
a) (i) Haya ni maelezo ya mwandishi kuhusu mawazo ya selume katika ndoa.
(ii) Anahisi hana mume kwani shoka amepuuza wajibu wake/ mzohali
(iii) Amemwachia jukumu la malezi na kutafuta riziki, kazi ya Shoka ni
kudoea alichotafuta selume.
(iv) Kama si wanawe Selume hangejisumbua kutafuta chakula
(b)(i) Sitiara/ jazanda
Mfano: Shimiri za baruti
Maalezo: Matatizo ya ndoa
(ii) Msemo/ Nahau: kutanga na njia – kuhangaika, kutafuta
(iii) Nida/ siyahi: Lo- kuonyesha hisia za kuchukizwa na mkondo wa ndoa
yake.
(c)(i) Kudhulumiwa kwa mwanamke katika ndoa kama. Selume na shoka
(ii) Kutowajibika kwa wanaume. Kama Shoka
(iii) Wanawake kuendelea kubaki katika ndoa zenye matatizo kwa sababu ya
watoto wao na kujitolea katika yaliyopuuzwa na waume wao.
d) 1 Asasi ya ndoa/ unyumba – ndoa ya maksuudi na tamima na ya maksuudi na mwanasururu
(i) Matatizo kati ya mume n mke
(ii) Dhiki zinazowakumba wanawake katika ndoa
(iii) Tamima analazimika kutawa kwa amri ya mumewe Bw. Maksuudi
(iv) Hana ruhusa ya kutoka wala kumwalika mtu nyumbani.
(v) Analazimika kujifungua nyumbani licha ya ushauri wa madaktari
kutokana na kufukuzwa nyumbani.
(vi) Ananyimwa uhuru wa kuwa na mwanawe mdogo anayeishia kufariki
(vii) Tabia ya Bw. Maksuudi inaishia kuivunja jamaa yao.
(viii) Bw. Maksuudi anamwacha mkewe na kuwafuata wanawake wengine
huko nje
(ix) Mwanamke ananyimwa uhuru wa kuishi kama kiumbe anaweza kujiamlia
(x) Mwanamke hana uhuru wa kiuchumi. Km Mwanasururu ananyimwa
urithi wake.
2 Utengamano wa kijinsia/ taasubi ya kiume/ utengano kati ya wanawake na wanaume/ mgogoro wa kijinsia
(i) Wanawake wanatumiwa kama vyombo vya starehe km. kazija na
maksuudi, shoka na mainmuna.
(ii) Uhusiano kati ya mwanamke na mwanaume unatawaliwa na chuki na
kisasa – Biti. Kocho/ Farashuu na maksuudi, kazija na maksudi.
(iii) Tamina anateswa na maksuudi hataki kumsamehe na kumrudia
anapomtaka kufanya hivyo.
(iv) Uhusiano wa Maimuna na Bw. Maksuudi babake unaonyesha chuki
inayotokana na matendo ya maksuudi mwenyewe.
(v) Kazija anapanga njama ya kumfumanisha maksuudi na mwanawe Musa.
3 Ukatili
(i) Maksuudi anavyomtenda Bi. Tamina
(ii) Maksuudi anavyomtenda mwanasururu
(iii) Maksuudi kumpiga na kumfukuza/ taliki Bi. Tamina ilhali ana tumbo bichi
4 Dhiki/ kudhulumiwa kwa wanawake
(i) Maksuudi kutawisha Bi. Tamina na Maimuna
(ii) Maksuudi kumwendea kinyume Bi. Tamina ( Jicho la nje)
(iii) Maksuudi kumpora Mwanasururu mali yake
(iv) Wanawake kuachwa nyuma kielimu na kikazi
5 Nafasi ya mwanamke katika jamii
(i) Wanawake kujihusisha na ukahaba ili kujikimu
(ii) Wahusika wengine waliishi maisha katika makazi duni km. Farashuu,
Maimuna, Mwanasururu.
