Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Ni mambo yapi yanayowatia hofu Wakenya?

      

HABARI zisizoridhisha kuhusu shambulizi la kigaidi katika kituo cha biashara cha Westgate, Kaunti ya
Nairobi ambapo watu wapatao 67 waliaga dunia na wengine zaidi ya 175 wakaachwa na majeraha,
zinaendelea kufichuka. Magazeti yaliangazia habari kwamba mawaziri wanne pamoja na maafisa wakuu
wa usalama nchini walipashwa habari za kijasusi kuhusu mipango ya magaidi wa Al-Shabaab kutekeleza
shambulizi hilo. Inadaiwa kwamba viongozi hao hawakuchukua hatua za kuzuia shambulizi hilo.


Habari zaidi zilieleza kwamba kituo hicho kilikuwa kinafanyiwa uchunguzi na idara ya Kitaifa ya Ujasusi
(NIS) kabla ya kushambuliwa na magaidi. Imeripotiwa kwamba wachunguzaji wa ujasusi walikuwa
katika kituo hicho masaa machache kabla ya magaidi hao kufika na kuanza kuwafyatulia risasi walinda
usalama, wateja na wafanyabiashara. Inadaiwa wachunguzaji hao 'waliwasiliana' na maafisa wa polisi
wanaoshika doria mara kwa mara katika kituo hicho ambacho kimetajwa kuwa miongoni mwa maeneo
muhimu sana jijini Nairobi.

Habari hizi zote zinawapa Wakenya ujumbe mmoja; kwamba baadhi ya maafisa wakuu na idara za
serikali zilizembea katika majukumu yao ya kuwahakikishia Wakenya na wageni wote wanaozuru Kenya,
usalama. Ingawa hatupingi kwamba maafisa hao wanapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa
kuzembea kazini, jambo muhimu ambalo Wakenya wanataka sasa si lawama bali hakikisho kwamba
maisha yao hayapo hatarini wanapoendelea na shughuli zao za kila siku za kuijenga nchi.

Vitisho vilivyotolewa na magaidi hao ambao wamesema wanapanga kutekeleza mashambulizi mengine
ndivyo vinavyowakosesha Wakenya Usingizi. Wahenga walisema tusahau yaliyopita na tugange yajayo.
Serikali inapaswa kutumia shambulizi la Westgate kama funzo litakalozifanya idara zake za usalama
kuamka usingizini na kuhakikisha kwamba Wakenya wasio na hatia hawapotezi tena maisha yao katika
mashambulizi kama haya.

Lakini mbona Wakenya nao wasianze kuuthamini usalama wao wenyewe? Hali ya usalama nchini
itaimarika maradufu kama Wakenya wote watachakua jukumu la kuwajua vyema majirani wao na
kuripoti jambo lolote lisilo la kawaida kwa maafisa wa usalama.


Shambulizi hili lingezuiwa kama Wakenya wangekuwa na mazoea ya kutaka kuwafahamu vyema watu
wanaoishi karibu nao kwani inadaiwa kwamba magaidi hawa waliwasili nchini kitambo na kukodisha
nyumba ambako waliendeleza mipanga yao. Badala ya kuwalimbikizia lawama polisi, mbona tusishikane
nao ili kuhakikisha kwamba watu wenye nia mbaya mitaani mwetu wanakamatwa na kuchukuliwa hatua
za kisheria?

Ni mambo yapi yanayowatia hofu Wakenya?

  

Answers


Maurice
Vitisho kuwa magaidi wanapanga kutekeleza mashambulizi mengine.
maurice.mutuku answered the question on August 2, 2019 at 05:50


Next: Ni nini mtazamo wa mwandishi kuhusuu maafisa wakuu serikalini?
Previous: “Tusahau yaliyopita na tugange yajayo”. Thibitisha ukweli wa usemi huu katika kuwahakikishia wakenya usalama.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions


  • Ni nini mtazamo wa mwandishi kuhusuu maafisa wakuu serikalini?(Solved)

    HABARI zisizoridhisha kuhusu shambulizi la kigaidi katika kituo cha biashara cha Westgate, Kaunti ya
    Nairobi ambapo watu wapatao 67 waliaga dunia na wengine zaidi ya 175 wakaachwa na majeraha,
    zinaendelea kufichuka. Magazeti yaliangazia habari kwamba mawaziri wanne pamoja na maafisa wakuu
    wa usalama nchini walipashwa habari za kijasusi kuhusu mipango ya magaidi wa Al-Shabaab kutekeleza
    shambulizi hilo. Inadaiwa kwamba viongozi hao hawakuchukua hatua za kuzuia shambulizi hilo.


