinsia na kadhalika. Huko
    nje hutaabishwa kimwili na kiakili. Hufanyishwa kazi za sulubu zenye malipo duni au
    wasilipwe kabisa. Hili huwasononeshe na kuathiri afya yao.

    Uundaji wa Umoja wa Afrika hivi majuzi ni hatua muhimu ya kushughulikia matatizo ya
    Afrika kama vile ajura ya watoto, kuzorota kwa miundo msingi, magonjwa, njaa,
    umaskini, ufisadi na ukabila. Katika kushughulikia haki za watoto, nchi za Afrika hazina
    budi kuzingatia masharti yalivyowekwa na Umuja wa Mataifa kuhusu haki za watoto.
    Nchi nyingi za Afrika ziliidhinisha mkataba wa marsharti hayo ikiwemo inchi ya Kenya.
    Nchi hizi basi lazima zishughulikie haki za watoto kupitia sheria za nchi. Watoto ni
    rasilimali muhimu na ndio tumaini la kuwepo kwa kizazi cha binadamu.

    a) Eleza mambo yote muhimu anaazungumzia mwandishi katika aya ya kwanza
    (maneno 45-50) (alama 7, 1 ya utiririko)
    Matayarisho
    Jibu
    b) Bila kubadilisha maana aliyokusudia mwandishi, fupisha aya mbili za mwisho
    (maneno 50-55) (alama 8, 1 ya utiririko)
    Matayarisho
    Jibu

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Ulimwengu unapaswa kuzuka na mbinu za Kulitadarukia tatizo la umaskini ambao unakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini unaoyakabili mataifa yanayoendelea. Unayatosa kwenye dhiki...(Solved)

    Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali
    Ulimwengu unapaswa kuzuka na mbinu za Kulitadarukia tatizo la umaskini ambao
    unakwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini unaoyakabili mataifa yanayoendelea.
    Unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakitpiga hatua kubwa
    kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yalo yaliyoendelea kama
    vile Marekani, nchi za Ulaya na Ujapani unapanuka kila uchao.

    Vyanzo vya umaskinin huu ni anuwai mathalan, ufusadi, uongozi mbaya, turathi za
    kikoloni, uchumi kuegemea mvua isiyotabarika, idadi ya watu inayoupik uwezo wa
    uchumi wa taifa linalohusika na ukosefu wa nyenzo na amali za kuwakwamua raia
    kutoka lindi la umaskini. Ukosefu adimu za ajira huchangia pia katika tatizo hili.

    Jamii ya ulimwengu inapaswa kuelewa kuwa umaskini unaoathiri nchi Fulani una athari
    pan asana. Uvunigu unaotokana na umaskini unaweza kuweza kuwa mboji ambako
    matendo ya kihalifu ili kujinasua kutoka dhiki ile. Hii inaweza kuwa mbegu ya kuatika
    maovu kama ugaidi na uhalifu wa kila aina.

    Mataifa ya magharibi yanapaswa kuyaburai madeni mataifa yanayoendelea kama njia
    mojawapo ya kupambana na umaskini. Asilimia kubwa ya pato la kitaifa katika mataifa
    mengi hutumika kuyalipa madeni hayo. Katika hali hii inakuwa muhali kwa mataifa hayo
    kujikwamua kutokana na pingu za umaskini. Njia nyingine ni kustahabu kutoa ruzuku za
    kimaendeleo badala ya mikopo kwa nchi zinazoendelea.

    Kwa upande wake, mataifa yanayoendelea yanapaswa kuibuka na mikakati bora ya
    kupambana na umaskini. Ni muhimu pawepo na sera zinazotambua ukweli kuwa
    asilimia kubwa ya raia wa mataifa hayo ni maskini. Pana dharural ya kuzalisha nafasi za
    ajira, kupanua viwanda hususan vinavyohusiana na zaraa ambayo ni tegemeo kuu la
    mataifa mengi, kuendeleza elimu na kuimarisha miundo msingi. Ipo haja pia ya mataifa
    haya kuhakikisha kuwa mfumo wa soko huru unaotawala ulimwengu sasa huishii kuwa
    chanzo cha kufa kwa viwanda asilia na kuendeleza masikini zaidi. Kwa ufupi, maamuzi
    yote ya sera za kiuchumi lazima yazingatie uhalishi wa maisha ya raia wa mataifa hayo.

    a) Kwa nini umaskini umetamalaki katika mataifa yanayoendelea?
    b) Madeni yana athari gani kwa mataifa yanayoendelea?
    c) Ni mapendekezo yapi ambayo mwandishi anatoa kwa mataifa machanga kuhusu
    utatuzi wa tatizo la umaskini?
    d) Mfumo wa soko huru una mathara gani kwa mataifa machanga?
    e) Ukirejea kifungu, eleza maana ya:
    i) Kulitadarukia
    ii) Kuatika
    iii) Kuyaburai madeni

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Mbuni huzaa matunda gani?(Solved)

    Mbuni huzaa matunda gani?

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Haya ni magonjwa gani? I Matubwitubwi II Tetewanga(Solved)

    Haya ni magonjwa gani?
    I Matubwitubwi
    II Tetewanga

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Kati ya madini haya taja yale yanayopatikana baharini Zinduna Zebaki Lulu Ambari Yakuti Marumaru(Solved)

    Kati ya madini haya taja yale yanayopatikana baharini
    Zinduna Zebaki
    Lulu Ambari
    Yakuti Marumaru

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Jaza jedwali Kiume Kike Mjakazi Jogoo Fahali(Solved)

    Jaza jedwali
    Kiume Kike
    Mjakazi
    Jogoo
    Fahali

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Eleza maana ya: (i) Sina pa kuuweka uso wangu (ii) Ana mkono wa buli(Solved)

    Eleza maana ya:
    (i) Sina pa kuuweka uso wangu
    (ii) Ana mkono wa buli

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii Mamake Juma na Mariamu walitutembelea(Solved)

    Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii
    Mamake Juma na Mariamu walitutembelea

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)

  • Geuza vitenzi hivi viwe majina (i) Shukuru (ii) Enda(Solved)

    Geuza vitenzi hivi viwe majina
    (i) Shukuru
    (ii) Enda

    Date posted: June 28, 2019.  Answers (1)