m,gh
Kavungya answered the question on June 29, 2019 at 06:19
-
Chora vielelezo matawi vya sentensi ifuatayo:
Bakari, Roda na Hirsi wamefurahi kupita mtihani.
(Solved)
Chora vielelezo matawi vya sentensi ifuatayo:
Bakari, Roda na Hirsi wamefurahi kupita mtihani.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia visawe vya maneno yaliyopigwa mstari kuandika tena sentensi ifuatayo:
Ukuta umemweumiza mvulana alipokuwa akiuparaga
(Solved)
Tumia visawe vya maneno yaliyopigwa mstari kuandika tena sentensi ifuatayo:
Ukuta umemweumiza mvulana alipokuwa akiuparaga
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi mbili zifuatazo kama sentensi moja kwa kutumia
kiwakilishi kirejeshi.
i) duka la Bahati lina bidhaa nyingi
ii) Juma anafanya kazi katika duka la Bahati.
(Solved)
Andika sentensi mbili zifuatazo kama sentensi moja kwa kutumia
kiwakilishi kirejeshi.
i) duka la Bahati lina bidhaa nyingi
ii) Juma anafanya kazi katika duka la Bahati.
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
UFAHAMU
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Wanasaikolojia wanabainisha kati ya sehemu mbili kuu katika akili ya binadamu:
Ung’amuzi na ung’amuzibwete. Ung’amuzi ni sehemu ya ubongo ambayo kimsingi
hupanua...
(Solved)
UFAHAMU
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Wanasaikolojia wanabainisha kati ya sehemu mbili kuu katika akili ya binadamu:
Ung’amuzi na ung’amuzibwete. Ung’amuzi ni sehemu ya ubongo ambayo kimsingi
hupanua na kudadavua yanayotendeka hususan mchana. Ung’amuzibwete ni
kibinimethali chake; hufanya kazi wakati binadamu anapolemazwa na usingizi. Baadhi
ya mambo anayoshuhudia binadamu mchana yanaingia kwenye ung’amuzibwete wake na
kutokeza katika ndoto zake usiku.
Kwa mujibu wa mawazo ya Sigmund freud, mwanasaikolojia wa jadi anayechukuliwa
nawengi kama mwasisi wa taaluma ya saikolojia, mambo yanayopatikana katika
unga’amuzibwete mambo yana sifa hasi. Freud alidahili kuwa binadamu huyaficha na
kuyabania kwenye ung’amuzibwete mambo ambayo hawezi juyasema kadamnasi.
Alieleza kuwa matamanio yasiyokubalika, makatazo ya jamii, fikra na kauli
zilizoharamishwa na miko ya kijamii hubanwa katika ung’amuzibwete. Shehena hiyo
ndiyo inayochipuza kwa njia ya ishara za ndoto, mitelezo ya kauli, yaani maneno au kauli
zinazotukoka bila wenye kukusudia, ishara na lugha ya kitamathali katika uandishi wa
kibunifu na kadhalika.
Ung’amuzibwete un uwezo mkubwa wa kuathiri matendo ya binadamu. Huu ndio
msingi unaowafanya wanasaikolojia wengi, akiwepo freud, kusema kuwa tajiriba ya
motto inaweza kufichwa kwenye sehemu hiyo na hatimaye kuishia kutokeza katika utu
uzima wake. Kwa kuwa tunapoingiliana na binadamu wenzetu kila siku
tunayang’amuzibwete unapotawala binadamu wenzetu watashindwa kutuelewa. Hii
ndiyo hali anayokuwa nayo mwendawazimu. Ung’amuzibwete wake hutawala. Sisi
tunaotawaliwa na ung’amuzi tunashindwa kumwelewa; naye bila shaka anashindwa
kutuelewa.
Carl Gustav Jung, aliyewahi kuwa mwanafunzi wa Freud, aliupinga mwelekeo wa Freud
wa kuungalia ung’amuzibwete kama jaa la mawazo mabaya, matamanio, nia, fikira tuli
na dhana ambazo ni hasi. Jung alizuka na dhana mbili muhimu: Ung’amuzibwete wa
kibinafsi na un’gabuzibwete jumuishi. Alisema mambo, fikra na uzoefu wowote mbaya
unaomuhusu mtu binafsi . Dhana ya ung’a muzibwete jumuishi aliitumia kuelezea
sehemu ya akili ya binadamu ambayo inamfanya ayatende matendo Fulani kama
binadamu wenzake licha ya tofauti zao kiwakati na kijiografia. Kwa mfano, binadamu
wengi wana sherehe za kuzaliwa motto, kuoza, ibada au mviga unaohusiana na kifo licha
ya tofauti zao. Jung alisema kuwa kinachochochea hali hii ni urithi Fulani wa kila
mwanadamu. Urithi huo unapatikana katika ung’amuzibwete jumuishi.