    Habari zaidi zilieleza kwamba kituo hicho kilikuwa kinafanyiwa uchunguzi na idara ya Kitaifa ya Ujasusi
    (NIS) kabla ya kushambuliwa na magaidi. Imeripotiwa kwamba wachunguzaji wa ujasusi walikuwa
    katika kituo hicho masaa machache kabla ya magaidi hao kufika na kuanza kuwafyatulia risasi walinda
    usalama, wateja na wafanyabiashara. Inadaiwa wachunguzaji hao 'waliwasiliana' na maafisa wa polisi
    wanaoshika doria mara kwa mara katika kituo hicho ambacho kimetajwa kuwa miongoni mwa maeneo
    muhimu sana jijini Nairobi.

    Habari hizi zote zinawapa Wakenya ujumbe mmoja; kwamba baadhi ya maafisa wakuu na idara za
    serikali zilizembea katika majukumu yao ya kuwahakikishia Wakenya na wageni wote wanaozuru Kenya,
    usalama. Ingawa hatupingi kwamba maafisa hao wanapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa
    kuzembea kazini, jambo muhimu ambalo Wakenya wanataka sasa si lawama bali hakikisho kwamba
    maisha yao hayapo hatarini wanapoendelea na shughuli zao za kila siku za kuijenga nchi.

    Vitisho vilivyotolewa na magaidi hao ambao wamesema wanapanga kutekeleza mashambulizi mengine
    ndivyo vinavyowakosesha Wakenya Usingizi. Wahenga walisema tusahau yaliyopita na tugange yajayo.
    Serikali inapaswa kutumia shambulizi la Westgate kama funzo litakalozifanya idara zake za usalama
    kuamka usingizini na kuhakikisha kwamba Wakenya wasio na hatia hawapotezi tena maisha yao katika
    mashambulizi kama haya.

    Lakini mbona Wakenya nao wasianze kuuthamini usalama wao wenyewe? Hali ya usalama nchini
    itaimarika maradufu kama Wakenya wote watachakua jukumu la kuwajua vyema majirani wao na
    kuripoti jambo lolote lisilo la kawaida kwa maafisa wa usalama.


    Shambulizi hili lingezuiwa kama Wakenya wangekuwa na mazoea ya kutaka kuwafahamu vyema watu
    wanaoishi karibu nao kwani inadaiwa kwamba magaidi hawa waliwasili nchini kitambo na kukodisha
    nyumba ambako waliendeleza mipanga yao. Badala ya kuwalimbikizia lawama polisi, mbona tusishikane
    nao ili kuhakikisha kwamba watu wenye nia mbaya mitaani mwetu wanakamatwa na kuchukuliwa hatua
    za kisheria?


    Ni nini mtazamo wa mwandishi kuhusuu maafisa wakuu serikalini?

    Date posted: August 2, 2019.  Answers (1)

  • Eleza kinaya kinachojitokeza kuhusu tukio la Westgate.(Solved)

    HABARI zisizoridhisha kuhusu shambulizi la kigaidi katika kituo cha biashara cha Westgate, Kaunti ya
    Nairobi ambapo watu wapatao 67 waliaga dunia na wengine zaidi ya 175 wakaachwa na majeraha,
    zinaendelea kufichuka. Magazeti yaliangazia habari kwamba mawaziri wanne pamoja na maafisa wakuu
    wa usalama nchini walipashwa habari za kijasusi kuhusu mipango ya magaidi wa Al-Shabaab kutekeleza
    shambulizi hilo. Inadaiwa kwamba viongozi hao hawakuchukua hatua za kuzuia shambulizi hilo.