6 Umaskini
(i) Wanawake kujihusisha na ukahaba ili kujikimu
(ii) Wahusika wengine waliishi maisha katika makazi duni km Farashuu,
Maimuna, Mwanasururu.
Kavungya answered the question on June 29, 2019 at 07:02
-
Bainisha maudhui yanayojitokeza katika riwaya ya chozi la heri
(Solved)
Bainisha maudhui yanayojitokeza katika riwaya ya chozi la heri
Date posted:
June 14, 2019
.
Answers (1)
-
Damu Nyeusi
Jadili maudhui ya elimu kwa mujibu wa "Kanda la Usufi", "Shaka ya Mambo"
na "Tazama na Mauti"
(Solved)
Damu Nyeusi
Jadili maudhui ya elimu kwa mujibu wa "Kanda la Usufi", "Shaka ya Mambo"
na "Tazama na Mauti"
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua jinsi mwandishi wa ‘Tumbo Lisiloshiba’ alivyotumia kinaya kufanikisha maudhui yake
(Solved)
Fafanua jinsi mwandishi wa ‘Tumbo Lisiloshiba’ alivyotumia kinaya kufanikisha maudhui yake
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua changamoto zinazokabili asasi ya ndoa ukirejelea hadithi ya Masharti ya kisasa
(Solved)
Fafanua changamoto zinazokabili asasi ya ndoa ukirejelea hadithi ya Masharti ya kisasa
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Ulezi umewapa wazazi wengi changamoto nyingi. Ukirejelea hadithi ya shogake, dada ana ndevu dhihirisha ukweli wa kauli hii
(Solved)
Ulezi umewapa wazazi wengi changamoto nyingi. Ukirejelea hadithi ya shogake, dada ana ndevu dhihirisha ukweli wa kauli hii
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Dhihirisha ukweli wa methali “mzoea sahani vya vigae haviwezi” katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo
(Solved)
Dhihirisha ukweli wa methali “mzoea sahani vya vigae haviwezi” katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili matatizo yanayowakumba wakaazi wa Madongo poromoka katika tumbo lisiloshiba
(Solved)
Jadili matatizo yanayowakumba wakaazi wa Madongo poromoka katika tumbo lisiloshiba
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya usaliti katika hadithi ,’Mapenzi ya kifaurongo’ na ‘Mame Bakari.
(Solved)
Jadili maudhui ya usaliti katika hadithi ,’Mapenzi ya kifaurongo’ na ‘Mame Bakari.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Thibitisha kuwa ulitima ni kati ya maudhui ya hadithi ya mkubwa.
(Solved)
Thibitisha kuwa ulitima ni kati ya maudhui ya hadithi ya mkubwa.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Mhini na mhiniwa njia yao moja. Jadili ukweli wa methali hii ukirejelea hadithi ya mkubwa
(Solved)
Mhini na mhiniwa njia yao moja. Jadili ukweli wa methali hii ukirejelea hadithi ya mkubwa
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika ‘Tumbo lisiloshiba na Hadithi nyingine’, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika ‘Tumbo lisiloshiba na Hadithi nyingine’, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
(Solved)
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
(Solved)
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
(Solved)
Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
(Solved)
Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
(Solved)
Ukengeushi huzorotesha maendeleo ya kijamii. Jadili kauli hii ukirejelea hadithi ya ‘Mkubwa’.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
(Solved)
Jadili uhalisia wa hadithi ya Tumbo Lisiloshiba katika jamii ya leo kwa kutoa hoja kumi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira...
(Solved)
Alfa Chokocho : Tulipokutana tena
“ Mamangu siku ile aliniamsha mapema.”
i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
ii) Tathmini umuhimu wa usimulizi wa mzungumzaji katika kuendeleza dhamira ya hadithi hii.
iii) Onyesha jinsi mashaka linavyomwafiki mhusika mwenyewe katika hadithi ya “Ndoto ya Mashaka”
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)