Upo mwafikiano kati ya wataalamu hawa wawili kuwa ung’auzibwete una uwezo wa
kuathiri ung’amuzi matendo ya binadamu ya king’amuzi. Wanasaikolojia wanashikilia kuwa binadamu hawezi kukamilika bila kuzihusisha sehemu zote mbile kwa sababu
zinaathiriana.
a) Kwan in ung’amuzibwete unaelezwa kama kinyme cha ung’amuzi?
b) Eleza mtazamo wa Freud kuhusu ung’amuzibwete.
c) Kwa mujibu wa Freud yaliyomo kwenye ung’amuzibwete hudhihirika vipi?
d) Eleza tofauti ya mawazo kati ya Sigmund Freud na Carl Gustav Jung.
e) taja hoja inayowafungamanisha Jung na Freud.
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya “na” katika sentensi:
Sofia na Raeli wanaandaliwa chai na mpishi
(Solved)
Eleza matumizi ya “na” katika sentensi:
Sofia na Raeli wanaandaliwa chai na mpishi
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Andika udogo na ukubwa wa neno ‘kiti’
(Solved)
Andika udogo na ukubwa wa neno ‘kiti’
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya ritifaa katika: ‘N” shamchukua
(Solved)
Eleza matumizi ya ritifaa katika: ‘N” shamchukua
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi kuonyesha tofauti kati ya vitate vifuatavyo
Suku na zuka
(Solved)
Tunga sentensi kuonyesha tofauti kati ya vitate vifuatavyo
Suku na zuka
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha:
Mwise alikunja nguo alizokuwa ameanika
(Solved)
Andika kinyume cha:
Mwise alikunja nguo alizokuwa ameanika
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha hali katika sentensi zifuatazo:
i) Henda mvua ikanyesha leo.
ii) Miti hukatwa kila siku duniani.
(Solved)
Onyesha hali katika sentensi zifuatazo:
i) Henda mvua ikanyesha leo.
ii) Miti hukatwa kila siku duniani.
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na vitenzi:
i) Chelewa
ii) Andika
(Solved)
Unda nomino kutokana na vitenzi:
i) Chelewa
ii) Andika
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja ukitumia neno “seuze”
(Solved)
Tunga sentensi moja ukitumia neno “seuze”
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Sentensi hizi ni za aina gani?
i) Lonare anatembea kwa kasi.
ii) Halima anaandika hali Ekomwa anasoma
(Solved)
Sentensi hizi ni za aina gani?
i) Lonare anatembea kwa kasi.
ii) Halima anaandika hali Ekomwa anasoma
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentenzi zifuatazo kulingana na maagizo uliyopewa
i) Mhunzi mrefu alishinda tuzo (Anza kw: tuzo…
ii) Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. (Anza kwa kiashiria kisisitizi)
(Solved)
Andika sentenzi zifuatazo kulingana na maagizo uliyopewa
i) Mhunzi mrefu alishinda tuzo (Anza kw: tuzo…
ii) Mwanafunzi huyu anasoma Kifaransa. (Anza kwa kiashiria kisisitizi)
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Kitenzi fumbata kiko katika hali (kauli) ya?
(Solved)
Kitenzi fumbata kiko katika hali (kauli) ya?
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo:
Ningalikuwa na pesa ningalinunua nyumba
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo:
Ningalikuwa na pesa ningalinunua nyumba
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Taja sauti mbili zinazotamkiwa midomoni.
(Solved)
Taja sauti mbili zinazotamkiwa midomoni.
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha viambishi awali na tamati katika kitenzi: Alimchezea
(Solved)
Onyesha viambishi awali na tamati katika kitenzi: Alimchezea
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I – I
(Solved)
Tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya ngeli ya I – I
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Mbuni huzaa matunda gani?
(Solved)
Mbuni huzaa matunda gani?
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)