    Habari zaidi zilieleza kwamba kituo hicho kilikuwa kinafanyiwa uchunguzi na idara ya Kitaifa ya Ujasusi
    (NIS) kabla ya kushambuliwa na magaidi. Imeripotiwa kwamba wachunguzaji wa ujasusi walikuwa
    katika kituo hicho masaa machache kabla ya magaidi hao kufika na kuanza kuwafyatulia risasi walinda
    usalama, wateja na wafanyabiashara. Inadaiwa wachunguzaji hao 'waliwasiliana' na maafisa wa polisi
    wanaoshika doria mara kwa mara katika kituo hicho ambacho kimetajwa kuwa miongoni mwa maeneo
    muhimu sana jijini Nairobi.

    Habari hizi zote zinawapa Wakenya ujumbe mmoja; kwamba baadhi ya maafisa wakuu na idara za
    serikali zilizembea katika majukumu yao ya kuwahakikishia Wakenya na wageni wote wanaozuru Kenya,
    usalama. Ingawa hatupingi kwamba maafisa hao wanapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa
    kuzembea kazini, jambo muhimu ambalo Wakenya wanataka sasa si lawama bali hakikisho kwamba
    maisha yao hayapo hatarini wanapoendelea na shughuli zao za kila siku za kuijenga nchi.

    Vitisho vilivyotolewa na magaidi hao ambao wamesema wanapanga kutekeleza mashambulizi mengine
    ndivyo vinavyowakosesha Wakenya Usingizi. Wahenga walisema tusahau yaliyopita na tugange yajayo.
    Serikali inapaswa kutumia shambulizi la Westgate kama funzo litakalozifanya idara zake za usalama
    kuamka usingizini na kuhakikisha kwamba Wakenya wasio na hatia hawapotezi tena maisha yao katika
    mashambulizi kama haya.

    Lakini mbona Wakenya nao wasianze kuuthamini usalama wao wenyewe? Hali ya usalama nchini
    itaimarika maradufu kama Wakenya wote watachakua jukumu la kuwajua vyema majirani wao na
    kuripoti jambo lolote lisilo la kawaida kwa maafisa wa usalama.


    Shambulizi hili lingezuiwa kama Wakenya wangekuwa na mazoea ya kutaka kuwafahamu vyema watu
    wanaoishi karibu nao kwani inadaiwa kwamba magaidi hawa waliwasili nchini kitambo na kukodisha
    nyumba ambako waliendeleza mipanga yao. Badala ya kuwalimbikizia lawama polisi, mbona tusishikane
    nao ili kuhakikisha kwamba watu wenye nia mbaya mitaani mwetu wanakamatwa na kuchukuliwa hatua
    za kisheria?

    Eleza kinaya kinachojitokeza kuhusu tukio la Westgate.

    Date posted: August 2, 2019.  Answers (1)

  • Taja maafa yaliyosababishwa na tukio linalorejelewa.(Solved)

    HABARI zisizoridhisha kuhusu shambulizi la kigaidi katika kituo cha biashara cha Westgate, Kaunti ya
    Nairobi ambapo watu wapatao 67 waliaga dunia na wengine zaidi ya 175 wakaachwa na majeraha,
    zinaendelea kufichuka. Magazeti yaliangazia habari kwamba mawaziri wanne pamoja na maafisa wakuu
    wa usalama nchini walipashwa habari za kijasusi kuhusu mipango ya magaidi wa Al-Shabaab kutekeleza
    shambulizi hilo. Inadaiwa kwamba viongozi hao hawakuchukua hatua za kuzuia shambulizi hilo.


    Habari zaidi zilieleza kwamba kituo hicho kilikuwa kinafanyiwa uchunguzi na idara ya Kitaifa ya Ujasusi
    (NIS) kabla ya kushambuliwa na magaidi. Imeripotiwa kwamba wachunguzaji wa ujasusi walikuwa
    katika kituo hicho masaa machache kabla ya magaidi hao kufika na kuanza kuwafyatulia risasi walinda
    usalama, wateja na wafanyabiashara. Inadaiwa wachunguzaji hao 'waliwasiliana' na maafisa wa polisi
    wanaoshika doria mara kwa mara katika kituo hicho ambacho kimetajwa kuwa miongoni mwa maeneo
    muhimu sana jijini Nairobi.

