(i) Kuonya kama vile methali
(ii) Kukuza uwezo wa kufikiri kama vile vitendawili
(iii) Kutafsidi lugha kama vile nahau ‘jifungua’ badala ya ‘zaa’
(iv) Kuburudisha
(v) Kuhifadhi siri kama vile misimu,nahau
(vi) Kuelimisha kama vile methali
(vii) Kuongeza utamu katika lugha
(viii) Kuboresha matamshi- vitanza ndimi
maurice.mutuku answered the question on August 3, 2019 at 09:08
-
Eleza tofauti nne kati ya methali na vitendawili.
(Solved)
Eleza tofauti nne kati ya methali na vitendawili.
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mifano mwafaka ,eleza miundo tano ya methali.
(Solved)
Huku ukitoa mifano mwafaka ,eleza miundo tano ya methali.
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia neno ‘hadi’ kuonyesha mahali na wakati katika sentensi
(Solved)
Tumia neno ‘hadi’ kuonyesha mahali na wakati katika sentensi
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi ifuatayo katika hali timilifu.
Mwanafunzi anasoma darasani
(Solved)
Andika upya sentensi ifuatayo katika hali timilifu.
Mwanafunzi anasoma darasani
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana tatu za sentensi ifuatayo
Alisema angeenda kwao
(Solved)
Eleza maana tatu za sentensi ifuatayo
Alisema angeenda kwao
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua miundo yoyote mitatu ya ngeli ya LI-YA
(Solved)
Tambua miundo yoyote mitatu ya ngeli ya LI-YA
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika udogo wingi
Mti wa msonobari unatengeneza meza nzuri sana
(Solved)
Andika katika udogo wingi
Mti wa msonobari unatengeneza meza nzuri sana
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya sentensi ifuatayo
(i) Ningalisoma kwa bidii ningalipita mtihani
(ii) Ningesoma kwa bidii ningepita mtihani
(Solved)
Eleza maana ya sentensi ifuatayo
(i) Ningalisoma kwa bidii ningalipita mtihani
(ii) Ningesoma kwa bidii ningepita mtihani
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya ‘ni’ katika sentensi hii
Ingieni darasani mara moja ili niwape zoezi ambalo ni rahisi
(Solved)
Eleza matumizi ya ‘ni’ katika sentensi hii
Ingieni darasani mara moja ili niwape zoezi ambalo ni rahisi
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha mstari
Mwanafunzi mwerevu sana aliyekuwa mgonjwa jana amepelekwa nyumbani
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha mstari
Mwanafunzi mwerevu sana aliyekuwa mgonjwa jana amepelekwa nyumbani
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua aina mbili za sentensi ukizingatia uamilifu na utoe mfano mmoja kwa kila moja
(Solved)
Tambua aina mbili za sentensi ukizingatia uamilifu na utoe mfano mmoja kwa kila moja
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lililo na muundo wa silabi ufuatao:
IKKI
(Solved)
Andika neno lililo na muundo wa silabi ufuatao:
IKKI
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa bainifu za sauti hizi:
/y/
/m/
(Solved)
Fafanua sifa bainifu za sauti hizi:
/y/
/m/
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano, tofautisha kati ya ala tuli na ala sogezi.
(Solved)
Kwa kutolea mifano, tofautisha kati ya ala tuli na ala sogezi.
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya mzizi wa neno na shina la neno
(Solved)
Eleza tofauti kati ya mzizi wa neno na shina la neno
Date posted:
July 5, 2019
.
Answers (1)
-
State the contributions of parastatals to the economic development of Kenya.
(Solved)
State the contributions of parastatals to the economic development of Kenya.
Date posted:
July 2, 2019
.
Answers (1)
-
ISIMU JAMII
Eleza majukumu matano matano ya Kiswahili kama lugha ya Kitaifa na Kimataifa.
(Solved)
ISIMU JAMII
Eleza majukumu matano matano ya Kiswahili kama lugha ya Kitaifa na Kimataifa.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha:Furaha amehamia mjini.
(Solved)
Andika kinyume cha:
Furaha amehamia mjini.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo.
Hapo napo ndipo nitakapo.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo.
Hapo napo ndipo nitakapo.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha matumizi mawili ya kinyota(*)
katika sarufi ya Kiswahili.
(Solved)
Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha matumizi mawili ya kinyota(*)
katika sarufi ya Kiswahili.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)