    Habari hizi zote zinawapa Wakenya ujumbe mmoja; kwamba baadhi ya maafisa wakuu na idara za
    serikali zilizembea katika majukumu yao ya kuwahakikishia Wakenya na wageni wote wanaozuru Kenya,
    usalama. Ingawa hatupingi kwamba maafisa hao wanapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa
    kuzembea kazini, jambo muhimu ambalo Wakenya wanataka sasa si lawama bali hakikisho kwamba
    maisha yao hayapo hatarini wanapoendelea na shughuli zao za kila siku za kuijenga nchi.

    Vitisho vilivyotolewa na magaidi hao ambao wamesema wanapanga kutekeleza mashambulizi mengine
    ndivyo vinavyowakosesha Wakenya Usingizi. Wahenga walisema tusahau yaliyopita na tugange yajayo.
    Serikali inapaswa kutumia shambulizi la Westgate kama funzo litakalozifanya idara zake za usalama
    kuamka usingizini na kuhakikisha kwamba Wakenya wasio na hatia hawapotezi tena maisha yao katika
    mashambulizi kama haya.

    Lakini mbona Wakenya nao wasianze kuuthamini usalama wao wenyewe? Hali ya usalama nchini
    itaimarika maradufu kama Wakenya wote watachakua jukumu la kuwajua vyema majirani wao na
    kuripoti jambo lolote lisilo la kawaida kwa maafisa wa usalama.


    Shambulizi hili lingezuiwa kama Wakenya wangekuwa na mazoea ya kutaka kuwafahamu vyema watu
    wanaoishi karibu nao kwani inadaiwa kwamba magaidi hawa waliwasili nchini kitambo na kukodisha
    nyumba ambako waliendeleza mipanga yao. Badala ya kuwalimbikizia lawama polisi, mbona tusishikane
    nao ili kuhakikisha kwamba watu wenye nia mbaya mitaani mwetu wanakamatwa na kuchukuliwa hatua
    za kisheria?

    Taja maafa yaliyosababishwa na tukio linalorejelewa.

    Date posted: August 2, 2019.  Answers (1)

  • Toa anwani mwafaka kwa taarifa hii.(Solved)

    HABARI zisizoridhisha kuhusu shambulizi la kigaidi katika kituo cha biashara cha Westgate, Kaunti ya
    Nairobi ambapo watu wapatao 67 waliaga dunia na wengine zaidi ya 175 wakaachwa na majeraha,
    zinaendelea kufichuka. Magazeti yaliangazia habari kwamba mawaziri wanne pamoja na maafisa wakuu
    wa usalama nchini walipashwa habari za kijasusi kuhusu mipango ya magaidi wa Al-Shabaab kutekeleza
    shambulizi hilo. Inadaiwa kwamba viongozi hao hawakuchukua hatua za kuzuia shambulizi hilo.


    Habari zaidi zilieleza kwamba kituo hicho kilikuwa kinafanyiwa uchunguzi na idara ya Kitaifa ya Ujasusi
    (NIS) kabla ya kushambuliwa na magaidi. Imeripotiwa kwamba wachunguzaji wa ujasusi walikuwa
    katika kituo hicho masaa machache kabla ya magaidi hao kufika na kuanza kuwafyatulia risasi walinda
    usalama, wateja na wafanyabiashara. Inadaiwa wachunguzaji hao 'waliwasiliana' na maafisa wa polisi
    wanaoshika doria mara kwa mara katika kituo hicho ambacho kimetajwa kuwa miongoni mwa maeneo
    muhimu sana jijini Nairobi.

    Habari hizi zote zinawapa Wakenya ujumbe mmoja; kwamba baadhi ya maafisa wakuu na idara za
    serikali zilizembea katika majukumu yao ya kuwahakikishia Wakenya na wageni wote wanaozuru Kenya,
    usalama. Ingawa hatupingi kwamba maafisa hao wanapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa
    kuzembea kazini, jambo muhimu ambalo Wakenya wanataka sasa si lawama bali hakikisho kwamba
    maisha yao hayapo hatarini wanapoendelea na shughuli zao za kila siku za kuijenga nchi.

    Vitisho vilivyotolewa na magaidi hao ambao wamesema wanapanga kutekeleza mashambulizi mengine
    ndivyo vinavyowakosesha Wakenya Usingizi. Wahenga walisema tusahau yaliyopita na tugange yajayo.
    Serikali inapaswa kutumia shambulizi la Westgate kama funzo litakalozifanya idara zake za usalama
    kuamka usingizini na kuhakikisha kwamba Wakenya wasio na hatia hawapotezi tena maisha yao katika
    mashambulizi kama haya.

    Lakini mbona Wakenya nao wasianze kuuthamini usalama wao wenyewe? Hali ya usalama nchini
    itaimarika maradufu kama Wakenya wote watachakua jukumu la kuwajua vyema majirani wao na
    kuripoti jambo lolote lisilo la kawaida kwa maafisa wa usalama.


    Shambulizi hili lingezuiwa kama Wakenya wangekuwa na mazoea ya kutaka kuwafahamu vyema watu
    wanaoishi karibu nao kwani inadaiwa kwamba magaidi hawa waliwasili nchini kitambo na kukodisha
    nyumba ambako waliendeleza mipanga yao. Badala ya kuwalimbikizia lawama polisi, mbona tusishikane
    nao ili kuhakikisha kwamba watu wenye nia mbaya mitaani mwetu wanakamatwa na kuchukuliwa hatua
    za kisheria?



    Toa anwani mwafaka kwa taarifa hii.

    Date posted: August 2, 2019.  Answers (1)

  • Ni hatua gani ambazo serikali imechukua katika kuimarisha afya ya umma?(Solved)

    Ni hatua gani ambazo serikali imechukua katika kuimarisha afya ya umma?

    Date posted: August 2, 2019.  Answers (1)

  • Eleza tofauti kati ya mzizi wa neno na shina la neno (Solved)

    Eleza tofauti kati ya mzizi wa neno na shina la neno

    Date posted: July 5, 2019.  Answers (1)

  • State the contributions of parastatals to the economic development of Kenya.(Solved)

    State the contributions of parastatals to the economic development of Kenya.

    Date posted: July 2, 2019.  Answers (1)

  • USHAIRI Soma shairi kisha ujibu maswali yanayofuata: KIBARUWA: Abdilatif Abdalla Kwenye shamba hilo kubwa asilani hakunyi mvuwa! Ni kwa mitilizi ya jasho langu ndiyo hunweshezewa Kwenye shamba hilo kubwa sasa...(Solved)

    USHAIRI
    Soma shairi kisha ujibu maswali yanayofuata:
    KIBARUWA: Abdilatif Abdalla

    Kwenye shamba hilo kubwa asilani hakunyi mvuwa!
    Ni kwa mitilizi ya jasho langu ndiyo hunweshezewa
    Kwenye shamba hilo kubwa sasa imeshaiva kahawa
    Na bunize ni matone ya damu yangu niliyotowa
    Ndipo mte ukatipuza!

    Buni hiyo itakaangwa buni hiyo itapondwapondwa
    Buni hiyo itasagwa na buni hiyo itafyondwafyondwa
    Bali itabaki nyeusi kama ngozi yangu Kibaruwa
    Waulize ndege kwa nyimbo nyanana watutumbuizao
    Iulize na mito kwa furaha maji itiririkao
    Uulize na upepo mkali kwa ghadhabu uvumao-.

    Viulize: Ni nani araukaye na mapema kuzitema mbuga na kuzilaza?
    Viulize: Ni nani akweaye minazi tangu kuchapo hadi lingiapo giza?
    Viulize: Ni nani abebeshwaye mizigo hadi maungo yakageuka shaza?
    Halfuye hana faida moja apatay wala malipo yanayotosheleza-
    Isipokuwa kusundugwa na kutupiwa matambara na vyakula viliyooza?
    Viulize: Ni nani huyo ni nani!

    Viulize: Ni nani aliyemaye mashamba na kuyapoliliya?
    Na mimea kochokocho ikajaa kwa uzito ikajinamiya?
    Hatimaye nani atajirikaye mali yakammiminikiya
    Akatoa na kitambi kama mja mzito wa miezi tisiya
    Na akaongeza magari na wanawake kutoka na kuingiya?
    Viulize: Ni nani huyo nani

    Na hao ndege kwa nyimbo nyanana watutumbuizao
    Nayo hiyo mito kwa furaha maji itirikao
    Na huo upepo mkali wenye ghadhabu uvumao
    Vyote hivyo vitatu vitakujibu kawa umoja wao
    “Ni Kibaruwa Manamba ndiye mtendaji hayo!”

    a) Eleza dhamira ya shairi hili.
    b) Kwa kutoa mifano, eleza aina mbili za idhini ya kishairi alizotumia mshairi
    c) kwa kurejelea ubeti wa tatu taja na ueleze tamathali ya usemi na mbinu ya kimuundo mshairi aliyoitumia

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • ISIMU JAMII Eleza majukumu matano matano ya Kiswahili kama lugha ya Kitaifa na Kimataifa.(Solved)

    ISIMU JAMII
    Eleza majukumu matano matano ya Kiswahili kama lugha ya Kitaifa na Kimataifa.

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • andika maneno yafuatayo katika kauli zilizoonyeshwa katika mabano Neno Kauli ...(Solved)

    andika maneno yafuatayo katika kauli zilizoonyeshwa katika mabano
    Neno Kauli Jibu
    i) Imba (tendesha) ……………………………………
    ii) choka (tendea) …………………………………………

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Andika kinyume cha:Furaha amehamia mjini.(Solved)

    Andika kinyume cha:
    Furaha amehamia mjini.

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Kanusha sentensi ifuatayo. Hapo napo ndipo nitakapo.(Solved)

    Kanusha sentensi ifuatayo.
    Hapo napo ndipo nitakapo.

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha matumizi mawili ya kinyota(*) katika sarufi ya Kiswahili.(Solved)

    Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha matumizi mawili ya kinyota(*)
    katika sarufi ya Kiswahili.

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Andika kw msemo halisi: Baba alipotuuliza kama tungependa kwenda Mombasa wakati wa likizo tulimjibu kwamba tulitaka kwenda Kisumu kwa kuwa tulikuwa hatujaliona Ziwa Victoria.(Solved)

    Andika kw msemo halisi: Baba alipotuuliza kama tungependa kwenda
    Mombasa wakati wa likizo tulimjibu kwamba tulitaka kwenda Kisumu
    kwa kuwa tulikuwa hatujaliona Ziwa Victoria.k

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Iandike tena sentensi ifuatayo bila kutumia vitenzi visaidizi Wachezaji huenda wakawa wanaweza kushinda mchezo wa leo.(Solved)

    Iandike tena sentensi ifuatayo bila kutumia vitenzi visaidizi
    Wachezaji huenda wakawa wanaweza kushinda mchezo wa leo.

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Andika ukubwa wa sentensi: Ndovu wa Kiafrika ameharibu kichaka(Solved)

    Andika ukubwa wa sentensi:
    Ndovu wa Kiafrika ameharibu kichaka

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Bainisha sentensi sahili zilizo katika sentensi mseto ifuatayo: Hamali ambaye ameugua alisema kuwa angekwenda hospitali jana(Solved)

    Bainisha sentensi sahili zilizo katika sentensi mseto ifuatayo:
    Hamali ambaye ameugua alisema kuwa angekwenda hospitali jana

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Tunga sentensi ukitumia kielezi cha jinsi cha nomino ifuatayo: Uganda(Solved)

    Tunga sentensi ukitumia kielezi cha jinsi cha nomino ifuatayo:
    Uganda

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Eleza maana mbili za sentensi: Kiharusi chake kimewaitia hofu.(Solved)

    Eleza maana mbili za sentensi:
    Kiharusi chake kimewaitia hofu.

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)

  • Onyesha shadda katika maneno mawili yafuatayo: i) Malaika ii) Nge(Solved)

    Onyesha shadda katika maneno mawili yafuatayo:
    i) Malaika
    ii) Nge

    Date posted: June 29, 2019.  Answers (1)